hawa wabunge ni wawakilishi wa kundi la wafanyakazi walio wanachama wa CCM.inanipa shida kidogo ikiwa na Chadema nao watakuwa na wawakilishi wa wafanyakazi katika wabunge wao wa kuteuliwa! Ningependa wabunge wa kuteuliwa kupitia chama cha wafanyakazi wasiwe affiliated na chama chochote ili wawe independent!<br />
<br />
Ni sahihi kwa TUCTA kuwakataa hao wabunge wa CCM maana hawajatokana na mchakato ndani ya TUCTA bali na mchakato nadani ya CCM.
<br />
Ni sahihi kwa TUCTA kuwakataa hao wabunge wa CCM maana hawajatokana na mchakato ndani ya TUCTA bali na mchakato nadani ya CCM.