Awamu zilizopita zilisaini mikataba mingi ikiwemo ya madini, gesi n.k
Awamu ya tano nayo imesaini baadhi ya miakataba
Lakini inapokuja swala la mradi wa bandari ya Bagamoyo
Awamu ya 5 walituambia mradi haufai lakini tumesikia tukiambiwa walishauriwa vibaya
Swali ni je, kwa uzoefu wetu katika mambo ya mikataba tuliyo nayo, ni nani mkweli?
Awamu ya tano nayo imesaini baadhi ya miakataba
Lakini inapokuja swala la mradi wa bandari ya Bagamoyo
Awamu ya 5 walituambia mradi haufai lakini tumesikia tukiambiwa walishauriwa vibaya
Swali ni je, kwa uzoefu wetu katika mambo ya mikataba tuliyo nayo, ni nani mkweli?