‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

Siku hizi kuna mashindano ya kupost thread humu.Maana watu wanakurupuka sana
Jambo la muhimu ni kukaa kimya maana kuna kukurupuka kwingine kunatusaidia. MsemajiUkweli ameleta mada hii na kutufafanulia Homeshopping ndio waliojigeuza na kuwa GSM ambao sasa wanafanya kazi bega kwa bega na mkuu wa mkoa!
Tena kasema 'walijifilisi' baada ya kunusa hatari na kuja na ngozi nyingine

Hapa kuna neno!

Mag3 JokaKuu BAK Mchambuzi Waungwana kile kitendawili cha GSM ni nani MsemajiUkweli kakitegua. Katufungulia milango. Kumbe mkuu wa mkoa! lahaula!
 
Namsubi
Ok , hoja yako ni kuhusu home shopping uliosema 'wamejfilisi' na kuibuka kama GSM
Hapa ulikuwa unaonyesha kuwa zama hizi hazina masihara kwa mantiki ya bandiko lako

Ndipo nikauliza hawa GSM si ndio wanashirikiana na mkuu wa mkoa kujenga hospitali?
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na mkuu wa mkoa kujenga jengo la dini moja?

Kwa jibu lako umetuondoa hofu kuwa Home shopping ndio GSM. Na ni kweli kuwa corp ni independent entity that is separate to people who own, control and manage it kwa mujibu wako ambao sina tatizo nao

Tatizo langu ni hapa unapojaribu kuwaondoa Home shopiing ambao ni GSM kwa mujibu wako katika mahusiano na serikali. Kumbuka mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa Seriali katika ngazi ya mkoa

Hapa ndipo kuna tatizo kwamba hawa unaosema 'walijfilisi' kumbe wanakuja na gia nyingine halafu wanashirikisha viongozi wa serikali, na kisha unatuambia zama hazina masihara! ati?

Uhusiano wa GSM, Mkuu wa mkoa, hospitali na jengo la dini ni dhahiri na hapa mkuu wa mkoa ndiye '' subject matter''

Msemajiukweli ametuambia ushiriki wa mkuu wa mkoa! kumbe majengo yote yawe ya dini au hospitali yanatokana na shughuli zisizo na ithbati katika uhalali the least to say

Mkuu wa mkoa matatani, na nilisema msemjiukweli inawezeakana alisahau!

Mkuu wa mkoa Homeshoping, GSM, Jengo la dini, jingo la hospitali! kuna neno hapa waungwana. Hili tulitazame kwa ajicho mujarab, msemajiukweli katueleza kitu
Namsubiri huyu Msemajiuongo akujibu hapa. Naomba asikimbie tafadhali! This is tje problem of not seing things in perspective!
 
Jambo la muhimu ni kukaa kimya maana kuna kukurupuka kwingine kunatusaidia. MsemajiUkweli ameleta mada hii na kutufafanulia Homeshopping ndio waliojigeuza na kuwa GSM ambao sasa wanafanya kazi bega kwa bega na mkuu wa mkoa!
Tena kasema 'walijifilisi' baada ya kunusa hatari na kuja na ngozi nyingine

Hapa kuna neno!

Mag3 JokaKuu BAK Mchambuzi Waungwana kile kitendawili cha GSM ni nani MsemajiUkweli kakitegua. Katufungulia milango. Kumbe mkuu wa mkoa! lahaula!
Kamwaga Mtama,Mbele ya Kuku Wengi...
 
Ok , hoja yako ni kuhusu home shopping uliosema 'wamejfilisi' na kuibuka kama GSM
Hapa ulikuwa unaonyesha kuwa zama hizi hazina masihara kwa mantiki ya bandiko lako

Ndipo nikauliza hawa GSM si ndio wanashirikiana na mkuu wa mkoa kujenga hospitali?
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na mkuu wa mkoa kujenga jengo la dini moja?

Kwa jibu lako umetuondoa hofu kuwa Home shopping ndio GSM. Na ni kweli kuwa corp ni independent entity that is separate to people who own, control and manage it kwa mujibu wako ambao sina tatizo nao

Tatizo langu ni hapa unapojaribu kuwaondoa Home shopiing ambao ni GSM kwa mujibu wako katika mahusiano na serikali. Kumbuka mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa Seriali katika ngazi ya mkoa

Hapa ndipo kuna tatizo kwamba hawa unaosema 'walijfilisi' kumbe wanakuja na gia nyingine halafu wanashirikisha viongozi wa serikali, na kisha unatuambia zama hazina masihara! ati?

