Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,156
Hahahahaha kishazeeka na ana madeni balaa. Nasikia mkewe kasepa kabaki looooseeerUmeshateuliwa boss subiri barua kwenye mbao za matangazo umeutafta sana ugali huu
Hahahahaha kishazeeka na ana madeni balaa. Nasikia mkewe kasepa kabaki looooseeerUmeshateuliwa boss subiri barua kwenye mbao za matangazo umeutafta sana ugali huu
bunge unalosema limejadili, ni bunge la akili za musukuma na kibajaji na wengine, bunge ambalo halina maslahi ya wananchi, pamoja na bunge kupitisha, wale wa mtaani waliowapeleka pale hawajakubaliana nao, wananchi wamekataa hivyo walichokublai bunge sicho kile walichokitaka wananchi wao. ukisema who the hell is TEC, hilo ni kundi la maaskofu wanaowawakilisha na kuwaabudisha wakatoliki zaidi ya milion 10 hapa Tanzania ambao ni wapiga kura, wakiona uozo wewe ni nani kuwazuia wasiwasemee waumini wao? serikali yetu ni ya kiimla kwamba chochote inachoamua ni sahihi kisipingwe? kwani ni mangapi yamepingwa wakalazimisha tukaishia kulipa mamia ya mabilioni kama fidia hapo mbeleni? unatafuta cheo?Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
watake wasitake maoni yameshatolewa na huo ndo msimamo wa wananchi walio wengi. imeenda hiyo.Kuchanganya dini na siasa maana yake nini?
Kwanini hamtaki TEC watoe maoni yao kama ambavyo wengine wote wamekuwa wakiyatoa bila kujali nafasi zao?
Hiki ulicholeta hapa hakitakiwi kutiliwa maanani na wote wanaojilewa, kwa sababu siku hizi unajulikana umekuwa mtu wa aina gani.
Mkuu Paskali.Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Sijui kbs mambo ya dp world lakini naomba nichangie kwenye hili suala la dini na siasa.Si kwa waislamu wala kwa wakristo wala budha au nani: ni hivi Mungu anatakiwa kutukuzwa katika eneo lolote la maisha iwe binafsi au kijamii.Kamwe usitenge kwamba hili ni la Mungu hili sio.Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Paschal Mayalla,
Nashauri tujadili tamko badala ya kujadili waleta tamko.
Wewe ni mwanasheria na hiyo unaelewa umuhimu wa ukuta unaotenganisha ujumbe na jumbe.
Kwa kisukuma unahofanya kinaitwa ARGUMMENTUM AD HOMINE.
Unadhalilisha taaluma.
Sio poa.
icho kibandiko kwamba tusichanganye dini na siasa ndio uchochoro wa kutafunia pesa wanaccm, hawataki kusemwa. kwenye majukwaa wanawaalika wawaombee, mashule yao wanayataka, mahospitali wanayataka, ila wakikosea hawataki kusemwa ati unachanganya dini na siasa, msiwe mnawaalika basi hata kwenye hizo hafla zenu, ninyi ndio wa kwanza kuchanganya dini na siasa.DINI KWENYE ELIMU SAWA,NDIO MAANS WANAJENGA SHULE.DINI KWENYE AFYA ZA WANANCHI SAWA, NDIO MAANA WANAJENGA HOSPITAL. DINI KWENYE SIASA ETI NO NO NO NO NO KWANINI???? ILI UHUBIRIWE UELEWE, INABIDI UWE NA UELEWA MZURI( ELIMU) NA AFYA NJEMA. LAKINI PIA LAZIMA IWEPO AMANI. AMANI INATOKANA NA SIASA SAFI. HAPO DINI UTAITENGAJE NA SIASA.MBONA BUNGENI KUNA MAASKOFU NA WACHUNGAJI?
Ehee! Tujadili hoja au tujadili watu?Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Mamako halali, Dr. Slaa yuko wapi?Anayepiga kelele ni wewe na wenzio wanaowasamehe dhambi,mi nishtushwe na TEC!?..wamerudi parokiani wakati mkataba wa dp upo hatua za mwisho utekelezaji uanze
Pascal Naamini wewe ni Mkristo na umesoma biblia, unajua vyema kazi walizofanya manabii kwa kusaidia jamiii kuishi vizuri na pia unafaham namna mitume na manabii kama akina elisha, elia walivyofanya kazi na watawala enzi hizo kwa maani waliwatia moyo watawala kupigana vita ilipobidi na pia waliwakosoa waziwazi pia pale walipoona mambo hayako sawa , sasa napata shida kama ufahamu wako kwa HAKI umekutuma kuwaza hivyo ulivyoandika ukiwa huru kabisa kifikra. Naukumbuke Tanzania inaamini katika MUNGU refere viapo vyetu na mombu yetu Bungeni, hivyo hutuwezi kujitenga na Nguvu za Mungu katika kujenga jamii bora ki utawala, Iweje sasa tushangae walioamiwa na Mungu wakituasa jambo?Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Who the he'll are TEC!?? Wewe kweli mkatoliki kobe. Unaifahamu Canon law of infallibility? Kwa ufahamisho tu hizi ni sauti za watanzania milioni 20 wakatoliki. Hili tamko tutalikuta kigangoni jumapili. Ni utii tu.Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Acha uzwazwa kwa mkataba kama ule wa kissenge acha wasemeHakuna kingine wanaogopa influence ya mwarabu,wanajua uislam ulifika Tanganyika kupitia mwarabu,bila ujio wa mwarabu pasingekua na uislam,wanajua mwarabu ana pesa,pesa zitaleta miradi Kama shule na hospital ambazo wao wametumia kuvuna waamini