Aaaaah tunapeana tu wivu
Kuna watu hobbie yao ni kuhonga cm tena galaxy note III, au Dell strike 5 upo tiali?
Mhhh huo wa kuwafundisha watu watoe kodi naona ni msala tuu
haya bana Mamndenyi mwambie chama afanye kazi yake kwa makini maana walipa kodi naona ingeanzia kwa viongozi wa chama chake ambao wanapokea pesa nyingi sana kwa kusema tuu ni commission na sio mshahara so hawakatwi kodi
Mamndenyi na chama hatukwepi kodi sisi tunalipa kodi ipaswavyo na kama tunakunywa tusker au castle lite jua na kodi inakatwa huko huko
Hapa JF ndo unaweza kusema hivo ila mtaani unajifanya hunijuinimekumiss we mkaka
Speak it out babe,u already know how I love uMmmmmmmmmmh! aisee sipo tayari maana mume wangu mkali huyo lazima ataniuliza nimetoa wapi ntashindwa jibu nibaki natoa macho kama nimebanwa na mlango
Hapa JF ndo unaweza kusema hivo ila mtaani unajifanya hunijui
Speak it out babe,u already know how I love u
Hongera Mr Rocky.. hili ni fanikio.. Uendelee kutupia majamboz humu..
donlucchese asante sana mkuuKabisa, salute mkuu Mr Rocky
Mkuu Mr Rocky
Mpaka TRA kuleta huo mtandao mpya wa kulipa kodi ni wazi CCM inataka kila mtu alipe kodi; nyie ndio mliokuwa mkilaumu TRA haikusanyi kodi; TRA imesikia kilio chenu sasa kazi kwenu walipaji.
Asante sana mkuu NambeHongera sana mkuu
Asante madheee Mtoto halali na hela sijui mtoto wako atalala lini na helaHongera madhee
Asante mkuu tedo pamoja sanaHongera sana...
Na mimi nataka unipe!