Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

Kusema ukweli wapo lkn sijapata aliye nivutia, alfu mda mwingi nakuwa busy sana.. Namlilia coz alitokea kuuteka moyo wangu..
Sasa wewe mweyewe si ndio ulianza ooh mimi sijui nini sasa unadhani yeye ataelewaje ndio maana akakujibu vile. Ila pia labda yeye hana nia saana. Utakuja mpata mtakaopendana. Lakini sasa pia ujue namna ya kuongea yaani hata hamajawahi onanan ooh mimi sijui nafanya nini usimput-off umpendaye mapema hebu tafuta maneno ya kuongea maana ulivyomwambia hivyo ukampeleka kwenye muelekeo mwingineee!
 
Kwanza pole kwa kilichotokea binafsi naona umewahi kuhisi jamaa atakua anataka kufanya mchezo mbaya na wewe kuamua kumtupa kapuni.
Kama jamaa angetaka mchezo mbaya peke yake angejifanya kuvumilia mpaka umalize kubleed kisha mngeamsha upya.

Ila hebu ainisha tena sifa ulizokua unazitaka tangu mwanzo (Napiga jaramba hapa).
Hahahaha itafute hiyo thread utaipata then uisome
 
Sasa wewe mweyewe si ndio ulianza ooh mimi sijui nini sasa unadhani yeye ataelewaje ndio maana akakujibu vile. Ila pia labda yeye hana nia saana. Utakuja mpata mtakaopendana. Lakini sasa pia ujue namna ya kuongea yaani hata hamajawahi onanan ooh mimi sijui nafanya nini usimput-off umpendaye mapema hebu tafuta maneno ya kuongea maana ulivyomwambia hivyo ukampeleka kwenye muelekeo mwingineee!
Hivi kweliee
 
yani hata hajakutia unamlilia hivi???...

pole sana....
unajisikia hivyo kwa sababu ni mpweke bado,ila ukishapata mwingine utamsahau tu eventually.....
halafu hawa wa mitandaoni em achana nao,kwani huko kitaa hamna wanaokutongoza....
wakati unaandika hiyo sentensi ulikuwa na ktk mood gani?? hasa hapo kwenye purple
 
Wewe ni king'ang'anizi

Yani umeachwa alafu bado unapambana na avatar za watu
Kwani una kasoro ipi hadi umng'ang'anie mtu ambaye hujawahi hata kumuona?

Em mtoe hapo unampa bichwa huyo Isaac
 
Wewe ni king'ang'anizi

Yani umeachwa alafu bado jnapambana na avatar za watu
Kwani una kasoro ipi hadi umng'ang'anie mtu ambaye hujawahi hata kumuona?

Em mtoe hapo unampa bichwa huyo Isaac
Joana unahaki ya kusema hvy mamaangu.. Yeye mwenywe ndiye aliye iweka akijisikia pia kuitoa aitoe
 
Back
Top Bottom