Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Hongera bwana Mwamba...atakayekosa kukupa kubwa juu(big up..?!) Analia roostoki
 
Hongera bwana Mwamba...atakayekosa kukupa kubwa juu(big up..?!) Ana roostoki
 
Mr Rocky nilikupa reputation mara mbili mpaka ukafikia hiyo level,nakudai give me back
 
Last edited by a moderator:
Mkuu 24hrs mbona nishakurudishia aise au unanionea tuu mkuu kwa kuwa mimi mnyonge aise



:faint2::faint2::faint2::faint2::faint2::faint2:

Teh si nataka nikuzidi,reputation sishangai ila hapo kwenye R.P umejitahidi..nidai bia 3 kesho kutwa nikiwa A-town
 
Last edited by a moderator:
Teh si nataka nikuzidi,reputation sishangai ila hapo kwenye R.P umejitahidi..nidai bia 3 kesho kutwa nikiwa A-town


nakudai hivyo ujue aise na unatafutwa sana mkuu 24hrs na Ladymasa anasema hakuoni nyumbani sijui unalala wapi
 
Last edited by a moderator:
nakudai hivyo ujue aise na unatafutwa sana mkuu 24hrs na Ladymasa anasema hakuoni nyumbani sijui unalala wapi

Hiyo bia unidai kesho kutwa,nitakutafuta kwa simu,halafu huyo mke wangu Ladymasa itabidi nimpe talaka,maana msg za simu hajibu na simu haipatikani,hi ndo imeshaingia utata
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Teh si nataka nikuzidi,reputation sishangai ila hapo kwenye R.P umejitahidi..nidai bia 3 kesho kutwa nikiwa A-town

Nimekumisi mume wangu umepotelea wapi? halafu nimepoteza simu no communication jamani dah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom