Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?

Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.

Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.

Paskali
bunge unalosema limejadili, ni bunge la akili za musukuma na kibajaji na wengine, bunge ambalo halina maslahi ya wananchi, pamoja na bunge kupitisha, wale wa mtaani waliowapeleka pale hawajakubaliana nao, wananchi wamekataa hivyo walichokublai bunge sicho kile walichokitaka wananchi wao. ukisema who the hell is TEC, hilo ni kundi la maaskofu wanaowawakilisha na kuwaabudisha wakatoliki zaidi ya milion 10 hapa Tanzania ambao ni wapiga kura, wakiona uozo wewe ni nani kuwazuia wasiwasemee waumini wao? serikali yetu ni ya kiimla kwamba chochote inachoamua ni sahihi kisipingwe? kwani ni mangapi yamepingwa wakalazimisha tukaishia kulipa mamia ya mabilioni kama fidia hapo mbeleni? unatafuta cheo?
 
Tanzania yetu ni Secular Democracy tukemee kwa nguvu zote Agenda za siri zitakazotugawanya.

Tukiichoma hii Tanzania kuna watu watakimbilia Vatican na wengine Saudia sisi akina yakhe tutaenda wapi yarabi?
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?

Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.

Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.

Paskali

Paschal Mayalla,

1. Taasisi zote za kijamii (social institutions) unazozifahamu kama vile elimu, tiba, familia, dini, dola, na uchumi, ni kwa ajili ya kumhudummia binadamu.

2. Hivyo, masuala ya elimu, tiba, familia, dini, dola, na uchumi yanaunda "both/and senario" na sio "either/or senario."

3. Hili kosa lako linaitwa "Either-Or fallacy" au "False dilemma fallacy" au "bifurcation fallacy" au "black-or-white fallacy" au "the excluded middle fallacy" au "false dichotomy fallacy."

4. Pia nashauri tujadili maudhui ya tamko badala ya kujadili waleta tamko.

5. Wewe ni mwanasheria na hivyo unaelewa umuhimu wa ukuta unaotenganisha ujumbe na mjumbe.

6. Kwa kisukuma unachofanya kinaitwa ARGUMMENTUM AD HOMINEM.

7. Acha kudhalilisha taaluma. Sio poa.

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.
 
Kuchanganya dini na siasa maana yake nini?

Kwanini hamtaki TEC watoe maoni yao kama ambavyo wengine wote wamekuwa wakiyatoa bila kujali nafasi zao?

Hiki ulicholeta hapa hakitakiwi kutiliwa maanani na wote wanaojilewa, kwa sababu siku hizi unajulikana umekuwa mtu wa aina gani.
watake wasitake maoni yameshatolewa na huo ndo msimamo wa wananchi walio wengi. imeenda hiyo.
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?

Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.

Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.

Paskali
Mkuu Paskali.

Vatican ni dola, inatawala kupitia mfumo usioonekana kwa macho.

Waraka wao ni red alert. Just skip to the next page
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?

Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.

Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.

Paskali
Sijui kbs mambo ya dp world lakini naomba nichangie kwenye hili suala la dini na siasa.Si kwa waislamu wala kwa wakristo wala budha au nani: ni hivi Mungu anatakiwa kutukuzwa katika eneo lolote la maisha iwe binafsi au kijamii.Kamwe usitenge kwamba hili ni la Mungu hili sio.
 
Haya mambo ya kuchanganya vitu CCM muanze kuwa mfano kuyakataa.

Mfano jana huyo mama yenu anafanya mkutano wa CCM kwenye ikulu iliyojengwa kwa kodi za wananchi totally absurd.

Hapo unakuta gharama za kuandaa mkutano kulipana posho zinatokana na kodi za wananchi.

Pili issue ya hao maaskofu kutoa msimamo wao sio kama kuna tatizo kanisani mbali ya kuwepo dini hata wanasiasa wapo na ndio maana hata najua unafahamu serikali ina shughuli zake na watu wake kwenye hizo nyumba zote za ibada.
 
Paskal bwana unazeeka vibaya

Nakuwekea tamko hapa usome tena usipoelewa nimpigie nikueleweshe ...sijui umekula maharage ya wapi(in Gwajima voice)na msamaha akaenda kuomba wewe leo ni wakuhoji kuhusu TEC for really?
 

Attachments

  • TAMKO PDF.pdf
    2.2 MB · Views: 2
DINI KWENYE ELIMU SAWA,NDIO MAANS WANAJENGA SHULE.DINI KWENYE AFYA ZA WANANCHI SAWA, NDIO MAANA WANAJENGA HOSPITAL. DINI KWENYE SIASA ETI NO NO NO NO NO KWANINI???? ILI UHUBIRIWE UELEWE, INABIDI UWE NA UELEWA MZURI( ELIMU) NA AFYA NJEMA. LAKINI PIA LAZIMA IWEPO AMANI. AMANI INATOKANA NA SIASA SAFI. HAPO DINI UTAITENGAJE NA SIASA.MBONA BUNGENI KUNA MAASKOFU NA WACHUNGAJI?
icho kibandiko kwamba tusichanganye dini na siasa ndio uchochoro wa kutafunia pesa wanaccm, hawataki kusemwa. kwenye majukwaa wanawaalika wawaombee, mashule yao wanayataka, mahospitali wanayataka, ila wakikosea hawataki kusemwa ati unachanganya dini na siasa, msiwe mnawaalika basi hata kwenye hizo hafla zenu, ninyi ndio wa kwanza kuchanganya dini na siasa.
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?

Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.

Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.

Paskali
Ehee! Tujadili hoja au tujadili watu?
 
Kuna jipya gani unaposema wasichanganye dini na Siasa?

Mara ngapi JPM alifanyia Siasa Msikitini ama Kanisani

Hujaona ile kauli ya kuhusu Corona hayati aliitoa akiwa Kanisani.

Hujaona Mama Samia anafanya Siasa Kanisani ama Msikitini wakati ule wa kufutarisha?

Kanisa lina wakilisha Wananchi vile vile Msikiti.

Kwahiyo kutoa maoni yao kama Jumuiya inayowakilisha Mamilioni ya Watanzania sidhani kama ni dhambi.

Kumbuka Kanisa/Msikiti imara huzalisha Viongozi Imara.
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?

Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.

Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.

Paskali
Pascal Naamini wewe ni Mkristo na umesoma biblia, unajua vyema kazi walizofanya manabii kwa kusaidia jamiii kuishi vizuri na pia unafaham namna mitume na manabii kama akina elisha, elia walivyofanya kazi na watawala enzi hizo kwa maani waliwatia moyo watawala kupigana vita ilipobidi na pia waliwakosoa waziwazi pia pale walipoona mambo hayako sawa , sasa napata shida kama ufahamu wako kwa HAKI umekutuma kuwaza hivyo ulivyoandika ukiwa huru kabisa kifikra. Naukumbuke Tanzania inaamini katika MUNGU refere viapo vyetu na mombu yetu Bungeni, hivyo hutuwezi kujitenga na Nguvu za Mungu katika kujenga jamii bora ki utawala, Iweje sasa tushangae walioamiwa na Mungu wakituasa jambo?

Kwanini tuwashakie watuonya juu ya mienendo yetu ya kiutawala, kwani mtu akiiba au akafanya udanyifu mahali hiyo sio dhambi?. Tusiwafunge mikono watumishi wa Mungu kwa kuwapa mipaka, sisi ni jamii yao na wanahaki tudurudi hasa pale wanapofanya kwa haki.
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?

Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.

Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.

Paskali
Who the he'll are TEC!?? Wewe kweli mkatoliki kobe. Unaifahamu Canon law of infallibility? Kwa ufahamisho tu hizi ni sauti za watanzania milioni 20 wakatoliki. Hili tamko tutalikuta kigangoni jumapili. Ni utii tu.
 
Back
Top Bottom