Movie iliyowahi kukutoa machozi....

TITLE:MAISHA YA BONGO

MAIN ACTOR:20%

YEAR:2011

LOCATION:KIBADA

kuna dogo alitumia jina la NEEMA. d a a a h! alintoa chozi. . . . .

Hata 20% mwenyew alifunika mbaaaya.

Na yule Mama Neena ndo akamaliza kabisa machozi yangu. . . pale alipokuwa anajifungua Neema. . . dah. hatari sana.

Dah! Hapa kweli mkuu, yaani mtunzima nililia mpaka makamasi yananitoka.

Sent from my GT-S7562 using Tapatalk 2
 
Taare zameen par
Ya kihindi,
Moja ya Nyimbo zilizopo humo ni maa

Taare Zameen Par : Lyrics –Maa (English Version)


—–I’ve never told you How scared I am of the dark I’ve never told you How much I care for you But you know, don’t you Ma? You know everything, my Ma.

Don’t leave me alone in crowds I’ll lose my way back home Don’t send me to places far away Where you won’t even remember me Am I so bad, Ma? Am I so bad, my Ma?

When sometimes Papa swings me Too high in the air, My eyes search for you, hoping You’ll come and hold me safe

I don’t tell him But I get petrified I don’t let it show But my heart sinks You know everything, don’t you ma? You know everything, my Ma

I’ve never told you How scared I am of the dark How much I care for you But you know, don’t you, Ma? You know everything, my Ma.
 
Dina,
Hiyo ya mama aliyetafuta wa kuwaachia wanawe inaitwa "who will love my children"

QUOTE=Dina;6059928]Kongosho nikumbushe vizuri, Not without my daughter ni ile ambayo mama alikuwa aliolewa somewhere ambapo alitakiwa kurudi kwao sijui, ila akatakiwa kuondoka yeye bila mtoto? kwa hiyo akawa anafanya jitihada za kumtorosha?

Hiyo ninayo-fumble fumble na title, ni mama aliyekuwa na watoto wanne or watano, na alikuwa anaugua kansa. Madaktari walishamuambia kuwa ana miezi kadhaa ya kuishi, kwa hiyo ndani ya hiyo miezi alikuwa anatafuta familia ambazo zingeweza kuwatunza watoto wake while she's gone. Mpaka amebaki hoi bin taaban, bado mtoto mmoja hakuwa amepata pa kumuacha, sasa hapo pa yeye kuamka on her death bead na kuendelea kuzunguka kutafuta pa kumuacha, ndio paliponishinda.....[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
kuna movie ya kihindi flani nimeisahau jina
kuna jamaa ana mpenda demu bt kwa kuwa dini n tofauti inakuwa zonge mara akapata kipigo akaumia ubongo akapelekwa katika hoapital ya vichaa full minyororo,akapata nafuu kujieleza si chizi jamaa hawamuelewi,huku demu analazimishwa kuolewa,siky moja akaenda kumcheki jamaa hospital mchizi akawa kalala demu kumuona jamaa kaumia maana alijaribu kutoroka akandondoka akaumia,saa demu alipoona akaondoka analia jamaa anaamka anamuona yule demu anaondoka kwa mbali anamuita wapi maana vichaa wanapiga makelele dah
demu kurudi home siku ta harusi ndo imefika akicheki jamaa kawa chiZi,na aanalazimishwa kuolewa na mtu mwingine,akamua kujiua huku mchizi akafanikiwa kutoroka hoapital hadi kwa kina yule demu anafika tu anakuta msibaaa dahh sasa kule hospital wanamtafuta na magariii
mchizi kuona demu wake kafaa na yy alikuwa hospital japo kapona akaona hakuna aja n heri arudi akatokaa nje,jinsi alivyokuwa anatoka anakutana na kaka yake,shemeji yake rafiki zake wanambembeleza na kulia kumshika miguu asieende kwenye gari jamaa wapi ndo kwanza analia anazidi kuchapa mwendo...hapa nilitoa chozi maana jama akaona heri akaishi ktk hospital ya vichaaaaa kuliko kuishi uraian wakati demu wake kajiuaaa kwa wazazi kumchagulia mchumba kisa dini daaah
 
Hii ilitaka kuniulia mama yangu,wakati akiendelea kuiangalia mara chali!! Presha juu,mbio hospital hajitambui,baada ya hapo hataki kuangalia hata taarifa ya habari.
Mie niliiangalia na watoto wangu jinsi Hali zao zilivyokuwa zina badilika na kugeuka kuwa vilio siwezi sahau maana nami uchungu ulinizidia kiasi cha kusahau kuwa ile ni filamu tuu.
 
