‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

Sasa ulitaka niweke maoni yako?

Kwani wewe umebadilika?

Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.

Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.

Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Udikt...teta haupogo...... Men Tality.....Dictionarial Men....Tality....Room.
 
Mbona huyu ZCO wa hii kanda yetu pendwa hadi leo hatumbuliwi elihali inasemekana nae alikua akiwakingia kifua drug dealer enzi ile akiwa bosi pale obey????
 
Gazeti la mwanahalisi la Leo limeandika habari za kiuchunguzi zikisema kuwa DCI ametumbuliwa kutokana na kushindwa kushugulikia kikamilifu mtandao wa ujangili baada ya kugundua kinara wake ni kiongozi mkubwa wa CCM na mwenye ukaribu sana na Rais Magufuli.

Sasa najiuliza kama ni yuleyule wa mv au ni mwingine. Mwenye fununu atujuze
 
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio katika uchunguzi kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
Akiba ya maneno ni muhimu sana , wakati wewe unaendelea kupuyanga mwenzio kaula ! tena aliyemfanya aule ndio yule yule uliyekuwa unamsifia .
Poor you !
 
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio katika uchunguzi kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
Leo anasifiwa yeye ni TISS , kesho utasikia mengine
 
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio katika uchunguzi kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
.....
.....hahahaha code linked
 
Akiba ya maneno ni muhimu sana , wakati wewe unaendelea kupuyanga mwenzio kaula ! tena aliyemfanya aule ndio yule yule uliyekuwa unamsifia .
Poor you !
dah
long live jf,kweli akiba ya maneno ni muhimu sana,,nimejifunza kitu hapa............
 
Back
Top Bottom