Movie iliyowahi kukutoa machozi....

Kaka kama unapenda movie za hivyo tafuta movie inaitwa Glory ni ya Denzel Washngton na Morgan Freeman coz sijaona katika list ya movie uloziweka hapo, inahusu Black america kuingizwa kwa mara ya kwanza katika jeshi la weupe miaka pia tafuta movie inaitwa Amistad hii amecheza Morgan freeman na jamaa jina simkumbuki ila amecheza katika Blood Diamond (yule black) zipo nyingi nitazichambua then nitakufowadia list ulizie vizuri kamanda.
Amistad nimeiangalia juzi, kwa kweli inasikitisha sana.
 
@paulss, ahsante kwa hizo movie....

Pia ukipata mda cheki "
Time To Kill" ya Samuel Jackson.....

Ni story ya kipindi cha ubaguzi wa hali ya juu states, Sam na familiy yake walikuwa wanaishi mji mdogo, binti yake wa miaka 13 anabakwa hadi kupoteza uwezo wa kuzaa mbeleni na kuvugukiwa maumbile yake ya uzazi (Hii ni part inayoumiza sana katika movie hii)....

SJ atawaua wale vijana wa kizungu siku walipotoka mahakamani kupewa dhamana....

Baada ya hapo kesi itaanza kuunguruma.

Ni movie nzuri sana, ila nimeiona kitambo na ilinisikitisha sana japo sikulia ila niliumia mno.

Itafute Bro!
 
Mkuu nimeangalia karibu robotatu ya movie ulizotaja baada ya kuingia chimbo na kuzipata

Nakushauri tafuta movie ya kikorea inaitwa A moment to remember
Kwa jinsi nilivyoona hizi unazozitaja basi nahakika hii itakutoa mchozi

By the way hatchko na a walk to remember zimenigusa sana

Mkuu salute...........
Hiyo kitu A MOMENT TO REMEMBER ipo powa kinoma na inasikitisha sana
Yaani nilimuonea huruma mchizi na usela wake wote alikuwa anamwaga mchozi kiaina
Wakorea wanatisha isee
 
@paulss, ahsante kwa hizo movie....

Pia ukipata mda cheki "
Time To Kill" ya Samuel Jackson.....

Ni story ya kipindi cha ubaguzi wa hali ya juu states, Sam na familiy yake walikuwa wanaishi mji mdogo, binti yake wa miaka 13 anabakwa hadi kupoteza uwezo wa kuzaa mbeleni na kuvugukiwa maumbile yake ya uzazi (Hii ni part inayoumiza sana katika movie hii)....

SJ atawaua wale vijana wa kizungu siku walipotoka mahakamani kupewa dhamana....

Baada ya hapo kesi itaanza kuunguruma.

Ni movie nzuri sana, ila nimeiona kitambo na ilinisikitisha sana japo sikulia ila niliumia mno.

Itafute Bro!

Mkuu nipo chimbo naipakuwa, sema seeders wachache lakini itaisha tu taratibu
 
mwenzenu muvi za ngono huwa zinanitoaga machozi ya masikitiko
 
John Q ndo movie kwanza karibu kunitoa machozi hasa sehemu anayomuaga mtoto wake ili yeye aende kufanyiwa operation na ile mtoto anamuaga baba'ke kipindi anapelekwa gerezani....
 
The Gost and the darkness,hi movie ni balaa,if it doesn't make u cry it will make u sad.
 
1:deadly voyage
2:tears of the sun
3:suicide mission(nigerian)
4:handha kanoon
5:hotel rwanda
6:this tym in april
NTAKAZOZITAJA HAPA KAMA HUJAZIONA PLZ TAFUTA
1:CRY FREE TOWN''documentary ya matukio halisi kipindi cha machafuko sierra leone''
2:BLOOD DIAMOND
3:THE LAST KING IF SCOTLAND
4:SOUL FOOD ''black american movie''
 
1:deadly voyage
2:tears of the sun
3:suicide mission(nigerian)
4:handha kanoon
5:hotel rwanda
6:this tym in april
NTAKAZOZITAJA HAPA KAMA HUJAZIONA PLZ TAFUTA
1:CRY FREE TOWN''documentary ya matukio halisi kipindi cha machafuko sierra leone''
2:BLOOD DIAMOND
3:THE LAST KING IF SCOTLAND
4:SOUL FOOD ''black american movie''

aiseeee hizi zinaliza bana nomaaaa
 
Muvi gani seriously ulijikuta unatoa machozi (wakati unaiangalia au baada ya kuiangalia) kutokana na uhalisia wake kukugusa sana moyoni...achana na ile umeingalia ikakugusa na kuikubali tu kwa kuwa ni nzuri...NO..ILIYOKUTOA CHOZI!!
Sina uhakika kama hii topic ilishawahi jadiliwa humu maana nimejaribu ku search ila sijapata ninachokitaka..
Kwa upande wangu mimi ni hizi..

1. Marley and me
...hii nilivyoangalia mara ya kwanza baada tu ya kuisha nikaingia zangu chooni kujifungia ili nifute machozi maana tulikuwa tunaangalia watu wengi..kila mtu alinyanyuka kivyake ofcoz so sijui wengine kama nao walilia au la..

2. Pursuit Of Happiness
...nilijikuta tu machozi yanandondoka mwenyewe wakati muvi inaendelea..

3. Hatchiko the Dog Story
...inatia huruma sana hii..

4. Armeggedon
...ni SCI-FI movie ila pale mwisho chozi lilitoka kimtindo..

5. JOHN Q

6. Rango (Animation)
...hii machozi kwa kucheka...very touching ila inachekesha balaa..

7. Black Hawk Down

8. Blood Diamond

...hizi ni baadhi ya nnazozikumbuka harakaharaka...ningependa kuonza na nyingine zaidi ya hizi kwa msaada wenu..

 
Back
Top Bottom