Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Last edited by a moderator:
Lily Flower asante sana aise.
Nishamwambia atoe taarifa mapema asivamie tuu mji wa watuatawakuta wenyeji wote wamesafiri
 
Last edited by a moderator:
nelly nely asante sana mkuu pamoja sana

Mr Rocky mbona wanisusa hivyo? nimekumisi jamani mume wangu 24hrs hivi yupo dunia hiii kweli? kwa mtindo huu hata atukumbukani aisee ntajivua gamba mda si mrefu'hajui hata watoto wala nini naomba salamu umfikishie,
 
mwekundu asante sana mkuu Heaven on Earth anatisha mbaya kabisa aise

Jerrymsigwa tumuulize watu8 kama kuna cheti aise ila asante sana mkuu

Mwanyasi namshangaa Arushaone anasema hakuna wazee wakati kuna Dark City na Asprin na Bishanga na mzee Mtambuzi aise
Asante sana mkuu


charminglady asante sana nafurahi kwa card na naamini yametoka moyoni mwako
Asante sana
Rocky city inasemaje


Ladymasa huyu jamaa 24hrs inabidi atafutiwe RB kabisa aseme yuko wapi na kwa nini kapotea hivyo aise

When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams
 
Mr Rocky mbona wanisusa hivyo? nimekumisi jamani mume wangu 24hrs hivi yupo dunia hiii kweli? kwa mtindo huu hata atukumbukani aisee ntajivua gamba mda si mrefu'hajui hata watoto wala nini naomba salamu umfikishie,

Nimekumiss pia Ladymasa ila naogopa kusema maana 24hrs ana hasira za kikurya hashindwi kunigecha aise
Uko salama lakini
Ngoja nimtafute aise nimpe ujumbe wako

When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

Mkuu Asprin umeona eehhh ukilala tuu umekatwa
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndio ujue wadau wanasistiza exchange na YNNAH tipa zinapeleka mchanga na kokoto kwenye beach plot yako.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom