Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,081
- 126,202
Pole mumy pia nikupe siri mdogo wangu jifunze kumuamini mtu taratibu sio unakutana naye unamwamini kwa 100% kwani kwa miaka ya sasa wavulana walio wengi wanapenda wanawake kwa ajili ya starehe tu ni wachache wenye kuwaza mapenzi yawe ya kuendelea hadi kifikia kufunga ndoa.Pia usiwe mwepesi kuwakubali hawa wanaojiita masharo baro watakuumiza kila siku.Sikuwahi kuwaza kitu km hicho emmy hata mkinilaumu mnanionea tu maana sijui hata nisemeje moyo unaniuma mfano hamna