Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,354
Swali kubwa ulilouliza ni kama bangi ni sawa na pombe...
Nielewavyo mimi Pombe ina madhara zaidi kiafya na kijamii kuliko bangi.
Tatizo kubwa la bangi ni more addictive kuliko pombe. Akiweza kujicontrol akavuta kwa kiasi sioni ikimsababishia yeye, wewe au jamii inayowazunguka madhara. Shida itatokea pale akikolea na ikatokea kipindi inamlazimu aache, mfano ujauzito; atapata shida sana.
Otherwise kama anavuta kwa kiasi sioni kama ni shida. Actually kwa kuwa umejua ni bora ukawa unamnunulia anavutia home huku ukiendelea kushawishi apunguze na aache kabisa...
Nielewavyo mimi Pombe ina madhara zaidi kiafya na kijamii kuliko bangi.
Tatizo kubwa la bangi ni more addictive kuliko pombe. Akiweza kujicontrol akavuta kwa kiasi sioni ikimsababishia yeye, wewe au jamii inayowazunguka madhara. Shida itatokea pale akikolea na ikatokea kipindi inamlazimu aache, mfano ujauzito; atapata shida sana.
Otherwise kama anavuta kwa kiasi sioni kama ni shida. Actually kwa kuwa umejua ni bora ukawa unamnunulia anavutia home huku ukiendelea kushawishi apunguze na aache kabisa...