Mpenzi wangu anavuta bangi

Mpenzi wangu anavuta bangi

Kwani mkuu pombe inaondoa upurity wa mtu?bange sio nzuri mkuu nadhani ilo halina ubishi.

Hapo ndipo pazuri!!!!
Purity ni nini??!!!

Halafu kwenye majadiliano neno "ubishi,mbishi" huwa hayatolewi unless wewe una unachotaka kiwe hicho tu!!!!
 
Mwanamke na bangi?...mungu aniepushie mbali.
 
  • Thanks
Reactions: Kbd
We umemkuta anavuta na ulimpenda na hajakudanganya na unasema hana tabia ya hovyo sasa shida nini????!!!
Si umesema ni muelewa pia ni mrembo???!!!

Purity ianze na wewe uache pombe naye aache smokie muwe watu sober! !!!
Amuache dada wa watu bana,gushi haina madhara,ni tofauti na pombe aisee,mlevi wa pombe anaweza fanya vituko tofauti na ganja smoker!
 
Bangi ni kama sakramenti, ukimkataza ni kama kumzuia mtu kuabudu
 
Aisee kumbe wanawake pia huwa wanavuta,mi Kwa kweli ningemuacha na bangi lake alipulize vizuri,nna wasiwasi atakuwa anatokea Moshi au Arusha
 
Amuache dada wa watu bana,gushi haina madhara,ni tofauti na pombe aisee,mlevi wa pombe anaweza fanya vituko tofauti na ganja smoker!

Ndio tatizo la kuwa mkweli saaanaaaaa yaani mengine unakula nayo pini moyoni tu!!!!!
Kama huyu alitakiwa amwambie nilijaribu siku ile tu ila sio tabia yangu! !!!!
 
Nnachojiuliza hivi kwa maneno tu anaweza kurekebika au kuna kitu natakiwa nifanye.

Ni ngumu sana kuacha pombe. lakini pombe ni rahisi sana kuiacha ukilinganisha na sigara na bange....Huwezi kumwachisha bangi kama yeye mwenyewe hajaamua.
 
Ndio tatizo la kuwa mkweli saaanaaaaa yaani mengine unakula nayo pini moyoni tu!!!!!
Kama huyu alitakiwa amwambie nilijaribu siku ile tu ila sio tabia yangu! !!!!
Lakini ukweli umemuweka huru,so jamaa aamue,sijawah ona mtu anavuta bange anajjikojolea,au anasababisha ajali barabarani,ila sasa wanywa serengeti na tusker ni noumer!mi naona aache pombe aungane na gal wake kwny kijiti!
 
Lakini ukweli umemuweka huru,so jamaa aamue,sijawah ona mtu anavuta bange anajjikojolea,au anasababisha ajali barabarani,ila sasa wanywa serengeti na tusker ni noumer!mi naona aache pombe aungane na gal wake kwny kijiti!

Unamatatizo wewe sio bure..uliona wapi pombe inamtia mtu ukichaa wa kuokota makopo.?
 
Habari wana jf.
Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari,huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja,kwa kumuangalia kwa kweli. ni dada mrembo sana na anaejitambua,sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake,mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi,siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi,aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake,nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake,sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani,niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona,nirudi nyumbn sikuhyo sikumuuliza kitu,umepita kama mwezi hvi, juzi nikamuuliza kama anatumia bangi,bahati nzuri hakua na ubisha alikubali,anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.tumegombana sana,naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nying za ajabu kwa sasa bado sijaziona.
Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
hebu tuzijur faida za bangi
ujasiri usishangae kwa nini watu wanakaba bangi inaleta ujasiri
maamuzi magumu kama una tatizo unavuta bangi ili ukabiline na tatizo linalohitaji maamuzi magumu kama kuua kuiba benki
woga wa kijinga kama madereva wa boda boda sio masikhara kupiga honi badala ya breki
haina madhara kama sigara madhara yake ni kidogo
ina stimu yaani ukivuta siku ya kwanza utapata stimu kama za kupaa
 
Back
Top Bottom