Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,012
- 33,900
Mimi nilidhani suala hili halimhitaji JPM kuja kulisolve, ni suala la Katibu Mkuu Maji kumwagiza MD Dodoma kulishughulikia.
By the way huyo MD atakuwa amesign MoU na Wizara kuhusu majukumu yake kama Kiongozi wa Maji hapo Dodoma, ni suala la Katibu Mkuu Maji kumfuta kazi huyo MD na kuteua MD mwingine wakishauriana na Waziri wake iwapo anashindwa kutoa huduma ya Maji kulingana na MoU yao
Mwacheni JPM apumzike zake Chato
By the way huyo MD atakuwa amesign MoU na Wizara kuhusu majukumu yake kama Kiongozi wa Maji hapo Dodoma, ni suala la Katibu Mkuu Maji kumfuta kazi huyo MD na kuteua MD mwingine wakishauriana na Waziri wake iwapo anashindwa kutoa huduma ya Maji kulingana na MoU yao
Mwacheni JPM apumzike zake Chato