Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
Jah bless!!!!!
Yeah man!
Jah bless!!!!!
Umeumaliza uzi ungali na umri mdogo!!!!!
Mkuu mwanamke ni wa ajabu sana halafu hua wana maamuzi ya haraka halafu badae wanajutia, sasa akimwacha magetto mengine huko ndo atakapoharibikia, mwanamke ni mwenye moyo wa huruma, anategemea utakua mkali lakini kama ukimsikiliza, yaani atakupenda nyang'a nyang'a, ukimwambia acha hiyo kitu anaacha kabisa, mwanamke anatulizwa kwa maneno sio kwa misuli, ukifanya hasira unampoteza, maneno matamu hua yanamtuliza mwanamke wa aina yeyote duniani, ndo maana unaona mahusiano mengine jamaa kauzu sura imekomaa lakini mkewe au demu wake ni bomba vibaya mno unajiuliza kapenda nini pale lakini ni maneno tu yanayomfariji ndo yamemgundisha hapo.
Habari wana JF.
Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari, huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja, kwa kumuangalia kwa kweli ni dada mrembo sana na anaejitambua.
Sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake, mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi.
Siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi, aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake, nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake.
Sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani, niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona, nirudi nyumbani siku hiyo sikumuuliza kitu, umepita kama mwezi hivi.
Juzi nikamuuliza kama anatumia bangi, bahati nzuri hakua na ubishi alikubali, anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.
Tumegombana sana, naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nyingi za ajabu kwa sasa bado sijaziona.
Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.
Kama yepi maamuzi ya hovyo???!!!
Akili yako tu
mi ndo sijakua au yye.?
mwanamke masaa 24 anakaa na watoto, na ndiye mlezi mkuu wa familia.. je nao si atawafundisha kuvuta bangi!!?? kwangu mimi achilia mbali bangi, mwanamke akiwa mtumia sigara au pombe daaahhh inaniwia ngumu sana kukaa nae...
so unanishauri nitafute mwingine.?
Kwanza unabidi ujiulize tatizo lako na uvutaji wake wa bangi ni nini? Akivuta anakuwa mgomvi?
anasahau majukumu yake? Kuna wakati inafika badala ya kuzuia kila kitu kwa nguvu mwenzako
anachopenda inabidi kutumia maridhiano.
Kuna baadhi ya wanawake wengi tu warembo ambao wanatumia hii kitu japo kwa siri.
Pale wewe kama mwenza unapoonyesha 'reasoning' badala ya 'panic' kwenye mambo kama
hayo basi ni rahisi yeye kuwa wazi.
Kumbuka mwanamke siyo mtoto wa kumbadili tabia kwa kutumia nguvu..
Kwanza unabidi ujiulize tatizo lako na uvutaji wake wa bangi ni nini? Akivuta anakuwa mgomvi?
anasahau majukumu yake? Kuna wakati inafika badala ya kuzuia kila kitu kwa nguvu mwenzako
anachopenda inabidi kutumia maridhiano.
Kuna baadhi ya wanawake wengi tu warembo ambao wanatumia hii kitu japo kwa siri.
Pale wewe kama mwenza unapoonyesha 'reasoning' badala ya 'panic' kwenye mambo kama
hayo basi ni rahisi yeye kuwa wazi.
Kumbuka mwanamke siyo mtoto wa kumbadili tabia kwa kutumia nguvu..
Weed haina madhara kwa wastaarabu,tunaovuta kwa starehe!na wengi wanaotumia ni wastaarabu,so huyo gal wako hana shida,ni starehe yake!
La hasha sikushauri hivyo, nadhani wasiliana na moyo wako je hiyo hali unaipenda, je ushaongea nae na anachukuliaje hilo swala? mimi binafsi nisingewza vumilia hiyo hali ila SIMAANISHI NA WEWE USIVUMILIE....
Embu soma na hii komenti ya mdau...