Habari wana JF.
Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari, huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja, kwa kumuangalia kwa kweli ni dada mrembo sana na anaejitambua.
Sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake, mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi.
Siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi, aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake, nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake.
Sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani, niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona, nirudi nyumbani siku hiyo sikumuuliza kitu, umepita kama mwezi hivi.
Juzi nikamuuliza kama anatumia bangi, bahati nzuri hakua na ubishi alikubali, anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.
Tumegombana sana, naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nyingi za ajabu kwa sasa bado sijaziona.
Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.
nauza samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea serfin
more
shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000
kwa pea gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea gold fish
shilingi10000 kwa pea na aina
nyingine nyingi kwa
picha zaidi tembelea facebook page
appolinary william utaona picha
ya samaki
kwa picha na mawasiliano
whats app number 0712505049
huduma hadi nyumbani kwako
Mjamaa atakuwa alikuwa anatumia Bangi mbichi huyo.One of the trainer used to say.......choose one avenue to sopil it "body" .......by the way no one will check on your organs after death.......anamalizia hata Mungu atakushangaa ukienda na kila kitu bado kipya!!!!!!
Hawatakuwa na malezi kivipi? wewe mzee wako hanywi pombe?
!
nin nini nawe? mentali mie nshatoka huko, we bado unapuliza? siku hizi mie ni mchungaji ninalisha kondoo kwenye kanisa langu ndomana hunioni sana huku, karibu kanisani kwangu
Naona asilimia kubwa ya wachangiaji wa hii mada ni watumiaji wazuri wa hilo jani..msije mkamfanya na mtoa mada akashawishika kutumia.
hahahaa, mbona mimi padri lakini bado najifukiza kama kawaida!
Unauliza nini, kama unaichukia sana.bangi mwache. Mie mwenyewe mwanamme anayevuta sigara/ bangi, neh.
Hata wa kuanzia bar neh.
Marital status: "married but available" :sly::sly:😀😀😀😀
nin nini nawe? mentali mie nshatoka huko, we bado unapuliza? siku hizi mie ni mchungaji ninalisha kondoo kwenye kanisa langu ndomana hunioni sana huku, karibu kanisani kwangu
Mjamaa atakuwa alikuwa anatumia Bangi mbichi huyo.
Btw Hapo kwenye mkazo ni error ama umemaanisha nini??
Bonadamu yeyote ana kilevi chakeUnauliza nini, kama unaichukia sana.bangi mwache. Mie mwenyewe mwanamme anayevuta sigara/ bangi, neh. Hata wa kuanzia bar neh.
Coming your way...
Location plizzz...!!!
Huyo demu wako nshamjua, alinambia hana mpango wa kuacha bangi. Alinambia ana mpenzi wake JE, kumbe ndo wewe?
Habari wana JF.
Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari, huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja, kwa kumuangalia kwa kweli ni dada mrembo sana na anaejitambua.
Sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake, mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi.
Siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi, aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake, nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake.
Sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani, niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona, nirudi nyumbani siku hiyo sikumuuliza kitu, umepita kama mwezi hivi.
Juzi nikamuuliza kama anatumia bangi, bahati nzuri hakua na ubishi alikubali, anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.
Tumegombana sana, naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nyingi za ajabu kwa sasa bado sijaziona.
Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.