Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Hivi kweliee
Ndio saikolojia ilivyo mama. Nina hakika ulikuwa unampima msimamo wake tu na sio kingine na amefaulu huo mtihani. Sasa umebaki kuduwaa ulidhani ni wa mchezo mchezo huyooo!
 
We hujui tuuu anaringa sana

Kuringa means he has proven to have high self-esteem than you hivyo we ndio ulipaswa kuji feel lucky kupata chance ya kuwa nae maana yeye alishaku downgrade kihisia. Ha ha jamaa atakua player sana, a real alpha trick.

Sishangai kwa nini ulizidi kumzimia, girls want what they can't have.
 
Kusema ukweli wapo lkn sijapata aliye nivutia, alfu mda mwingi nakuwa busy sana.. Namlilia coz alitokea kuuteka moyo wangu..

Mwanamme HANA hela wa nn kama si kukuongezea mile ktk papuchi yako?Njoo Kyela mama ule hela ya mchele maana isha vuna sasa!
Ni PM namba yako chemba
 
Pole sana mamy!! Natamani kila mmoja awe analeta urejesho... Kutafuta mume huku ni kama bahati na sibu... Kuna kupata na kukosa. Chukulia tu kama experience nyingine katika maisha. Waoaji wachache siku izi... Wengi ni wale waliochoka papuchi za wake zao au wanaotafuta tu pakupitishia usiku...
Usikate tama dear... Muombe Mungu akuoneshe yupi ni sahihi... Usivutiwe na maneno ata kwenye kanga yapo!!!
Ahsante p kwa kunishauri
 
Daaah...!!
Nadhani mnakumbuka threads zangu zilizopita nilikuwa na tafuta mchumba na nilileta mrejesho nimeshampata.. Anaitwa Isaac...

Basi tulikubaliana na Isaac tuwe wapenzi na vigezo nilivyokuwa navitaka alikuwa navyo basi safari ya mapenzi ikaanza tukawa tunawasiliana fresh mpk tukapanga siku ya kukutana coz mi Niko Moro yeye yupo dar.. Hivyo hivyo tukawa tunawasiliana mpk siku ya kwenda dar ikawadia ila siku hiyo mi kwa Bahati nzuri au mby nikawa nimeingia kwenye Siku zng...

Nikamwambia bby mi ninablidi akanambia poa ukimaliza kublidi njoo,, mi kiukweli sikupenda jibu lake coz nilifikiria lbd kanikubali tu kwasabab ya papuchi.. Basi nikamwambia utakuwa umenipendea papuchi hujanipenda Mimi km mm akanijibu "aaaaaaa" hakuongeza neno wala nini, baada km siku mbili nikamwambiaje basi wewe njoo Moro akanijibu oooh mi siwezi kulala guest nikamuuliza kwann akanijibu basi tu siwezi Alf akatuma tena text nyingine akasema mi bhana sina hela nikamwambia pouwa,, badae nikamwambiaje bhanae mi nimekushidwa akanijibu nashukuru....

Kwahiyo ndio tulipo ishia ila kiukweli nimetokea kumpenda sana tena saana hata nikiona picha yke moyo unaniuma nasema ukweli baada ya yeye kunikubali sina mwanaume mwingine zaidi yke....

Ahsanteni kwa mliokuwa pamoja na Mimi mpk hapa nilipofika.....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji174] [emoji174]
 
Inawezekana ulikuwa unachat na KANJUNJU JOHN wa Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ffbcaf0c8e16fe78da8ea259c01ec636.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu video yke jmn nimeimix chaaa kanjunju alijua kunipasua mbavu!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mhhh Pole..Trust me huyo Isack haumpendi ni upweke unakusumbua!!The way alivyokuwa anakujibu mwenzio alikuwa anakuchukulia kipozeo tu!!Huyo isack kama yupo humu kwa hii thread bichwa hilo!!!Yaani ungelipotezea tu!!
 
Kwa hiyo ulimpenda mtu sanaaa kwenye social network na mkaachana bila kuonana... ok sawa! Rudisha tangazo la kwanza utafute tena,na hakikisha unaahirisha siku zako wakati wa miadi!
hahahahahhahhaha....nimecheka kama mazuri
##simtumzuriww
 
Nadhani mnakumbuka threads zangu zilizopita nilikuwa na tafuta mchumba na nilileta mrejesho nimeshampata.. Anaitwa Isaac...

