jmi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 532
- 468
Wewe ndiye huelewi pa1 na kujifanya unaelewa. Umemsikia jpm akisema kikosi cha kuzuia ujangili kilikuwa kikikwamwiswa ktk utendaji wake wa kazi? Sasa nani alikuwa akikikwamisha kikosi hicho, ndiyo utenguzi umeusikia leo.Unajua kazi ya DCI Lakini ?
Yaani aachwe kutumbuliwa Kamanda wa Kikosi cha kuzuia ujangili atumbuliwe DCI.
