Wewe wala usiwe na shaka, kama 'she is smart' na anaidhibiti vizuri basi hawezi kuwa 'addicted'.Kuna wanawake wengi tu wanatumia na wako 'okay' kwa kila hali.. zaidi ya hayo huwa zinawaongezea mvuto wa kimapenzi zaidi..yani sio rahisi kujua kama anvuta labda uamue kujua kama nlivo amua,lakin otherwise shes veryvery okey wala ajapungukiwa kitu and she loves me sana,tatizo ni je hatabadilika?bange hua zinatabia za kumaddict mtu sasa akiongeza dozzndo utajua maana halisi ya bange.
aaaah wapi,ww wasema,mtu akifanya upumbavu ni kwa sababu na yy ni m.pu.mba.vu!na c bangi,mangapi tunashuhudia ya ajabu yanafanyika wanaofanya wanakua wamebangika?acha hizo hahaa!
Weed haina madhara kwa wastaarabu,tunaovuta kwa starehe!na wengi wanaotumia ni wastaarabu,so huyo gal wako hana shida,ni starehe yake!
hainiumizi sababu kwa mda wote haijaniathiri chochote,conflict inakuja ni je ataendelea kua hivi hivi kwa upole huu,na je mtoto atamlea vipi na mimoshi yake?
Habari wana JF.
Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari, huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja, kwa kumuangalia kwa kweli ni dada mrembo sana na anaejitambua.
Sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake, mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi.
Siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi, aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake, nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake.
Sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani, niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona, nirudi nyumbani siku hiyo sikumuuliza kitu, umepita kama mwezi hivi.
Juzi nikamuuliza kama anatumia bangi, bahati nzuri hakua na ubishi alikubali, anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.
Tumegombana sana, naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nyingi za ajabu kwa sasa bado sijaziona.
Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.
Passion na ww mdau...????nilijua tu majibu majibu yako yamekaa "Kibangebange....."! ha ha ha am playing with u sweetie...Weed haina madhara kwa wastaarabu,tunaovuta kwa starehe!na wengi wanaotumia ni wastaarabu,so huyo gal wako hana shida,ni starehe yake!
Sasa kiongozi kwa jinsi unavyomkunjakunja na hiyo misarakasi yako bila kuwa na GANZI ya ndumu unafikiri ataweza ilo game?Habari wana JF.
Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari, huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja, kwa kumuangalia kwa kweli ni dada mrembo sana na anaejitambua.
Sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake, mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi.
Siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi, aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake, nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake.
Sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani, niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona, nirudi nyumbani siku hiyo sikumuuliza kitu, umepita kama mwezi hivi.
Juzi nikamuuliza kama anatumia bangi, bahati nzuri hakua na ubishi alikubali, anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.
Tumegombana sana, naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nyingi za ajabu kwa sasa bado sijaziona.
Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.
Siyo huyu kweli?
Passion na ww mdau...????nilijua tu majibu majibu yako yamekaa "Kibangebange....."! ha ha ha am playing with u sweetie...
Yeah dats it!!
Hata maji ni simu ukiyatumia bila ustaarabu!!
:::::::::young wild and free""""
Huyo demu wako nshamjua, alinambia hana mpango wa kuacha bangi. Alinambia ana mpenzi wake JE, kumbe ndo wewe?