Uhusiano wa GSM, Mkuu wa mkoa, hospitali na jengo la dini ni dhahiri na hapa mkuu wa mkoa ndiye '' subject matter''

Msemajiukweli ametuambia ushiriki wa mkuu wa mkoa! kumbe majengo yote yawe ya dini au hospitali yanatokana na shughuli zisizo na ithbati katika uhalali the least to say

Mkuu wa mkoa matatani, na nilisema msemjiukweli inawezeakana alisahau!

Mkuu wa mkoa Homeshoping, GSM, Jengo la dini, jingo la hospitali! kuna neno hapa waungwana.

Hili tulitazame kwa ajicho mujarab, msemajiukweli katueleza kitu

unazungumzia usafi

kuwa hata gsm wafanyeje bado wana doa na wanajulikana wametokea wapi

kisheria wana nguvu na wamefufuka upya na ngumu kuwaweka nguvuni, kisheria kwa maana ya sheria

kiusafi, legitimacy....ileeee ambayo polepole alisema lowassa hana, ndio tunaona mfano huu wa uhusiano wa makonda, gsm na jengo la dini

kwa kifupi hakuna usafi wa serikali kushirikiana na hao watu
 
Sasa ulitaka niweke maoni yako?

Kwani wewe umebadilika?

Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.

Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.

Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Tatizo una panic jibu hoja siyo ngonjera nyingi,
Wa tz kwa nn hambadiriki? mpemba kamponza vipi DCI ndio hoja tuambie?
 
Jambo la muhimu ni kukaa kimya maana kuna kukurupuka kwingine kunatusaidia. MsemajiUkweli ameleta mada hii na kutufafanulia Homeshopping ndio waliojigeuza na kuwa GSM ambao sasa wanafanya kazi bega kwa bega na mkuu wa mkoa!
Tena kasema 'walijifilisi' baada ya kunusa hatari na kuja na ngozi nyingine

Hapa kuna neno!

Mag3 JokaKuu BAK Mchambuzi Waungwana kile kitendawili cha GSM ni nani MsemajiUkweli kakitegua. Katufungulia milango. Kumbe mkuu wa mkoa! lahaula!

inajulikana hiyo

swala tutaongea na yataisha na hakuna wa kufanya lolote, kuongea tu
 
Ok , hoja yako ni kuhusu home shopping uliosema 'wamejfilisi' na kuibuka kama GSM
Hapa ulikuwa unaonyesha kuwa zama hizi hazina masihara kwa mantiki ya bandiko lako

Ndipo nikauliza hawa GSM si ndio wanashirikiana na mkuu wa mkoa kujenga hospitali?
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na mkuu wa mkoa kujenga jengo la dini moja?

Kwa jibu lako umetuondoa hofu kuwa Home shopping ndio GSM. Na ni kweli kuwa corp ni independent entity that is separate to people who own, control and manage it kwa mujibu wako ambao sina tatizo nao

Tatizo langu ni hapa unapojaribu kuwaondoa Home shopiing ambao ni GSM kwa mujibu wako katika mahusiano na serikali. Kumbuka mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa Seriali katika ngazi ya mkoa

Hapa ndipo kuna tatizo kwamba hawa unaosema 'walijfilisi' kumbe wanakuja na gia nyingine halafu wanashirikisha viongozi wa serikali, na kisha unatuambia zama hazina masihara! ati?

Uhusiano wa GSM, Mkuu wa mkoa, hospitali na jengo la dini ni dhahiri na hapa mkuu wa mkoa ndiye '' subject matter''

Msemajiukweli ametuambia ushiriki wa mkuu wa mkoa! kumbe majengo yote yawe ya dini au hospitali yanatokana na shughuli zisizo na ithbati katika uhalali the least to say

Mkuu wa mkoa matatani, na nilisema msemjiukweli inawezeakana alisahau!

Mkuu wa mkoa Homeshoping, GSM, Jengo la dini, jingo la hospitali! kuna neno hapa waungwana. Hili tulitazame kwa ajicho mujarab, msemajiukweli katueleza kitu
Siasa mara nyingi hazina sheria lakini sheria hazina siasa.

Ndio yaleyale ya Clinton kupiga kelele za kisiasa akisema Trump hajalipa kodi wakati kisheria hawezi kulipa kodi kutokana na hasara ya $916 million aliyopata mwaka 1995. Hizi ni kelele tu za kisiasa ambazo hazina nguvu kisheria.

