Umeonaeeeeeeeeeeeeee! embu mwambie huyo maana mambo yataharibika kwa sababu hamna mawasiliano
Sina budi kukupongeza sana kwa achievement yako hapa JF.
Wadada na wakaka (hakuna wazee humu) tumpongezeni mwenzetu huyu kwa kufunika kabisa humu JF kwa kufikia Reputations Power zaidi ya laki saba 700,000. na posts 11,111.
Kwa kweli anastahili pongezi....Ni mwenzetu.....Ni mzalendo hasa wa nchi hii ya CHIT-CHAT.
Mr Rocky hoyeeee!!!!!!!!!! Chit chat hoyeeeeee!!!!!!!!
hehehe hakuna cheti mkuu...rep power unapewa manually na friends au self generated na JF.
shem umemuona huyo tu au amekupa ..............
kwani wengine huwajawaona walioongoza kwa marep na mapost kibao.
dunia ya hapa ni ya kisisiemu tu
yaani ajitahidi leo upate sim dogo lake, la sivyo tutamsusia harusi sie.
nipo dear....Asante sana dear Fixed Point
Ila nimekumith wewe
Kaizer hommie asante sana mkuuHongera mkuu
Ndo nataka niende huko aise nikamsome swahiba SnowBall ana hoja gani leo
Asante sana
ladyfurahia unamuonea wivu mpaka binamu yako
Dah haya bana
Ngoja na wewe nitakuanzishia uzi wa kukupongeza
karibu sana mkuu SnowBall
Yaani ulivyowataja hapa wamesikia na ngoja niwaite tena Arushaone, Erickb52, Preta, PakaJimmy, na wengineo wote na Blaki Womani na Lily Flower kuna mgeni huku anakuja mkaribisheni aise
Nataka niuone 'ukarimu' wenu wa Arachuga
Ntaku-pm unipe logistics mkuu
Naona wamesikia ngoja niwasubiri hawa wakuu...