kuna movie ya kihindi flani nimeisahau jina
kuna jamaa ana mpenda demu bt kwa kuwa dini n tofauti inakuwa zonge mara akapata kipigo akaumia ubongo akapelekwa katika hoapital ya vichaa full minyororo,akapata nafuu kujieleza si chizi jamaa hawamuelewi,huku demu analazimishwa kuolewa,siky moja akaenda kumcheki jamaa hospital mchizi akawa kalala demu kumuona jamaa kaumia maana alijaribu kutoroka akandondoka akaumia,saa demu alipoona akaondoka analia jamaa anaamka anamuona yule demu anaondoka kwa mbali anamuita wapi maana vichaa wanapiga makelele dah
demu kurudi home siku ta harusi ndo imefika akicheki jamaa kawa chiZi,na aanalazimishwa kuolewa na mtu mwingine,akamua kujiua huku mchizi akafanikiwa kutoroka hoapital hadi kwa kina yule demu anafika tu anakuta msibaaa dahh sasa kule hospital wanamtafuta na magariii
mchizi kuona demu wake kafaa na yy alikuwa hospital japo kapona akaona hakuna aja n heri arudi akatokaa nje,jinsi alivyokuwa anatoka anakutana na kaka yake,shemeji yake rafiki zake wanambembeleza na kulia kumshika miguu asieende kwenye gari jamaa wapi ndo kwanza analia anazidi kuchapa mwendo...hapa nilitoa chozi maana jama akaona heri akaishi ktk hospital ya vichaaaaa kuliko kuishi uraian wakati demu wake kajiuaaa kwa wazazi kumchagulia mchumba kisa dini daaah

Dah mkuu,nimesoma maelezo ikawa km yale matukio nayaona tna,kwakweli inasikitisha,so saad.
 
You are right

Hiyo ya mama mwenye kansa sijaiona

Kongosho nikumbushe vizuri, Not without my daughter ni ile ambayo mama alikuwa aliolewa somewhere ambapo alitakiwa kurudi kwao sijui, ila akatakiwa kuondoka yeye bila mtoto? kwa hiyo akawa anafanya jitihada za kumtorosha?

Hiyo ninayo-fumble fumble na title, ni mama aliyekuwa na watoto wanne or watano, na alikuwa anaugua kansa. Madaktari walishamuambia kuwa ana miezi kadhaa ya kuishi, kwa hiyo ndani ya hiyo miezi alikuwa anatafuta familia ambazo zingeweza kuwatunza watoto wake while she's gone. Mpaka amebaki hoi bin taaban, bado mtoto mmoja hakuwa amepata pa kumuacha, sasa hapo pa yeye kuamka on her death bead na kuendelea kuzunguka kutafuta pa kumuacha, ndio paliponishinda.....
 
Hii niliiona enzi zile kuna majumba ya senema

Kitambaa kikubwa mbele, taa zinazimwa, basi mnaendelea na muvie

Not without my doughter imechezwa na Sarah field Mmarekani aliyeolewa na Muiran wakiwa hukohuko Marekani. Baadaye Muiran akarudi kwao yeye na familia yake ya mtoto mmoja.

Kufika kwanza uwanja wa Ndege anakutana na Askari wanaolinda maadili ya kidini 'Mutawa', na kutaka kumkamata kwa sababu amevaa kichwa wazi (tofauti na desturi za Kiislam). Kimbembe alipofika nyumbani na kwa bahati mbaya Ndugu wa Mume wakawa hawampendi. Na zaidi ya hapo wakaanza kumuona kikwazo kwa Kaka yao kwa sababu kun wakati badala ya kuamka na kuswali Swala ya adhuhuri yeye anapiga mbonji.

Hapo kivumbi kikaanza ndugu wa mume wakimtuhumu Mkwe na zaidi ya hapo na manyanyaso yakaanza pia kutoka kwa Mume, ndipo akapanga mpango wa kutorokea ubalozi wa Marekani akisaidiwa na baadhi ya Wairan vilevile.Ilikuwa hatari kweli..........!

Endelea kuitazama..........................

NB: Hii filamu ilipigwa marufuku Iran.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Mie niliiangalia na watoto wangu jinsi Hali zao zilivyokuwa zina badilika na kugeuka kuwa vilio siwezi sahau maana nami uchungu ulinizidia kiasi cha kusahau kuwa ile ni filamu tuu.
 
Back
Top Bottom