DOKEZO Mradi wa SGR Mwanza Ndio Basi tena

DOKEZO Mradi wa SGR Mwanza Ndio Basi tena

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa kipindi cha kampeni tuliambiwa serikali imemlipa mkandarasi pesa yote. Baada uchaguzi kuisha tu mradi umesimama na maisha yamekuwa magumu kwa wafanyakazi hawakutegemea kilichotokea.


Mabeberu wanatuonea wivu wamegoma kuendelea na ujenzi, #MsiogopeTumeshinda

Una elimu gani au uelewa katika masuala ya project management, financial management na labour laws?

Siyo ndugu yako kibarua ameathirika kwa kuwa laid off nawe unakuja hapa kufungua thread
 
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa kipindi cha kampeni tuliambiwa serikali imemlipa mkandarasi pesa yote. Baada uchaguzi kuisha tu mradi umesimama na maisha yamekuwa magumu kwa wafanyakazi hawakutegemea kilichotokea.


Mabeberu wanatuonea wivu wamegoma kuendelea na ujenzi, #MsiogopeTumeshinda


Utawala haramu madhara yake ni makubwa mbali na uhai wa watu, ajira, demokrasia haya nayo ya miradi ya kimkakati yataathirika pakubwa


MAKTABA:
MRADI WA UJENZI WA RELI MPYA SGR
 
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa kipindi cha kampeni tuliambiwa serikali imemlipa mkandarasi pesa yote. Baada uchaguzi kuisha tu mradi umesimama na maisha yamekuwa magumu kwa wafanyakazi hawakutegemea kilichotokea.


Mabeberu wanatuonea wivu wamegoma kuendelea na ujenzi, #MsiogopeTumeshinda

Hii ni habari ya kusikitisha; lakini tuvumilie kamaitachangia na kusaidia kuleta ukombozi wa nchi yetu toka mikononi mwa watu waovu hawa.
Habari mbaya pia inaweza kuwa njia ya ukombozi ikitumiwa vizuri.
 
Una elimu gani au uelewa katika masuala ya project management, financial management na labour laws?

Siyo ndugu yako kibarua ameathirika kwa kuwa laid off nawe unakuja hapa kufungua thread

..kipande cha Mwanza Isaka naona kama ujenzi wake ulilazimishwa tu kwasababu za kisiasa.

..sikuona mantiki ya ujenzi katika kipande hicho wakati vipande vya Makutopora -- Tabora -- Nzega ujenzi wake hata haujaanza.
 
..kipande cha Mwanza Isaka naona kama ujenzi wake ulilazimishwa tu kwasababu za kisiasa.

..sikuona mantiki ya ujenzi katika kipande hicho wakati vipande vya Makutopora -- Tabora -- Nzega ujenzi wake hata haujaanza.
That's beside the point.
 
Hii mechi mbona alishauziwa macho madogo na ataishikilia kwa miaka kadhaa ili kurudisha mafekeche yake.

Hakuna kusimama project isipokuwa kuipeleka mchakamchaka hadi Isaka.
 
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi.
So sad
Wakati wa kipindi cha kampeni tuliambiwa serikali imemlipa mkandarasi pesa yote.
Nikweli ilimlipa pesa yote kwa awamu hiyo, sasa hiyo pesa imeisha, pesa ya awamu inayofuata imechelewa.
Baada uchaguzi kuisha tu mradi umesimama
Yes ni umesimama kwa muda tuu, pesa itatoka, wafanyakazi wataitwa kuendelea na kazi, mradi utaendelea.

Kitendo cha watu kutishia kutaka kuandamana tena, kuka disturbed the equilibrium of budget flows, kukatokea budget misappropriation, fedha za miradi zikatumika kuimarisha ulinzi, kama vile.

Sasa nchi imetulia, hivyo msiwe na wasiwasi, mambo yatarudi back to normal.

P
 
So sad

Nikweli ilimlipa pesa yote kwa awamu hiyo, sasa hiyo pesa imeisha, pesa ya awamu inayofuata imechelewa.

Yes ni umesimama kwa muda tuu, pesa itatoka, wafanyakazi wataitwa kuendelea na kazi, mradi utaendelea.

Kitendo cha watu kutishia kutaka kuandamana tena, kuka disturbed the equilibrium of budget flows, kukatokea budget misappropriation, fedha za miradi zikatumika kuimarisha ulinzi, kama vile.

Sasa nchi imetulia, hivyo msiwe na wasiwasi, mambo yatarudi back to normal.

P
Wapinzani wa Serikali ni mabwege sana. Kila wakati masikio yao yako wazi kusikia ni nini kimekosewa Serikalini ili wapate cha kuandika
 
Nchi inakoelekea sio kuzuri kabisa, hata hao wanawapiga risasi watanganyika wacheleweshewa Mishahara au kulipwa kwa mafungu,

Muda ni mwalimu mzuri sana, na hii haina cha CCM wala CHADEMA hiki kikombe tutakinywea wote, hakina dini huyu mgalatia wala mvaa kobasi,
Lucas mshamba hawezi kukuelewa
 
Wapinzani wa Serikali ni mabwege sana. Kila wakati masikio yao yako wazi kusikia ni nini kimekosewa Serikalini ili wapate cha kuandika
Mkundu wewe mnaharibu wenyewe halafu mnasingizia upinzani kwani upinzani wamewahi kuingia mkataba wa ujenzi wa SGR?mnalea wenyewe mifumo ya hovyo ya wizi na ubadhirifu halafu mkiambiwa mnakimbili ooh! Upinzani nyokooooo, upinzanibwanakusanya kodi na kupanga budget?hakuna wajingabtena zamanhizi kubalini dunia imesha badilika watu wana uelewa hizi sio zama za TANU za kudanganya watu.

Serikali inachekea majizi yanaiba mabilioni inakimbizia nje nchi inakosa maendeleo halafu mnajifanya hamjui
 
Wapinzani wa Serikali ni mabwege sana. Kila wakati masikio yao yako wazi kusikia ni nini kimekosewa Serikalini ili wapate cha kuandika

..wanaweza pia kubadilisha gia angani wakawapa makampuni ya nje yajenge lot zilizobakia na kuziendesha mpaka watakaporudisha fedha zao. Ndivyo wanavyofanya kwa upande wa Tazara.
 
Mkundu wewe mnaharibu wenyewe halafu mnasingizia upinzani kwani upinzani wamewahi kuingia mkataba wa ujenzi wa SGR?mnalea wenyewe mifumo ya hovyo ya wizi na ubadhirifu halafu mkiambiwa mnakimbili ooh! Upinzani nyokooooo, upinzanibwanakusanya kodi na kupanga budget?hakuna wajingabtena zamanhizi kubalini dunia imesha badilika watu wana uelewa hizi sio zama za TANU za kudanganya watu.

Serikali inachekea majizi yanaiba mabilioni inakimbizia nje nchi inakosa maendeleo halafu mnajifanya hamjui
Ngoja nimuongezee tusi jingine kinemb cha mamake huyu chawa wa kahaba chura kiziwi..
 
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa kipindi cha kampeni tuliambiwa serikali imemlipa mkandarasi pesa yote. Baada uchaguzi kuisha tu mradi umesimama na maisha yamekuwa magumu kwa wafanyakazi hawakutegemea kilichotokea.


Mabeberu wanatuonea wivu wamegoma kuendelea na ujenzi, #MsiogopeTumeshinda

Itakuwa kujenga na Abdul
 
Back
Top Bottom