Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hakuna connection?
Kaa kimya Usifanye akaibomoa Ili mawazo yake yaonekane ni sahihi.Akiingia madarakani rais mwingine, ikulu itarejea rasmi Daresalaam.
Kwio, kibamia vimekatazwa.😄😄😄Si tumeambiwa Dodoma Ni ya kijani, kijani hiyo kwiyo bila maji?
Kwa Dodoma solution ni kununua tanki kubwa na kuliunga na system ya mabomba gharama Iko juu lakini kama uko kwako fumba macho hakuna namna.Kwakweli Dodoma hali ni mbaya kupita maelezo. DUWASA walishindwa kujipanga na ongezeko kubwa la watu kwa muda mfupi.
Subirini kwanza anajenga daraja la busisi, anamalizia airport pale chato, anaimarisha hifadhi ya chato na hospitali ya rufaa pale chato, baadaye atakuja huko kuwavutia maji kutoka bahari ya hindiMy President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Mkuu hiyo kampuni ya maji ya hapo umejaribu kuwasiliana nao wanasemaje,maana wiki iliopita ndugu yangu alisema kuna upungufu wa maji Dodoma kwa sababu kuna hitilafu ya umeme...My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Eti 'hacha', hacha ndiyo kiswahili gani?Hacha uzwazwa mkuu, Unatambia mali ya wizi?? Kwan hujui kuwa izo ofisi za ccm wazilipora toka serikalini??
Si tumeambiwa Dodoma Ni ya kijani, kijani hiyo kwiyo bila maji?
khaaaaaahWala hakuna mtu atakusikiliza ww na ombi lako. Pambana na hali yako. Naona unamwita baba yako. Na kura ulimpigia. Sasa hivi kipaumbele ni Chato tu. Wengine mkafilie mbali. Mitano au miishirini kabisaaaa
ts jf lol,Kwani mji mkuu si Chato View attachment 1686355
Kumbe Ni baba yako
moreeMy President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Chama cha mazezeta,tenaHata wao wenyewe wamejichelewesha, mpaka sasa hawana hata kiwanja tu cha kujenga kiofisi cha makao makuu ya chama! Kama huko siyo kujichelewesha ni nini