Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Not without my children......sina uhakika sana na title manake sikuweza hata kuimalizia.
..hii nadhani inaitwa Not without my daughter..
Not without my children......sina uhakika sana na title manake sikuweza hata kuimalizia.
Hamza khanoon,picha moja balaaa sanaa usipolia duh we noma
[/QUOTE]Dina,
Hiyo ya mama aliyetafuta wa kuwaachia wanawe inaitwa "who will love my children"
QUOTE=Dina;6059928]Kongosho nikumbushe vizuri, Not without my daughter ni ile ambayo mama alikuwa aliolewa somewhere ambapo alitakiwa kurudi kwao sijui, ila akatakiwa kuondoka yeye bila mtoto? kwa hiyo akawa anafanya jitihada za kumtorosha?
Hiyo ninayo-fumble fumble na title, ni mama aliyekuwa na watoto wanne or watano, na alikuwa anaugua kansa. Madaktari walishamuambia kuwa ana miezi kadhaa ya kuishi, kwa hiyo ndani ya hiyo miezi alikuwa anatafuta familia ambazo zingeweza kuwatunza watoto wake while she's gone. Mpaka amebaki hoi bin taaban, bado mtoto mmoja hakuwa amepata pa kumuacha, sasa hapo pa yeye kuamka on her death bead na kuendelea kuzunguka kutafuta pa kumuacha, ndio paliponishinda.....
Hii ni movie au zile wanazoektia ukumbini? Live cinema
Infact sio kunitoa machozi but ni movie ambazo zimewahi kunisikitisha sana
1. Everybody's Baby the rescue of Jessica Mcclure
2. The green mile
3. The way back
4. The boy in the striped pyjamas
5. After shock
6. Rules of Engagement
7. Saving private Ryan
8. A day in Iraq: American Soldier
9. We were soldiers
10. Nightmare on Elm street
11. Behind enemy line
hizi ni kati ya best movie zilizowahi kunisikitisha sio zote lakini ziko nyingi
ILIYO NI hii ya kinigeria inaitwa BILLIONAIRE CLUB hiyo chezea pesa za kuua wewe kidonda cha hatari hii move kwangu wacha tu
Hatya..
Jumong, pale mama yake anauwawa! Sijawahi rudia sehemu ile.
Not without my doughter imechezwa na Sarah field Mmarekani aliyeolewa na Muiran wakiwa hukohuko Marekani. Baadaye Muiran akarudi kwao yeye na familia yake ya mtoto mmoja.
Kufika kwanza uwanja wa Ndege anakutana na Askari wanaolinda maadili ya kidini 'Mutawa', na kutaka kumkamata kwa sababu amevaa kichwa wazi (tofauti na desturi za Kiislam). Kimbembe alipofika nyumbani na kwa bahati mbaya Ndugu wa Mume wakawa hawampendi. Na zaidi ya hapo wakaanza kumuona kikwazo kwa Kaka yao kwa sababu kun wakati badala ya kuamka na kuswali Swala ya adhuhuri yeye anapiga mbonji.
Hapo kivumbi kikaanza ndugu wa mume wakimtuhumu Mkwe na zaidi ya hapo na manyanyaso yakaanza pia kutoka kwa Mume, ndipo akapanga mpango wa kutorokea ubalozi wa Marekani akisaidiwa na baadhi ya Wairan vilevile.Ilikuwa hatari kweli..........!
Endelea kuitazama..........................
NB: Hii filamu ilipigwa marufuku Iran.