Hongera sana mkuu Rocky.
Mbona nipo sana jukwaani mamito, sema huwa nashinda jukwaa la chini kabisa.ulipotelea wapi wewe huonekani au walikufunga
kwenye pumba za kuku nini?
Kale ka kifaa hakana vigololi vya milipuko, nimeishiwa nielekeze wapi wanauza kwa bei rahisi.
Inaonekana huyu dogo grafani11 amesahau kuwa tulisaini mktaba wa ushirikiano wa pamoja siku tatu kwangu siku tatu kwake na siku moja ile unapumzika
hahahaaa anataka kukiuka makubaliano aangalie hiyo kitu isije kumgeukia yeye shauri yake
Ndo hapo sasa hivi hajui sheria za mikataba zikoje atalipa fidia ya mamilioni hapa asicheze na nina lawyer wangu Ruttashobolwa na Mkirua watanitetea sana
Ugomvi utazuka pale tu utakapo itumia na siku moja ambayo nimeshaiwahi.
ye amtafute Tundu lissu awe lawyer wake......maana hao wawili ni hatareee.........
nitamsisitiza abide terms and condition tulizoweka
Hiyo siku moja bado iiko kwenye dispute haijawa na uhakika itaenda kwa naniUgomvi utazuka pale tu utakapo itumia na siku moja ambayo nimeshaiwahi.
Mtoto halali na hela[/MENTION] sijui mtoto wako atalala lini na hela
hadi aweze kutafuta za kwake
mbona sijaongea na Arushaone kaka, nilikuwa naongea na mdogo wangu Ladymasahalafu nyie wawili nyie Lady doctor na Arushaone mambo yenu kayaongeleeni chumbani bana mnatusumbua hapa
yaani ajitahidi leo upate sim dogo lake, la sivyo tutamsusia harusi sie.
Nilikuwa natania bhana! Hata sitaki unipe!
nelly nely nini tena mkuuMr rocky??
Washawasha asante sana mkuuhongera yako kaka.
Nalog off