Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Mi naomba niulize katika vigezo vya nyie dada zetu kuwapenda wanaume picha ni moja ya kigezo hicho??? Hujawahi onana naye je kama katuma picha ya kaka yake!
Nadhani kila mtu ana uelewa wa aina yake. Wapo ambao kwa picha tu wanaamini 100% ila kuna wengine hawezi kukupa moyo wake mpaka akuone na akusome japo kwa muda mfupi ndio aanze kujiweka kidogo kidogo
 
Hapana usharobaro huwezi kuujua kwa mavazi pekee kwani hata tabia, matendo na hata maongezi unaweza ukajua huyu ni sharobaro na inahitaji utulivu wa hali ya juu kuwatambua.
Nikweli lkn sidhani hata km alikuwa na element za ubaro baro
 
Mi naomba niulize katika vigezo vya nyie dada zetu kuwapenda wanaume picha ni moja ya kigezo hicho??? Hujawahi onana naye je kama katuma picha ya kaka yake!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Haya mambo bwana!! Unajikuta umempenda kaka mtu, mie sijui kwanini ni ngumu sana kumpenda mtu ambae sijaonana nae.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Haya mambo bwana!! Unajikuta umempenda kaka mtu, mie sijui kwanini ni ngumu sana kumpenda mtu ambae sijaonana nae.
Naomba unipende
[emoji23]
 
Kusema ukweli wapo lkn sijapata aliye nivutia, alfu mda mwingi nakuwa busy sana.. Namlilia coz alitokea kuuteka moyo wangu..
atakutesa sana tena huyo mbahili. Naona utalazimisha ndoa kwa mario afu pesa kwa wazee plz kuwa makini, kwanza hiyo picha alokuonesha sio yake, kama yake basi wewe umevutiwa na sura, mwanaume pesa, mtafutaji, kazi, etc kama basi sura akapigie picha.

Wanaume wa dar wamezoea kulelewa atakuchuna hiyo,

siku moja mtest kuwa umtumie nauri uje usikie hutoamini macho yako.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Haya mambo bwana!! Unajikuta umempenda kaka mtu, mie sijui kwanini ni ngumu sana kumpenda mtu ambae sijaonana nae.
Ndiyo maana ukaitwa espy mi nikaitwa navyoitwa
 
Hata mimi mwanamke anayebania sana kitumbua chake aaaah simpendi aisee sasa kama ulimbania atakuwa naye mtu wa kutopenda kubaniwa.
Unajua kuna kitu nilikuwa na mchunguza na nilikigundua
 
atakutesa sana tena huyo mbahili. Naona utalazimisha ndoa kwa mario afu pesa kwa wazee plz kuwa makini, kwanza hiyo picha alokuonesha sio yake, kama yake basi wewe umevutiwa na sura, mwanaume pesa, mtafutaji, kazi, etc kama basi sura akapigie picha.

Wanaume wa dar wamezoea kulelewa atakuchuna hiyo,

siku moja mtest kuwa umtumie nauri uje usikie hutoamini macho yako.
Umeisoma thread vizur km umeisoma basi hujaielewa kairudie
 
Back
Top Bottom