Basi tulikubaliana na Isaac tuwe wapenzi na vigezo nilivyokuwa navitaka alikuwa navyo basi safari ya mapenzi ikaanza tukawa tunawasiliana fresh mpk tukapanga siku ya kukutana coz mi Niko Moro yeye yupo dar.. Hivyo hivyo tukawa tunawasiliana mpk siku ya kwenda dar ikawadia ila siku hiyo mi kwa Bahati nzuri au mby nikawa nimeingia kwenye Siku zng...

Nikamwambia bby mi ninablidi akanambia poa ukimaliza kublidi njoo,, mi kiukweli sikupenda jibu lake coz nilifikiria lbd kanikubali tu kwasabab ya papuchi.. Basi nikamwambia utakuwa umenipendea papuchi hujanipenda Mimi km mm akanijibu "aaaaaaa" hakuongeza neno wala nini, baada km siku mbili nikamwambiaje basi wewe njoo Moro akanijibu oooh mi siwezi kulala guest nikamuuliza kwann akanijibu basi tu siwezi Alf akatuma tena text nyingine akasema mi bhana sina hela nikamwambia pouwa,, badae nikamwambiaje bhanae mi nimekushidwa akanijibu nashukuru....

Kwahiyo ndio tulipo ishia ila kiukweli nimetokea kumpenda sana tena saana hata nikiona picha yke moyo unaniuma nasema ukweli baada ya yeye kunikubali sina mwanaume mwingine zaidi yke....

Ahsanteni kwa mliokuwa pamoja na Mimi mpk hapa nilipofika.....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji174] [emoji174]


Jovitha .....
 
Thanks God for the genius man in my life

He is smart enough nampendaaa mpaka najiogopaa yani sijielewiiii kwake nimedattttttaaaa

Eeeh Mola tujaalie maisha marefu yenye baraka tele Smart911 na ka mahondaw Kake..
utupe raha amani upendo busara heshima na hekima tele..

I love you so much Smart911 my king

Bakinamimi bebiii
 
Daaa ila anyway ngoja tu nivumilie watakuja wenyewe but mwili wa moto Alf so mnajua hiii miaka yetu ndio tumetoka toka karibu na kubalehe kwahiyo mmh mda wote chupi inalowa
Kumbeeeeeeee!!!!
 
Mmmh! Kumbe ndio mana alivyokwambia uende ukamwambia uko kwenye siku zako kumbe ulishajua unachokifuata.

Tafuta cha kufanya usiendekeze mapenzi yapo na yataendelea kuwepo hivyo usiyaharakie.
Dyu dyu tamu mama acha mwezio aililie[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Nadhani mnakumbuka threads zangu zilizopita nilikuwa na tafuta mchumba na nilileta mrejesho nimeshampata.. Anaitwa Isaac...

Basi tulikubaliana na Isaac tuwe wapenzi na vigezo nilivyokuwa navitaka alikuwa navyo basi safari ya mapenzi ikaanza tukawa tunawasiliana fresh mpk tukapanga siku ya kukutana coz mi Niko Moro yeye yupo dar.. Hivyo hivyo tukawa tunawasiliana mpk siku ya kwenda dar ikawadia ila siku hiyo mi kwa Bahati nzuri au mby nikawa nimeingia kwenye Siku zng...

Nikamwambia bby mi ninablidi akanambia poa ukimaliza kublidi njoo,, mi kiukweli sikupenda jibu lake coz nilifikiria lbd kanikubali tu kwasabab ya papuchi.. Basi nikamwambia utakuwa umenipendea papuchi hujanipenda Mimi km mm akanijibu "aaaaaaa" hakuongeza neno wala nini, baada km siku mbili nikamwambiaje basi wewe njoo Moro akanijibu oooh mi siwezi kulala guest nikamuuliza kwann akanijibu basi tu siwezi Alf akatuma tena text nyingine akasema mi bhana sina hela nikamwambia pouwa,, badae nikamwambiaje bhanae mi nimekushidwa akanijibu nashukuru....

Kwahiyo ndio tulipo ishia ila kiukweli nimetokea kumpenda sana tena saana hata nikiona picha yke moyo unaniuma nasema ukweli baada ya yeye kunikubali sina mwanaume mwingine zaidi yke....

Ahsanteni kwa mliokuwa pamoja na Mimi mpk hapa nilipofika.....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji174] [emoji174]

Christ Ambassadors:

Wapenzi wa duniaaa wengii wadanganyufuuu niwapo Katikaa hali nzuri tupo woooteee lakini
katika matatizooo wengi wanikimbia mimi nimekupata Smart911 nitakushikiliaa

kiitikio

Nataka nitembee katika upendo wa bwana upendo ule wa dhati upendo usiobaguaa upendo uletao hekima busara na amani upendo wa Smart911 pekee ulio boraaa


just singing
 
Back
Top Bottom