Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,635
Kuna Komenti Yangu,nimekuwekea Link,ingia humo umuone mpemba!Mbona mnajua ukweli mnaficha ficha nn mnaogopa semeni ukweli mpemba ni nani?
Kuna Komenti Yangu,nimekuwekea Link,ingia humo umuone mpemba!Mbona mnajua ukweli mnaficha ficha nn mnaogopa semeni ukweli mpemba ni nani?
Bado tulio wengi tuko puzzled, tafadhali fafanua.Siku nyingine mkuu jifunze kuoanisha kichwa cha habari na maelezo yake.
Mbona hata Ikulu inahusisha nao hao GSM alitokea wapi makamu wa raisi kwenda kuweka jiwe la msingi kwa watu wa kwema kodiNaomba umsome Waberoya nadhani utamwelewa kuliko unavyonielewa
Hatuna tatizo na kubadili jina, hatuna tatizo na homeshopping au GSM au PCM,HGE n.k.
Tuna tatizo na ushiriki wa mkuu wa mkoa na hawa watu ambao kwa mujibu wako 'wamenusa hatari, wakabadili ngozi'' . Kwamba walichokuwa nafanya hakikuwa na moral values, sasa leo mkuu wa mkoa anaposhirikiana nao kwavile wamebadili jina, tena akiwaongoza kujenga majengo ya waumini wa dini akijua ni zao la moral decay hiyo ni moral decay ya hali ya juu
Mkuu wa mkoa anapojenga majengo ya serikali kwa kushirikana na GSM wakati yeye anadhamana ya kuhakikisha usafi wa washiriki , kuna tatizo
Ni kama hivi, wale watu wanaouza viungo vya binadamu watakapogeuza biashara hiyo haramu na ovu kwa kuingiza pesa katika kampuni ya mabasi tukakaa kimya kwasababu jina limebadilika, ni ukosefu wa maadili
Mkuu wa mkoa ana la kutueleza hapa! ushiriki wake na GSM unatia shaka sana kuliko kubadili majina
Kwa hili kuna mambo mawili
1. Mkuu wa mkoa awakane hadharani, na kuomba taasisi husika radhi
2. Akae kimya huku akiendelea kusiadia serikali kupambana na waouvu! awaache wananchi na hoja zao
Mkuu wa Mkoa awakane kwa kosa gani? Unataka awakane kwa hoja za kisiasa ambazo hazina nguzo kisheria?Naomba umsome Waberoya nadhani utamwelewa kuliko unavyonielewa
Hatuna tatizo na kubadili jina, hatuna tatizo na homeshopping au GSM au PCM,HGE n.k.
1. Mkuu wa mkoa awakane hadharani, na kuomba taasisi husika radhi.
Kwa nini akae kimya wakati nchi yetu inaishi katika msingi wa presumption of innocence unaosema, innocent until proven guilty.2. Akae kimya huku akiendelea kusiadia serikali kupambana na waouvu! awaache wananchi na hoja zao
Labda huyo mwenyekiti wa chama cha mpira Hassanoo wa pwani ndiye Mpemba. Mi sijamwelewa kabisa. AnadilikeSasa kichwa cha habari ni Mpemba halafu ndani ni maoni yako tu
na hiyo habari ya mpemba haipo
na wewe mbona hubadiliki?
Ndugu yangu nadhani hapa hujatenda haki kwa eneo fulani. Magufuli kama Rais sijaona namna anayoweza kuingia katika hili, namtetea kwa dhati kabisa Mh RaisEti home shopping centre walikuwa gamba na kujitahidi GSM foundation kwa Magufuli amewaharalisha kwa sababu serikali yake wanafanya kazi kwa karibu ndio maana a naonekana mnafiki tu wengine anawatumbuwa wengine anawaka heshima
Ha ha ha yule aliyegandisha barafu za moto?The Mpemba's effect
Kubali tu kuwa heading na habari yenyewe haviendani acha kutoa povu mkuu...waswahili husemi Mjinga akinyamaza huonekana ana hekima.Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Kama hatawakana haina shida. Tutabaki na ukweli kuwa homeshopping walionusa hatari wakabadili jina kwa mujibu wako, na ingawa hakusema ni hatari ipi na ikiwa tunajua awamu ile ndio wamebadili jina na kuwa GSM. Hao ndio wanashirikiana na mkuu wetu wa mkoa katika mambo kadhaa ya kijamii, ikiwemo mambo mzito yanayohitaji unyenyekevu wa kiimani.Mkuu wa Mkoa awakane kwa kosa gani? Unataka awakane kwa hoja za kisiasa ambazo hazina nguzo kisheria?
Kwa nini akae kimya wakati nchi yetu inaishi katika msingi wa presumption of innocence unaosema, innocent until proven guilty.
Na kwa kweli kushikiwa kisu kubaya sana.Sasa hapo umeongeaa mambo meengi hujaja na hoja yeyote inayomhusu Mpemba na Diwani athuman.. umeandika kama umeshikiwa kisu
Kumbe ndio yule wa Newton law sijui maji sijui barafu ina joto, aaaah!The Mpemba's effect
Makamu wa Rais alikaribishwa na mwenyeji wake alikuwa mkuu wa mkoa. Mnaona jinsi hii kitu inavyoanza kuwa mbaya na ngumuMbona hata Ikulu inahusisha nao hao GSM alitokea wapi makamu wa raisi kwenda kuweka jiwe la msingi kwa watu wa kwema kodi
Wenyewe wanajitetea, eti uandishi wa MWENDOKASITitle na content haviendani kabisa
Mkuu ni ngumu kueleweka. Wanasema uandishi wa MWENDOKASIAliyeelewa anieleweshe
Sasa mbona unakuwa mkali,Kama hujaeleweka usiulizwe? Hata Mimi sijajua ulitaka kusema nini? Huyo Mpemba umemtelekeza wapi katika story yako?Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Huo ndio ushahidi wa aina ya vichwa vya watanzania sisi. Wala hajali kama title haijakidhi takwa la habari yake.Thread yako haina mashiko mkuu. Nilichotegemea kukuta ndani ya thread na nilichokiona haviendani.
dictarorial mentality ~John Pumba Majaliwa(JPM).Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
NOO...huyo ni academic matereal. mpemba huyo ni nani????The Mpemba's effect