Big Up Mgaya Mungu akubariki afya na nguvu katika kupigania haki za wafanyakazi hasa kodi kubwa wafanyakazi wazalendo wanazolipa wakati wafanyakazi wageni wewe mishahara MINONO kwelikweli hawalipi kabisa au wanaolipa wanalipa kiduchu hasa kwenye sector za madini na makmpuni yaliyowekeza wakati kwa nchi nyingi za Ulaya foreigner anayefanya kazi ndiye analipa kodi kubwa kuliko wazawa