‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

Mi namjua mpemba maarufu zaidi kwa sasa ni Maalimu SSH
 
kichwa cha habari mbona hakiendi moja kwa moja na maada husika mtoa uzi tunaomba uzi uchanganue huyo mpemba kamponza vp DCI
 
Naomba umsome Waberoya nadhani utamwelewa kuliko unavyonielewa

Hatuna tatizo na kubadili jina, hatuna tatizo na homeshopping au GSM au PCM,HGE n.k.

Tuna tatizo na ushiriki wa mkuu wa mkoa na hawa watu ambao kwa mujibu wako 'wamenusa hatari, wakabadili ngozi'' . Kwamba walichokuwa nafanya hakikuwa na moral values, sasa leo mkuu wa mkoa anaposhirikiana nao kwavile wamebadili jina, tena akiwaongoza kujenga majengo ya waumini wa dini akijua ni zao la moral decay hiyo ni moral decay ya hali ya juu

Mkuu wa mkoa anapojenga majengo ya serikali kwa kushirikana na GSM wakati yeye anadhamana ya kuhakikisha usafi wa washiriki , kuna tatizo

Ni kama hivi, wale watu wanaouza viungo vya binadamu watakapogeuza biashara hiyo haramu na ovu kwa kuingiza pesa katika kampuni ya mabasi tukakaa kimya kwasababu jina limebadilika, ni ukosefu wa maadili

Mkuu wa mkoa ana la kutueleza hapa! ushiriki wake na GSM unatia shaka sana kuliko kubadili majina

Kwa hili kuna mambo mawili
1. Mkuu wa mkoa awakane hadharani, na kuomba taasisi husika radhi
2. Akae kimya huku akiendelea kusiadia serikali kupambana na waouvu! awaache wananchi na hoja zao

Yule Mkuu wa Mkoa tuseme kwa kumuangalia tu kiakinifu utagundua kuwa ungekuwa ni uongozi wa JK labda angekuwa ameshaweka na yeye kiwanda.Angekuwa ameshajipatia ukwasi wa kutisha.Haonekani kuwa mwadilifu hata kidogo.Huyo ni "kenge" katika kundi la Mamba.
 
Bado tulio wengi tuko puzzled, tafadhali fafanua.

Mkuu sina cha kufafanua hapo kwani kosa la mleta uzi lipo bayana.Ameandika kichwa cha uzi ambacho hakiakisi maelezo yaliyomo kwenye uzi wenyewe.
 
yaani hii habari yako ni sawa na mtu akuahidi bia, alafu anakuonjesha kiroba, mwishon anakupa chibuku zero correlation
 
Aisee.....mbona sijaona "mpemba" alivyomponza huyo jamaa kwenye mada yako?au siku hizi ujangili unaitwa mpemba?
 
MsemajiUkweli hapa hukusema ukweli.

Kichwa na utumbo wa habari ni vitu tofauti kabisa.

Hassanoo na upemba wapi na wapi, tuulize wa Kariakoo tunaemjuwa toka walipohamia na baba'ke akiwa mdogo kutokea Mafia pale mtaa wa mvita kwa Binti Athumani.
 
Hivi unajua kazi za DCI kweli wewe ?
Director of Criminal Investigation ?

DCI = Director of Crime Investigation. Criminal ni mtu aliyefanya uhalifu, mhalifu atakuwaje na Director? Shule za mwendokasi zinawapeleka pabaya vijana wa JF
 
DCI = Director of Crime Investigation. Criminal ni mtu aliyefanya uhalifu, mhalifu atakuwaje na Director? Shule za mwendokasi zinawapeleka pabaya vijana wa JF
Oooh My God
Yaan wewe ndio wale wa Division 5
Kwa Hiyo DDP (Director of Public Prosecutions ) Utasema ni Mktugenzi wa washatakiwaji na Umma
 
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.

Porojo, leta uthibitisho
 
Oooh My God
Yaan wewe ndio wale wa Division 5
Kwa Hiyo DDP (Director of Public Prosecutions ) Utasema ni Mktugenzi wa washatakiwaji na Umma
Hahahahahahaha! Hapo kwenye Division 5 umenipeleka mbali sana.
 
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.

Yahee umevurugwaje ? Kutuchanganyia habari kulikoni waleta habari mchanganyiko
 
Na mie nilifungua kwa speed mwisho wa siku, ni tofauti na heading!
 
Back
Top Bottom