Mpenzi wako akianza kukuletea msharti, achana naye tafuta mpenzi mwingine; kwani kuachana shilingi ngapi?

masaa 2 unayajua mkuu
hizi stori za kitoto muwe mnaacha
Kama huamini basi mkuu. Kama ingewezekana ningekuita uje kushuhudia uwashe na stop watch kabisa,; yasipofika masaa 2 nastaafu mapenzi.
 
Hakua moenzi wako bali chombo cha starehe. Nae alikuchoka ungemuambia tu mapema kuwa anakuuzia penzi
Huyu malay..a wake anamuita mpenzi 🤣 hivi mpenzi akijua kidume chake kina kiu si kinaletaga papuchi mwenyewe na kuchakazwa🤣
 
MAPENZI ni hisia. Unapompata mtu anakupenda kwa dhati, ni vigumu sana kuyatambua mateso ya wengine wanayopitia kwenye mahusiano yao. Wapendanao wanajiona wapo kwenye dunia yao, wanapokuwa pamoja wanajihisi matajiri hata kama ni kapuku.

Unapokosea kumchagua mwenzi wa maisha mara nyingi unajikuta kwenye mateso mazito na siku zote kati ya mtihani mgumu kuufaulu katika masuala ya uhusiano wa kimapenzi ni kumpata mwenza sahihi mwenye mapenzi ya dhati.

Wengi wamejikuta wakiingia kwenye uhusiano na watu ambao hawana mapenzi ya dhati. Wanateseka, wanajaribu kuwavumilia wenzi wao ili labda pengine wanaweza kubadilika lakini wapi. Mwisho wa siku wanaishia kuachana.

Ni vizuri sana kwa wale wanaokwenda kuanzisha mahusiano mapya, wakawa makini sana katika kufanya utafiti juu ya wenza wao. Jiulize, unayempenda ana mapenzi ya dhati? Atakujali? Atakuthamini? Atakupa kipaumbele? Atakuheshimu?

Hili linawezekana endapo tu utafanya uchunguzi mapema kwa wakati ule unaonazisha uhusiano. Mwenye upendo wa dhati utamjua tu endapo utakuwa makini.

Penzi la kweli halilazimishwi, linaonekana dhahiri shahiri. Mpenzi wako unamjua kama ana mapenzi ya dhati kwako hata kwa kumuangalia tu machoni, anavyokujali, anavyokuhitaji na hata jinsi anavyokuthamini.
 
MAPENZI ni hisia. Unapompata mtu anakupenda kwa dhati, ni vigumu sana kuyatambua mateso ya wengine wanayopitia kwenye mahusiano yao. Wapendanao wanajiona wapo kwenye dunia yao, wanapokuwa pamoja wanajihisi matajiri hata kama ni kapuku.

Unapokosea kumchagua mwenzi wa maisha mara nyingi unajikuta kwenye mateso mazito na siku zote kati ya mtihani mgumu kuufaulu katika masuala ya uhusiano wa kimapenzi ni kumpata mwenza sahihi mwenye mapenzi ya dhati.

Wengi wamejikuita wakiingia kwenye uhusiano na watu ambao hawana mapenzi ya dhati. Wanateseka, wanajaribu kuwavumilia wenzi wao ili labda pengine wanaweza kubadilika lakini wapi. Mwisho wa siku wanaishia kuachana.

Ni vizuri sana kwa wale wanaokwenda kuanzisha mahusiano mapya, wakawa makini sana katika kufanya utafiti juu ya wenza wao. Jiulize, unayempenda ana mapenzi ya dhati? Atakujali? Atakuthamini? Atakupa kipaumbele? Atakuheshimu?

Hili linawezekana endapo tu utafanya uchunguzi mapema kwa wakati ule unaonazisha uhusiano. Mwenye upendo wa dhati utamjua tu endapo utakuwa makini.

Penzi la kweli halilazimishwi, linaonekana dhahiri shahiri. Mpenzi wako unamjua kama ana mapenzi ya dhati kwako hata kwa kumuangalia tu machoni, anavyokujali, anavyokuhitaji na hata jinsi anavyokuthamini.
Tafadhali sana ndugu Moderator sogeza hii post kule juu ili wadau waipate smambamba na uzi huu.
 
Kweli kabisa wiki iliyopita nimetoka kuachana na demu kwa mambo hayo yaani eti nimemtongoza frexh kwenye kutoa mbunye demu ni mpaka ubembeleze afu baada ya kuvua nguo nikajua bikra kumbe dah shimo la mtu kuingia baada ya kumla nikapiga chini saiv anatuma sms tu sijibu
 
Habari wana MMU? Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Naomba kuwashirikisha kisa kimoja na mpenzi wangu Salma. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2 ijapokuwa kimtindo. Siku za nyuma nilimfungulia kibiashara akawa anajishughulisha nacho lakini baadaye alikula mtaji biashara ikafa. Pamoja na kula mtaji bado nilikuwa nimepanga kumfufulia biashara au kumfungulia biashara nyingine.
IMG_20190704_053237.JPG


Mwezi uliopita nilisafiri kwenda Mwanza lakini kabla ya kusafiri nilimuita aje nikate kiu na kumuachia pesa ya matumizi. Nilimpigia na kumtumia sms nyingi lakini hakuja. Huwa ana kawaida hii lakini mm niliamua kuendelea naye kwa kuwa hunipa kitu roho inapenda. Na pia sio mwaminifu kiviiile lakini naenda naye hivyo hivyo.

Nilipoona hataki kuja kwangu nimuachie pesa na kukata kiu, nikaondoka zangu. Nilipofika Mwanza nikakaa siku 3 nikaona sms yake akiniomba nimtumie pesa ya matumizi. Sikumtumia aisee. Huwa sifanyi ujinga huo. Nilimuambia asubiri hadi nirudi maana kabla ya kuondoka nilimuomba apitie pesa ya matumizi hakutaka kuja.

Basi nimekaa huko Mwanza yapata mwezi mmoja kisha nikarudi huku mkoani. Baada ya kurudi nilimpigia simu aje kuchukua pesa ya matumizi akawa haji. Baadaye nikaanza kumbebeleza ndipo akaja sasa. Alipokuja si akaanza kuniwekea masharti kwamba bila kumfungulia biashara hataki nikate kiu. Nikamuangalia nikasema huyu dawa yake nyepesi. Nikamuacha aondoke aniache na kiu yangu lakini nikaapa kutomtafuta tena.

Hivi sasa nipo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi mpya. Unajua mpenzi wako wa KIKE akishajua kwamba unamshobokea sana huanza kuleta nyodo. Nimeamua kumuacha mazima huyu mshenzi, hawezi kuniwekea masharti kwenye issue za mapenzi. Atakuwa kanichoka anatafuta sababu ya kuachana. Kwani kuachana shilingi ngapi? Akafie huko mbele nitapata mpenzi mwingine bora kulikp yeye. Mpuuzi mkubwa!

Kuna baadhi ya watu nimewasimulia kisa hiki wamenilaumu kuwa nimefanya uamuzi wa kukurupuka. Hebu niambie tatizo langu ni lipi katika huu muachano.
Usirudi nyuma mkuu.... USIRUDI NYUMA, USIRUDI NYUMA KAMWE
 
Kweli kabisa wiki iliyopita nimetoka kuachana na demu kwa mambo hayo yaani eti nimemtongoza frexh kwenye kutoa mbunye demu ni mpaka ubembeleze afu baada ya kuvua nguo nikajua bikra kumbe dah shimo la mtu kuingia baada ya kumla nikapiga chini saiv anatuma sms tu sijibu
Safi sana mkuu; hawa viumbe huwa wanajifanya wa gharama sana kumbe used kinoumer aisee!
 
Habari wana MMU? Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Naomba kuwashirikisha kisa kimoja na mpenzi wangu Salma. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2 ijapokuwa kimtindo. Siku za nyuma nilimfungulia kibiashara akawa anajishughulisha nacho lakini baadaye alikula mtaji biashara ikafa. Pamoja na kula mtaji bado nilikuwa nimepanga kumfufulia biashara au kumfungulia biashara nyingine.
IMG_20190704_053237.JPG


Mwezi uliopita nilisafiri kwenda Mwanza lakini kabla ya kusafiri nilimuita aje nikate kiu na kumuachia pesa ya matumizi. Nilimpigia na kumtumia sms nyingi lakini hakuja. Huwa ana kawaida hii lakini mm niliamua kuendelea naye kwa kuwa hunipa kitu roho inapenda. Na pia sio mwaminifu kiviiile lakini naenda naye hivyo hivyo.

Nilipoona hataki kuja kwangu nimuachie pesa na kukata kiu, nikaondoka zangu. Nilipofika Mwanza nikakaa siku 3 nikaona sms yake akiniomba nimtumie pesa ya matumizi. Sikumtumia aisee. Huwa sifanyi ujinga huo. Nilimuambia asubiri hadi nirudi maana kabla ya kuondoka nilimuomba apitie pesa ya matumizi hakutaka kuja.

Basi nimekaa huko Mwanza yapata mwezi mmoja kisha nikarudi huku mkoani. Baada ya kurudi nilimpigia simu aje kuchukua pesa ya matumizi akawa haji. Baadaye nikaanza kumbebeleza ndipo akaja sasa. Alipokuja si akaanza kuniwekea masharti kwamba bila kumfungulia biashara hataki nikate kiu. Nikamuangalia nikasema huyu dawa yake nyepesi. Nikamuacha aondoke aniache na kiu yangu lakini nikaapa kutomtafuta tena.

Hivi sasa nipo kwenye mchakato wa kutafuta mpenzi mpya. Unajua mpenzi wako wa KIKE akishajua kwamba unamshobokea sana huanza kuleta nyodo. Nimeamua kumuacha mazima huyu mshenzi, hawezi kuniwekea masharti kwenye issue za mapenzi. Atakuwa kanichoka anatafuta sababu ya kuachana. Kwani kuachana shilingi ngapi? Akafie huko mbele nitapata mpenzi mwingine bora kulikp yeye. Mpuuzi mkubwa!

Kuna baadhi ya watu nimewasimulia kisa hiki wamenilaumu kuwa nimefanya uamuzi wa kukurupuka. Hebu niambie tatizo langu ni lipi katika huu muachano.
Hapo big up, mimi nakupa kongole yaani huyo alishakuona wewe bwege mtozeni akaanza kutaka kukupelekesha..Mwanaume ni mtawala, mwanaume ni Kiongozi yeye ndo anatoa masharti siyo kupangiwa na mwanamke..Yeye ni mtawaliwa yani alipaswa akuombe kwa unyenyekevu badala yake anataka kutumia uch*I wake kama ndoani ya kutimiza matakwa yake hapo ni Big NO.
 
Ni kosa kubwa sana kumnyima mwanaume utelezi pole kwa janga la kuachwa na nyege zako.ungeenda polis kumripot dawati la jinsia
 
MAPENZI ni hisia. Unapompata mtu anakupenda kwa dhati, ni vigumu sana kuyatambua mateso ya wengine wanayopitia kwenye mahusiano yao. Wapendanao wanajiona wapo kwenye dunia yao, wanapokuwa pamoja wanajihisi matajiri hata kama ni kapuku.

Unapokosea kumchagua mwenzi wa maisha mara nyingi unajikuta kwenye mateso mazito na siku zote kati ya mtihani mgumu kuufaulu katika masuala ya uhusiano wa kimapenzi ni kumpata mwenza sahihi mwenye mapenzi ya dhati.

Wengi wamejikuita wakiingia kwenye uhusiano na watu ambao hawana mapenzi ya dhati. Wanateseka, wanajaribu kuwavumilia wenzi wao ili labda pengine wanaweza kubadilika lakini wapi. Mwisho wa siku wanaishia kuachana.

Ni vizuri sana kwa wale wanaokwenda kuanzisha mahusiano mapya, wakawa makini sana katika kufanya utafiti juu ya wenza wao. Jiulize, unayempenda ana mapenzi ya dhati? Atakujali? Atakuthamini? Atakupa kipaumbele? Atakuheshimu?

Hili linawezekana endapo tu utafanya uchunguzi mapema kwa wakati ule unaonazisha uhusiano. Mwenye upendo wa dhati utamjua tu endapo utakuwa makini.

Penzi la kweli halilazimishwi, linaonekana dhahiri shahiri. Mpenzi wako unamjua kama ana mapenzi ya dhati kwako hata kwa kumuangalia tu machoni, anavyokujali, anavyokuhitaji na hata jinsi anavyokuthamini.
Sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom