Nimekumisi mume wangu umepotelea wapi? halafu nimepoteza simu no communication jamani dah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Pole mke wangu kupoteza simu,mi natamanije nisikie sauti yako,nipo A-town,nimekutafutaje hupatikani,basi nikadhani umenipa namba ya gari
Pole babito wangu,mi nakupendaje jamani,kila saa nakuwaza,nilidhani mapenzi yameisha kumbe bado unanikumbuka lol!Yaani ninauzuni hapa we acha tu sina tena simu dah!!!!!! nimebaki mpweke hapa
Mi mwenyewe nakumiss ujue..........
Mida hii huwa haoni...........
Nimemwambia nampa kanokia kamoja ka tochi
eti hataki anataka tachi ksrin, hivyo tumeanzisha sredi ya
mchango wa tach skrini, kule mmu, embu ni pm mchango wako!
Yaani ninauzuni hapa we acha tu sina tena simu dah!!!!!! nimebaki mpweke hapa
Thread ina njoo
Amekuona Mkuu ila huyu heven on Earth amekuweka mkichwa ili akuanzishie sred! Baba V utakuwepo Ngurudoto leo nataka mkutane na Lady doctor na wengine wengi
Wachoyo kamanini! mi nataka wewe au Mr Rocky ikishindikana basi tena mpaka niokote ingine sina tena jipya
afadhali kabisa bora asione maana anaweza kunimunissi muda sio mrefu aise
weka Bluetooth on nikurushie mchango wangu Mwanyasi