Mpendwa Rais Magufuli, Dodoma haina maji. Hali ni mbaya!

Mbunge wenu kwani ni nani? Ina maana hamuona anachokifanya Kalemani kwenye Jimbo lake muige?
 
Sio mbaya na wewe umechangia
Mimi nashangaa watu badala ya kuzungumzia mambo ya maana....
Eti wanamsumbua Rais... Maji.... maji....!! wakati huu ni masika mvua nyingi sana. Acheni uvivu Kingeni maji mjikimu sio kila kitu Mfanyiwe EBO!!
 
Mleta Eleza Mtaa Ulipo
Unajua Usiichonganishe Serikali Na Wananchi Wake
 
My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Wewe ni mchochezi wa vita ya kiuchumi ... unatumika na MABEBERU huso sio uzalendo

Tuko kwenye mipango ya kuongeza ndege nyingine nyie mnaleta vita ya kiuchumi, Ndege italeta watalii utaliu

Watalii wakija utalii utaongezeka na watakuja na maji lakini pia watatuletea mapato ya fweza za kigeni maji ya nini sasa

Ndege Kwanza Mitano Tena!!!

"... au sio ndugu zangu ..."
 
Mimi nashangaa watu badala ya kuzungumzia mambo ya maana....
Eti wanamsumbua Rais... Maji.... maji....!! wakati huu ni masika mvua nyingi sana. Acheni uvivu Kingeni maji mjikimu sio kila kitu Mfanyiwe EBO!!
Hakuna anayependa kufanyiwa, majukumu yamegawanywa au unataka wote tukafanye kazi DUWASA? Sijajua hiyo 33 hapo juu ni namba tu au umri? kama ni umri jitathmini, Kwa heri
 
Mleta Eleza Mtaa Ulipo
Unajua Usiichonganishe Serikali Na Wananchi Wake
Hakuna uchonganishi hata Wizara inajua hilo Naibu Waziri kisha likemea hilo (ITV) hata wiki haijaisha, sema la kuvunda mkuu, naona wanasubiri atumbuliwe mmoja au aje aulizwe maswali ya hovyo mbele ya vyombo vya habari ndio akili zitakaa sawa
 
Hakuna anayependa kufanyiwa, majukumu yamegawanywa au unataka wote tukafanye kazi DUWASA? Sijajua hiyo 33 hapo juu ni namba tu au umri? kama ni umri jitathmini, Kwa heri
33 just a number not my age
Mkuu nchi hii inaongozwa na Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Ndio maana yupo busy kwenye miradi mikubwa kama Bwawa la umeme. SGT. FLYOVER N. K
Leo kazindua shamba la miti kule Chato hekta 69 000
Watanzania tunataka nini tena???
 
Hakuna uchonganishi hata Wizara inajua hilo Naibu Waziri kisha likemea hilo (ITV) hata wiki haijaisha, sema la kuvunda mkuu, naona wanasubiri atumbuliwe mmoja au aje aulizwe maswali ya hovyo mbele ya vyombo vya habari ndio akili zitakaa sawa
Wapinzani Walituchelewesha Sana
 
My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Pole...Dodoma maeneo/mitaa gani hayo yenye hiyo shida?
 
Hivi karibuni mvua zimekuwa zinanyesha sana, lakini watu hawahangaiki kukinga maji ya kutosha kufidia dharura za hapa na pale, basi kaeni hapo msubiri rais awaletee maji...
 
Huku Mwanza jirani na ziwa Victoria hali ni hiyohiyo wiki ya pili sasa, kwasababu zakiusalama sitataja mtaa ila Muwasa wajitathmini kama kasi ya Magufuli wanaiweza.
 
Hivi karibuni mvua zimekuwa zinanyesha sana, lakini watu hawahangaiki kukinga maji ya kutosha kufidia dharura za hapa na pale, basi kaeni hapo msubiri rais awaletee maji...
halafu kweli.nashauri ukijenga nyumba dom weka mfumo wa gutter zielekeze kwenye kisima kikubwa au tank kusanya majivya mvua ambayo utatumia kwa raha kweli na kumwagilia na.kufulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom