Bernard bakari
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 407
- 781
Mchunguze wakati huo unampa papuchi wewe. Ukitaka kujua uhalisia wa mvulana we jitolee tu uwe unampa ndo utajua udhaifu na ubora wakeUnajua kuna kitu nilikuwa na mchunguza na nilikigundua
Mchunguze wakati huo unampa papuchi wewe. Ukitaka kujua uhalisia wa mvulana we jitolee tu uwe unampa ndo utajua udhaifu na ubora wakeUnajua kuna kitu nilikuwa na mchunguza na nilikigundua
Ukimsoma mwanamme bila kumpa mambo yetu yale huwezi kujua uhalisia wake, matokeo ya uchunguzi wako yatakuwa si sahihi. Lakini ungekuwa umewahi kumpa hata moro angekujaUnajua kuna kitu nilikuwa na mchunguza na nilikigundua
Nenda kwa lemtumboz yuko single istoshe ni billionea hana shida ya nauli au kulala gest,wewe ukienda dar unafikia 5 stars hotel nae akija moro anafikia mahoteli ya maanaNadhani mnakumbuka threads zangu zilizopita nilikuwa na tafuta mchumba na nilileta mrejesho nimeshampata.. Anaitwa Isaac...
Basi tulikubaliana na Isaac tuwe wapenzi na vigezo nilivyokuwa navitaka alikuwa navyo basi safari ya mapenzi ikaanza tukawa tunawasiliana fresh mpk tukapanga siku ya kukutana coz mi Niko Moro yeye yupo dar.. Hivyo hivyo tukawa tunawasiliana mpk siku ya kwenda dar ikawadia ila siku hiyo mi kwa Bahati nzuri au mby nikawa nimeingia kwenye Siku zng...
Nikamwambia bby mi ninablidi akanambia poa ukimaliza kublidi njoo,, mi kiukweli sikupenda jibu lake coz nilifikiria lbd kanikubali tu kwasabab ya papuchi.. Basi nikamwambia utakuwa umenipendea papuchi hujanipenda Mimi km mm akanijibu "aaaaaaa" hakuongeza neno wala nini, baada km siku mbili nikamwambiaje basi wewe njoo Moro akanijibu oooh mi siwezi kulala guest nikamuuliza kwann akanijibu basi tu siwezi Alf akatuma tena text nyingine akasema mi bhana sina hela nikamwambia pouwa,, badae nikamwambiaje bhanae mi nimekushidwa akanijibu nashukuru....
Kwahiyo ndio tulipo ishia ila kiukweli nimetokea kumpenda sana tena saana hata nikiona picha yke moyo unaniuma nasema ukweli baada ya yeye kunikubali sina mwanaume mwingine zaidi yke....
Ahsanteni kwa mliokuwa pamoja na Mimi mpk hapa nilipofika.....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji174] [emoji174]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mbona nakupenda shemeji?
Inawezekana numbisa lkn unajua ninacho shangaa mm ni nn?? Wakati natafuta alikuwa ananisumbua kweli mda wote anapiga simu sometimes nikawa na mpotezea lkn badae ktk mchujo nikaona yeye ndiyo yuko serious saaaana kuliko wengine ila anyway km hakunipenda sawa ukweli anaujua yeye na mungu wakeAisee jioni imekua nzuri sana kwa hii comedy hahahaa kwanza pole KAMA NI KWELI ULIKUWA SERIOUS IN LOVE WITH HIM pili siyaamini kabisaaa mahusiano ya kukutania mitandaoni.
Huyo jamaa hakukupenda wewe kama wewe alichokupendea ni kukuonja kisha kila mtu na njia yake.
Dah[emoji19] [emoji53] [emoji19] [emoji53] [emoji19]Takii
Uligundua nini?Unajua kuna kitu nilikuwa na mchunguza na nilikigundua
Wewe mimi ndiyo maana nimekwambia tuwe marafikiInawezekana numbisa lkn unajua ninacho shangaa mm ni nn?? Wakati natafuta alikuwa ananisumbua kweli mda wote anapiga simu sometimes nikawa na mpotezea lkn badae ktk mchujo nikaona yeye ndiyo yuko serious saaaana kuliko wengine ila anyway km hakunipenda sawa ukweli anaujua yeye na mungu wake
Nadhani mnakumbuka threads zangu zilizopita nilikuwa na tafuta mchumba na nilileta mrejesho nimeshampata.. Anaitwa Isaac...
Basi tulikubaliana na Isaac tuwe wapenzi na vigezo nilivyokuwa navitaka alikuwa navyo basi safari ya mapenzi ikaanza tukawa tunawasiliana fresh mpk tukapanga siku ya kukutana coz mi Niko Moro yeye yupo dar.. Hivyo hivyo tukawa tunawasiliana mpk siku ya kwenda dar ikawadia ila siku hiyo mi kwa Bahati nzuri au mby nikawa nimeingia kwenye Siku zng...
Nikamwambia bby mi ninablidi akanambia poa ukimaliza kublidi njoo,, mi kiukweli sikupenda jibu lake coz nilifikiria lbd kanikubali tu kwasabab ya papuchi.. Basi nikamwambia utakuwa umenipendea papuchi hujanipenda Mimi km mm akanijibu "aaaaaaa" hakuongeza neno wala nini, baada km siku mbili nikamwambiaje basi wewe njoo Moro akanijibu oooh mi siwezi kulala guest nikamuuliza kwann akanijibu basi tu siwezi Alf akatuma tena text nyingine akasema mi bhana sina hela nikamwambia pouwa,, badae nikamwambiaje bhanae mi nimekushidwa akanijibu nashukuru....
Kwahiyo ndio tulipo ishia ila kiukweli nimetokea kumpenda sana tena saana hata nikiona picha yke moyo unaniuma nasema ukweli baada ya yeye kunikubali sina mwanaume mwingine zaidi yke....
Ahsanteni kwa mliokuwa pamoja na Mimi mpk hapa nilipofika.....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji174] [emoji174]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeishiwa maneno.
Ngoja niende kwa kina Nape huko
Ili usiwe unabaki na siri kama uliyo nayo sasa hiviIli iweje
Kwaresma imekuja na mengi...Kaoneee!! Lini niliwahi kukuonea wivu?
Hapo Umenichanganya saana ila twende tu maana sina nia mbaya.
Kwangu naona kwa umri wako mdogo unatafuta mpenzi kwa kutumia nguvu saana. Ilihali watakuja tu.
Lakini kama umenyea kambi. Yaani mtaani umeharibu kutongozwa tegemea asilimia 0.003.
Lakini pia kama hauvutii pia utachelewa kutongozwa.