Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Mpira si pesa wala kipaji.
Mpira ni vitu viwili
1.Mpira ni kitu(Hollow au solid) kilichotengenezwa kwa ajili ya kudunda,kupigwa,kimichezo au kupitisha liquid kama maji au hewa.
2.Mpira ni mti fulani ambao hutoa utomvu ambao ukiauka hutengeneza Dutu kinamo
Mpira ni vitu viwili
1.Mpira ni kitu(Hollow au solid) kilichotengenezwa kwa ajili ya kudunda,kupigwa,kimichezo au kupitisha liquid kama maji au hewa.
2.Mpira ni mti fulani ambao hutoa utomvu ambao ukiauka hutengeneza Dutu kinamo