Mzima wewe dada'angu?
Nina maongezi nawe. Kesho. Saa hizi tupeane mambo kwanza!
I LOVE YOU.
Afu nimekukumbuka mpaka nime-kumiss. Mzima weye mrembo?
Nina maongezi nawe. Kesho. Saa hizi tupeane mambo kwanza!
I LOVE YOU.
Hahahahahahahahaah! unamadhihara wewe mimi mwenyewe sielewi kanisusa sana siku hizi sijui mmemficha wapi huyo
mwekundu asante sana mkuu Heaven on Earth anatisha mbaya kabisa aiseHongera mkuu!!Heaven on earth naye anatisha ana 500000
Jerrymsigwa tumuulize watu8 kama kuna cheti aise ila asante sana mkuuHongera brother, keep it rolling mate!!
Mie naelekea rep power 100 in three months, te te tee
Hivi kuna cheti ama aje watu8?
Mwanyasi namshangaa Arushaone anasema hakuna wazee wakati kuna Dark City na Asprin na Bishanga na mzee Mtambuzi aise
charminglady asante sana nafurahi kwa card na naamini yametoka moyoni mwako
Ladymasa huyu jamaa 24hrs inabidi atafutiwe RB kabisa aseme yuko wapi na kwa nini kapotea hivyo aiseHahahahahahahahaah! unamadhihara wewe mimi mwenyewe sielewi kanisusa sana siku hizi sijui mmemficha wapi huyo
Asante sana binamu yangu Lady doctorHongera sana my cousin, kweli unatisha kaka!
Madame B nitafanya hivyo soon aise na wewe tena binamu yangu siwezi kukuangushaBinamu yangu Mr Rocky, kwanza nikupongeze Kisha nikutakie usiku mwema.
Nitupiemo na mimi basi ki-rep.
kaka hongera!!
hivi kumbe home ni hungumalwa?
aisee nishapita sana huko nanunua nunua mpunga!!
aisee msimu ukishawasili wa mavuno nistue! teh teh!
King'asti mwambie Erickb52 bana ana wivu kama niniBinamu nyama ya hamu. Muache kakangu!
Kaka hongera sana.
Nina maongezi nawe. Kesho. Saa hizi tupeane mambo kwanza!
I LOVE YOU.