Mpenzi wangu anavuta bangi

Mpenzi wangu anavuta bangi

Akikwambia anaacha Bangi anahamia kwenye Unga itakuwaje?
 
yani sio rahisi kujua kama anvuta labda uamue kujua kama nlivo amua,lakin otherwise shes veryvery okey wala ajapungukiwa kitu and she loves me sana,tatizo ni je hatabadilika?bange hua zinatabia za kumaddict mtu sasa akiongeza dozzndo utajua maana halisi ya bange.
Wewe wala usiwe na shaka, kama 'she is smart' na anaidhibiti vizuri basi hawezi kuwa 'addicted'.Kuna wanawake wengi tu wanatumia na wako 'okay' kwa kila hali.. zaidi ya hayo huwa zinawaongezea mvuto wa kimapenzi zaidi..
 
aaaah wapi,ww wasema,mtu akifanya upumbavu ni kwa sababu na yy ni m.pu.mba.vu!na c bangi,mangapi tunashuhudia ya ajabu yanafanyika wanaofanya wanakua wamebangika?acha hizo hahaa!

Tujuze km mzuka unapanda mwanangu!
 
hainiumizi sababu kwa mda wote haijaniathiri chochote,conflict inakuja ni je ataendelea kua hivi hivi kwa upole huu,na je mtoto atamlea vipi na mimoshi yake?

na katika kipindi hiki ataficha mengi, balaa litaanza ukishamuweka ndani rasmi... kwanini usiongee nae na umweleze ukweli kuhusu hiyo hali jinsi unavyoichukulia, then mwambie achague moja muachane au aache tabia yake (kuvuta bangi) na kama kweli anakupenda naimani ataiacha hiyo tabia.
 
Habari wana JF.

Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari, huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja, kwa kumuangalia kwa kweli ni dada mrembo sana na anaejitambua.

Sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake, mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi.

Siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi, aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake, nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake.

Sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani, niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona, nirudi nyumbani siku hiyo sikumuuliza kitu, umepita kama mwezi hivi.

Juzi nikamuuliza kama anatumia bangi, bahati nzuri hakua na ubishi alikubali, anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.

Tumegombana sana, naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nyingi za ajabu kwa sasa bado sijaziona.

Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.

Hayatuhusu. This is your private business.
 
Weed haina madhara kwa wastaarabu,tunaovuta kwa starehe!na wengi wanaotumia ni wastaarabu,so huyo gal wako hana shida,ni starehe yake!
Passion na ww mdau...????nilijua tu majibu majibu yako yamekaa "Kibangebange....."! ha ha ha am playing with u sweetie...
 
Haina mbaya mkuu. Ila awe anavuta na wewe ukiwepo, vijiweni wanaweza kumchanganyia na poda akawa teja.
 
Habari wana JF.

Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari, huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja, kwa kumuangalia kwa kweli ni dada mrembo sana na anaejitambua.

Sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake, mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi.

Siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi, aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake, nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake.

Sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani, niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona, nirudi nyumbani siku hiyo sikumuuliza kitu, umepita kama mwezi hivi.

Juzi nikamuuliza kama anatumia bangi, bahati nzuri hakua na ubishi alikubali, anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.

Tumegombana sana, naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nyingi za ajabu kwa sasa bado sijaziona.

Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.
Sasa kiongozi kwa jinsi unavyomkunjakunja na hiyo misarakasi yako bila kuwa na GANZI ya ndumu unafikiri ataweza ilo game?
 
hii thread inaonesha ni kwa kiwango gani members mmekuwa ni watumiaji wa bangi, jamani bangi sio kitu sahihi kabisa, faitilieni side effects za composition yake ili mjifunze. kwako uliyeleta uzi huu, partnership ya mapenzi ni kama ya biashara, inategemea na malengo yenu na tabia zenu. kama unatabia na unaona sahihi utumizi wa vilezi hasa bangi basi ishi nae, ila kama wewe si muumini wa maisha hayo please find partner mnaye fit nguzo na taratibu za maisha yenu.
 
Vuta na wewe mwende draw!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
bila shaka kitu from arusha moja iooo kawaida sana.
 
Huyo demu wako nshamjua, alinambia hana mpango wa kuacha bangi. Alinambia ana mpenzi wake JE, kumbe ndo wewe?

sasa unataka awe wako?
mpwa mbn kila dem unadandia ?wakikung'ata kama suarez itakuaje?
 
Back
Top Bottom