Kuifahamu kama GSM Foundation ni kampuni iliyoanzishwa na wamiliki wa Home Shopping Centre haina maana yoyote kisheria kwa sababu kampuni ni independent entity.

Unaweza kupiga kelele kisiasa lakini huwezi kufanya lolote kisheria.

Kutokuwa na masihara haina maana kuwa uko juu ya sheria.
 
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
Tafadhari weka picha za mpemba
 
unazungumzia usafi

kuwa hata gsm wafanyeje bado wana doa na wanajulikana wametokea wapi

kisheria wana nguvu na wamefufuka upya na ngumu kuwaweka nguvuni, kisheria kwa maana ya sheria

kiusafi, legitimacy....ileeee ambayo polepole alisema lowassa hana, ndio tunaona mfano huu wa uhusiano wa makonda, gsm na jengo la dini

kwa kifupi hakuna usafi wa serikali kushirikiana na hao watu
precise! precise!

Na ndio msingi wa hoja, sina tatizo na homeshopping ambao ni GSM kama kampuni.
Na wala sina tatizo na GSM kufanya shughuli za kijamii.

Tatizo ni ufungamano uliopo kati ya mkuu wa mkoa na GSM tena akiwaongoza katika shughuli za kiserikali wakati 'hakuna usafi wa serikali kushirikiana nao''
 
Sasa ulitaka niweke maoni yako?

Kwani wewe umebadilika?

Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.

Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.

Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Hapana ndugu sio ukweli kama una haki ya kujianfikia utakacho. Heading yako na content hazilingani kabisa. Hii post yako inaweza kuingia kwenye lile kundi la posting potoshi na zikawa zinavunja sheria nyingi tuu.
 
Sasa ulitaka niweke maoni yako?

Kwani wewe umebadilika?

Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.

Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.

Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.


hakuna haja ya kutoa povu, kichwa cha habari na habari yenyewe vina uhusiano ila habari imejikita kwenye mada tofauti na tangazo la kichwa cha habari.
 
Siasa mara nyingi hazina sheria lakini sheria hazina siasa.

Ndio yaleyale ya Clinton kupiga kelele za kisiasa akisema Trump hajalipa kodi wakati kisheria hawezi kulipa kodi kutokana na hasara ya $916 million aliyopata mwaka 1995. Hizi ni kelele tu za kisiasa ambazo hazina nguvu kisheria.

Kuifahamu kama GSM Foundation ni kampuni iliyoanzishwa na wamiliki wa Home Shopping Centre haina maana yoyote kisheria kwa sababu kampuni ni independent entity.

Unaweza kupiga kelele kisiasa lakini huwezi kufanya lolote kisheria.

Kutokuwa na mashala haina maana kuwa uko juu ya sheria.
Naomba umsome Waberoya nadhani utamwelewa kuliko unavyonielewa

Hatuna tatizo na kubadili jina, hatuna tatizo na homeshopping au GSM au PCM,HGE n.k.

Tuna tatizo na ushiriki wa mkuu wa mkoa na hawa watu ambao kwa mujibu wako 'wamenusa hatari, wakabadili ngozi'' . Kwamba walichokuwa nafanya hakikuwa na moral values, sasa leo mkuu wa mkoa anaposhirikiana nao kwavile wamebadili jina, tena akiwaongoza kujenga majengo ya waumini wa dini akijua ni zao la moral decay hiyo ni moral decay ya hali ya juu

Mkuu wa mkoa anapojenga majengo ya serikali kwa kushirikana na GSM wakati yeye anadhamana ya kuhakikisha usafi wa washiriki , kuna tatizo

Ni kama hivi, wale watu wanaouza viungo vya binadamu watakapogeuza biashara hiyo haramu na ovu kwa kuingiza pesa katika kampuni ya mabasi tukakaa kimya kwasababu jina limebadilika, ni ukosefu wa maadili

Mkuu wa mkoa ana la kutueleza hapa! ushiriki wake na GSM unatia shaka sana kuliko kubadili majina

Kwa hili kuna mambo mawili
1. Mkuu wa mkoa awakane hadharani, na kuomba taasisi husika radhi
2. Akae kimya huku akiendelea kusiadia serikali kupambana na waouvu! awaache wananchi na hoja zao
 
Eti home shopping centre walikuwa gamba na kujitahidi GSM foundation kwa Magufuli amewaharalisha kwa sababu serikali yake wanafanya kazi kwa karibu ndio maana a naonekana mnafiki tu wengine anawatumbuwa wengine anawaka heshima
 
Back
Top Bottom