Mpenzi wako akianza kukuletea msharti, achana naye tafuta mpenzi mwingine; kwani kuachana shilingi ngapi?

Kweli kabisa mkuu; yupo kimaslahi zaidi hana upendo wa dhati kwangu. Afadhali nimemshtukia mapema kabla hajanipotezea muda mwingi. Ngoja nitafute mpenzi muelewa na anayejua thamani ya kupendwa, mbona wapo wengi tu humu mitaani. Kwanini ninganganie huyu kiruka njia.
una susa susa, in manara voice Mzee hivi viumbe usivisuse

Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
 
MAPENZI ni hisia. Unapompata mtu anakupenda kwa dhati, ni vigumu sana kuyatambua mateso ya wengine wanayopitia kwenye mahusiano yao. Wapendanao wanajiona wapo kwenye dunia yao, wanapokuwa pamoja wanajihisi matajiri hata kama ni kapuku.

Unapokosea kumchagua mwenzi wa maisha mara nyingi unajikuta kwenye mateso mazito na siku zote kati ya mtihani mgumu kuufaulu katika masuala ya uhusiano wa kimapenzi ni kumpata mwenza sahihi mwenye mapenzi ya dhati.

Wengi wamejikuita wakiingia kwenye uhusiano na watu ambao hawana mapenzi ya dhati. Wanateseka, wanajaribu kuwavumilia wenzi wao ili labda pengine wanaweza kubadilika lakini wapi. Mwisho wa siku wanaishia kuachana.

Ni vizuri sana kwa wale wanaokwenda kuanzisha mahusiano mapya, wakawa makini sana katika kufanya utafiti juu ya wenza wao. Jiulize, unayempenda ana mapenzi ya dhati? Atakujali? Atakuthamini? Atakupa kipaumbele? Atakuheshimu?

Hili linawezekana endapo tu utafanya uchunguzi mapema kwa wakati ule unaonazisha uhusiano. Mwenye upendo wa dhati utamjua tu endapo utakuwa makini.

Penzi la kweli halilazimishwi, linaonekana dhahiri shahiri. Mpenzi wako unamjua kama ana mapenzi ya dhati kwako hata kwa kumuangalia tu machoni, anavyokujali, anavyokuhitaji na hata jinsi anavyokuthamini.
You nailed it.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Habari wana MMU? Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Naomba kuwashirikisha kisa kimoja na mpenzi wangu Salma. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2 ijapokuwa kimtindo. Siku za nyuma nilimfungulia kibiashara akawa anajishughulisha nacho lakini baadaye alikula mtaji biashara ikafa. Pamoja na kula mtaji bado nilikuwa nimepanga kumfufulia biashara au kumfungulia biashara nyingine.
IMG_20190704_053237.JPG


Mwezi uliopita nilisafiri kwenda Mwanza lakini kabla ya kusafiri nilimuita aje nikate kiu na kumuachia pesa ya matumizi. Nilimpigia na kumtumia sms nyingi lakini hakuja. Huwa ana kawaida hii lakini mm niliamua kuendelea naye kwa kuwa hunipa kitu roho inapenda. Na pia sio mwaminifu kiviiile lakini naenda naye hivyo hivyo.

Nilipoona hataki kuja kwangu nimuachie pesa na kukata kiu, nikaondoka zangu. Nilipofika Mwanza nikakaa siku 3 nikaona sms yake akiniomba nimtumie pesa ya matumizi. Sikumtumia aisee. Huwa sifanyi ujinga huo. Nilimuambia asubiri hadi nirudi maana kabla ya kuondoka nilimuomba apitie pesa ya matumizi hakutaka kuja.

Basi nimekaa huko Mwanza yapata mwezi mmoja kisha nikarudi huku mkoani. Baada ya kurudi nilimpigia simu aje kuchukua pesa ya matumizi akawa haji. Baadaye nikaanza kumbebeleza ndipo akaja sasa. Alipokuja si akaanza kuniwekea masharti kwamba bila kumfungulia biashara hataki nikate kiu. Nikamuangalia nikasema huyu dawa yake nyepesi. Nikamuacha aondoke aniache na kiu yangu lakini nikaapa kutomtafuta tena.

Hivi sasa nipo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi mpya. Unajua mpenzi wako wa KIKE akishajua kwamba unamshobokea sana huanza kuleta nyodo. Nimeamua kumuacha mazima huyu mshenzi, hawezi kuniwekea masharti kwenye issue za mapenzi. Atakuwa kanichoka anatafuta sababu ya kuachana. Kwani kuachana shilingi ngapi? Akafie huko mbele nitapata mpenzi mwingine bora kulikp yeye. Mpuuzi mkubwa!

Kuna baadhi ya watu nimewasimulia kisa hiki wamenilaumu kuwa nimefanya uamuzi wa kukurupuka. Hebu niambie tatizo langu ni lipi katika huu muachano.
Upo sahihi sana mkuu

Kuna mtu alinambia bila iPhone hatanisamehe, nikamwambia wacha nifikirie

Nikamuita anipe mzagamuo akanipa na ishu ya iPhone ikaendelea

Baada ya kutafakari mno nikamwambia siwezi kununua msamaha hata kwa chawa

Basi akajishusha na kujifanya ooh nilikuwa nakutania na nini, ila tangu hapo nikaona sina mtu kabisa

Nikamgeuza ka Malaya kangu, nafasi ambayo sitajutia mpaka nakufa maana aliistahili na kuitendea haki
 
Upo sahihi sana mkuu

Kuna mtu alinambia bila iPhone hatanisamehe, nikamwambia wacha nifikirie

Nikamuita anipe mzagamuo akanipa na ishu ya iPhone ikaendelea

Baada ya kutafakari mno nikamwambia siwezi kununua msamaha hata kwa chawa

Basi akajishusha na kujifanya ooh nilikuwa nakutania na nini, ila tangu hapo nikaona sina mtu kabisa

Nikamgeuza ka Malaya kangu, nafasi ambayo sitajutia mpaka nakufa maana aliistahili na kuitendea haki
Kweli kabisa mkuu. Hawa viumbe usipokwenda nao sambamba wanaweza kukupasua kichwa na utajikuta unashindia mihogo wakati mwenzako anajisanua na mabwana zake wengine kwa gharama zako.
 
Ni vizur ila formula ipo ivi
Kuachana na wanaume tofauti tofauti ipo DIRECTLY PROPORTIONAL na kuitwa malair
 
Upo sahihi sana mkuu

Kuna mtu alinambia bila iPhone hatanisamehe, nikamwambia wacha nifikirie

Nikamuita anipe mzagamuo akanipa na ishu ya iPhone ikaendelea

Baada ya kutafakari mno nikamwambia siwezi kununua msamaha hata kwa chawa

Basi akajishusha na kujifanya ooh nilikuwa nakutania na nini, ila tangu hapo nikaona sina mtu kabisa

Nikamgeuza ka Malaya kangu, nafasi ambayo sitajutia mpaka nakufa maana aliistahili na kuitendea haki
Ikiwa baadaye atalegeza msimamo, huu ndio utakuwa utaratibu nitakaofuata mkuu.
 
Mkuu unatesekaaa badoo ndo maana unaanzisha mpaka uzi
No. Nimekimbia mateso. Nimeanzisha uzi ili kuwaokoa wanaoteseka na kunagangania kwa wanawake wenye tabia kama hizi.
 
Mkuu hao malaya unawapata wapi ndugu yangu...hebu tuliza akili tafuta mwanamke wa kuoa ambae atakua mke haswa
 
Back
Top Bottom