Bangi Ina shusha hadhi ya mtu bwana, duh ndo unataka kuowa mvuta bangi apo kila jioni kasizi
Hi hakisawa naona itaja vuka mipaka. Kwa mama zetu au mabib huezi sikia nao walikuaga wavuta bangi
Ni kisikiaga flani anavuta na mtoa maana bangi sio,
Kuna watu wengi sana na heshima zao wanapata hii kitu na ukiambiwa hutaamini. Hii kitu unatakiwa kuivuta kwa starehe..sasa unakuta mtu hata kupata mlo mmoja inakuwa issue yeye ana vuta bangi tu,thats why wengi wanachizika.
Vuta bangi...kula vizuri, vaa vizuri, lala vizuri,una kazi yako ya maana maisha yanakwenda kawaida, hapo no kuchizika!