Mpendwa Rais Magufuli, Dodoma haina maji. Hali ni mbaya!

Mimi nilidhani suala hili halimhitaji JPM kuja kulisolve, ni suala la Katibu Mkuu Maji kumwagiza MD Dodoma kulishughulikia.

By the way huyo MD atakuwa amesign MoU na Wizara kuhusu majukumu yake kama Kiongozi wa Maji hapo Dodoma, ni suala la Katibu Mkuu Maji kumfuta kazi huyo MD na kuteua MD mwingine wakishauriana na Waziri wake iwapo anashindwa kutoa huduma ya Maji kulingana na MoU yao

Mwacheni JPM apumzike zake Chato
 
Kesho kutwa atakuwa anazindua ule mradi mkubwa wa maji ya ziwa Victoria pale Tabora mjini.

Haya maji yakifika Dom itakuwa kitu kikubwa sana.

Shida ya nchi hii ni viongozi kujifanya hawajua vipaumbele vya watu wao.

Ni trillion moja tu inabadili historia yote ya shida ya maji Dodoma.
Kipaumbele ni kuijenga Chato, mengine yasubiri kwanza au nasema uongo ndugu zangu?
 
Poleni huku mitaa nayoishi mimi maji kila siku tunapata asubui mpk saa 12 au labda kwasababu nakaa krb na kwa PM nawaza tuu.
 
My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Umepata kibali cha TCRA kuleta hii complain kwenye social media?
 
My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Kingeni maji ya mvua
 
Labda uhaba/shida ya maji inatokana na nini
Je walitangaza kuwa kutakuwa na uhaba wa maji?au uko kimya kimya

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Itakuwa matumizi yameongezeka sana, wamejaribu kutoa sababu naona sasa wameamua kunyamaza kimya, niseme ukweli mimi eneo letu tunapata maji kila siku kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tisa au kumi jioni tena ni mengi tu ingawa miaka ya nyuma ilikuwa kama hao jamaa wanaolalamika, hata nikiletewa taarifa ya kukatika yanaweza yasikatike, pia nimejipanga hata yakatike wiki nakuwa na akiba ya kutosha.
 
Back
Top Bottom