Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Mr Rocky: UNATISHA MADHEE!!!!!

Kwa hiyo kazi hiyo Erickb52 atasaidiwa na Filipo ili ku'balance'
Mamndenyi tulikuwa nae kwenye kikao pale Travetine
lakini kasema anajiaandaa kwenda kusimamia kazi ya "uhesabuji" watu kule "Kibaha" mwezi ujao. kiwatengu anavuna gesi tu kule........
Mwanyasi bora Filipo mara elfu maana Erickb52 ni balaa aise kiwatengu aangalie tuu wanamtwara wasimrudishe kwa miguu kutoka huko mpaka kwao maana wakiona tuu anachukua gesi yao itakuwa balaa

Msalimie sana Mamndenyi mwambie afikishe salam pia kwa chama
 
Last edited by a moderator:
Arushaone
pongezi maneno matupu humtoi mkuu apate angalau Tusker baridi 2??
 
Last edited by a moderator:
Heee,
Yamekuwa hayo,
Nasikia harufu ya rushwa hapa.

Nimekupa na wewe unipe.

Sina budi kukupongeza sana kwa achievement yako hapa JF.

Wadada na wakaka (hakuna wazee humu) tumpongezeni mwenzetu huyu kwa kufunika kabisa humu JF kwa kufikia Reputations Power zaidi ya laki saba 700,000. na posts 11,111.

Kwa kweli anastahili pongezi....Ni mwenzetu.....Ni mzalendo hasa wa nchi hii ya CHIT-CHAT.

Mr Rocky hoyeeee!!!!!!!!!! Chit chat hoyeeeeee!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa salamu zako,
Naona mume mwenzio Arushaone anakupaisha.
chama muda huu yuko anafundisha ndugu zake Arushaone umuhimu
wa kulipa kodi, ila salamu zitamfikia.


Mhhh huo wa kuwafundisha watu watoe kodi naona ni msala tuu
haya bana Mamndenyi mwambie chama afanye kazi yake kwa makini maana walipa kodi naona ingeanzia kwa viongozi wa chama chake ambao wanapokea pesa nyingi sana kwa kusema tuu ni commission na sio mshahara so hawakatwi kodi
Hao wanashinda huko huko;
wana viwanda vidogo sebuleni kwao;
ila kodi wanakwepa pia.
Mamndenyi na chama hatukwepi kodi sisi tunalipa kodi ipaswavyo na kama tunakunywa tusker au castle lite jua na kodi inakatwa huko huko
 
Last edited by a moderator:
nimetaka kujua tu......hasa baada ya kale ka tukio ka Ilala
Heaven on Earth dah that was soo bad wala sio la kufikiria ila wote hao ni wale wasio na hofu ya Mungu ambao wanaona maisha yao hayana thamani na wamekosa watu wa kukaa nao wakawashauri
 
Last edited by a moderator:
Heaven on Earth dah that was soo bad wala sio la kufikiria ila wote hao ni wale wasio na hofu ya Mungu ambao wanaona maisha yao hayana thamani na wamekosa watu wa kukaa nao wakawashauri

hahahaaa sa nikaona we na grafani11 mmekubaliana kushare isije

siku mmoja akapata ma wivu akafanya ka ya ilala
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa sa nikaona we na grafani11 mmekubaliana kushare isije

siku mmoja akapata ma wivu akafanya ka ya ilala

Haiwezekani Heaven on Earth tumekubaliana na hii tumeiandika kwa maandishi na mkataba upo hatuwezi kuufoo saro au kumushi na kumunisi mtu hapa aise

Afu wewe ina maana mimi hujaniona hadi umsifie huyo mwizi wa Arusha...???
cc. figganigga
Baba V dah hapa unataka upate BAN ya maisha aise unacheza na mutu ya arusha wewe eeehh

Rock city kwema mkuu.... Afu mbona hujajibu swali langu Mr Rocky??

Nimekujibu kwa kukupa Rep Power au hapo kwako haionyeshi aise charminglady
Nafurahi kusikia wana Rocky City mko salama
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom