Mpenzi wangu anavuta bangi


Ila mambo ya kulipuliza home wageni wakija nyumba yote bange duh afanye maamuzi magum mbona mademu wapo ambao hawavuti? Wabangi acha aende kwa wabangi
 
Mwana! Nimekuchomea nini! Basi nisamehe, ila ungeacha ingekuwa poa sana.

Ha ha haaaaa usijali kaka nini blender kwa.ajili hiyo na mouth pieces tofauti tofauti mpaka kiko!!!!

Dry na wet zote poa tu ila wet nzuri kwa afya ya mapafu,haisumbui surfactants!!!!!

Smoke responsibly!!!!
 

huyo hakufai, niachie mimi mkuu ndiyo atanifaa aisee, maana mimi mpaka mafuta ya kupikia natumia mafuta ya bangi, sabuni natumia weedy kutoka kwa etana, jamaicaaaa!
 
Ha ha haaaaa usijali kaka nini blender kwa.ajili hiyo na mouth pieces tofauti tofauti mpaka kiko!!!!

Dry na wet zote poa tu ila wet nzuri kwa afya ya mapafu,haisumbui surfactants!!!!!

Smoke responsibly!!!!

Mkuu kumbe na wewe mwanachama, ngoja nisokote moja Swazi sativa nimepokea parcel mpya kutoka kwa mzee wa totoz mwenyewe!
 
mmhhhhhhh!acha uongo khaaaaaaa!
 
Bangi Ina shusha hadhi ya mtu bwana, duh ndo unataka kuowa mvuta bangi apo kila jioni kasizi
Hi hakisawa naona itaja vuka mipaka. Kwa mama zetu au mabib huezi sikia nao walikuaga wavuta bangi
Ni kisikiaga flani anavuta na mtoa maana bangi sio,
mtu akivuta gushi akasizi sii bure atakua anaugua huyo,bangi sio cocaine bana!
 
Bangi Ina shusha hadhi ya mtu bwana, duh ndo unataka kuowa mvuta bangi apo kila jioni kasizi
Hi hakisawa naona itaja vuka mipaka. Kwa mama zetu au mabib huezi sikia nao walikuaga wavuta bangi
Ni kisikiaga flani anavuta na mtoa maana bangi sio,

Nadhani unazungumzia crack na mapowder, bangi hainaneno, na bangi haijaanza kuvutwa leo, toka zama na zama, watu wenye heshima zao wanavuta mjani swaafi, na kwa taarifa yako kuna watu wanakula jani ambao hauwezi hata kuwadhania!
 

effect za pombe na sigara unazijua?!!
 

Hiyo siyo bangi!
 
mtu akivuta gushi akasizi sii bure atakua anaugua huyo,bangi sio cocaine bana!

"Mwanzo wa mimi kutumia madawa ya kulevya ni kutokana na matumizi ya bangi ambayo mpenzi wangu alikua akinichanganyia na unga bila mimi kujua". RAY C
 

kama wewe unavyoona raha na stimu za pombe, viyohivyo na yeye anaona raha na stimu za bangi! wataalam wanatuambia pombe ina madhara makubwa kuliko bangi!
 
Ukimuacha aendelee kuvuta bangi na watoto wako hawatakua na malezi baadae
Hawatakuwa na malezi kivipi? wewe mzee wako hanywi pombe?

Kwani mkuu pombe inaondoa upurity wa mtu?bange sio nzuri mkuu nadhani ilo halina ubishi.
Purity ni nini?

Sioni tatizo yy kuvuta bangi ni starehe mwache apate stimu kwa raha zake
Thats my empress!

Wote...siku nkigundua wife anavuta bangi namrudisha kwao fasta haina majadiliano.
Ukimrudisha kwao na wewe usisahau kurudi kwenu, mji ni wa watoto siyo wako wala wake!

Hakika

Khaa.!!nimnunulie bangi.?asante kwa ushauri ila kumnunulia bangi hapana.
Atajinunulia mwenyewe.

Mkuu inategea mtu anakunywa pombe kias gan na mvuta bangi anacuta kias gani.obama naona na yeye alikua anatete kilevi chake as kma anavuta sigara lazima ma bange ashavuta.
Kwa hiyo kumbe unaelewa kinachohusika zaidi ni kiasi, sasa kumbe una tatizo gani tena mkuu?

Kwa dada zangu wote mnaotumia bangi, kama mwanamume hakuelewi achana naye, there are lots of concious men out there, get yourself one!
 
It is not as simple as romancing your computer buttons..
 
Its not simple, BUT ITS WORTH IT! Trust me, ukimwacha wewe leo, kesho atapata bwana anayemwelewa.

Mkuu kwa style hii ndo maana watu wanaoa wake za watu..wake za watu nikaanusha unamuoa mwanake ambaye t was not meant to be..kumbuka huyu sio kwamba anatabia mbaya nyngne tofaut na hii ya kuvuta bangi,woga wangu ni asije kunibadilikia uko mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…