Movie iliyowahi kukutoa machozi....

Movie iliyowahi kukutoa machozi....

12 years a slave..Solomon akilazimishwa amcahape mijered mtumwa mwenzake
"Lupita" pia Solomon alipookolewa utumwani baada ya miaka 12 na kukuta familia yake imeongezeka..
kakuta njemba mwingine kaoa mke wake.sikulia lakini ilinitia simanzi sana
 
Titanic (wakati Rescue boat imekuja na Rose anapaza sauti kumuita Jack ili waokolewe, asijue mwenzie alishaaga zamani).
The best man holiday (the day yule dada aliyekufa kwa cancer anazikwa, kuna part mume wake alijikazaa lakini akashindwa akalia kwa uchungu pale kaburini)
Hotel Rwanda (mwishoni kabisa wale survivors wanavyotembea kuelekea kambini)
Armageddon

...
 
Anointed..ya kinaigeria.
na
Bridal mask ya kikorea pale sato hiroshi kutokana na kiu yake ya kumkamata bridal mask alifanikiwa kumshoot bridal mask ambae kumbe ndo alikua kaka ake ambaye siku zote alijafanya taahira....so akati sato hiroshi analia na kumlaumu kaka ake kwanini alikua anajifanya chizi na iweje awe bridal mask ambae alikua anamsaka kwa udi na uvumba ndo hapo ikabidi amuite mama ake ile kwenda ndani akakuta mama ake nae kafa ndo kilio kikazidi akawa kapoteza ndugu zake wawili afu ndo hao hao waliokua wamebakia....dah hapo kidume chozi lilinitoka kwa mbaliii
 
kunta kinte, neria, john the mad dog, hii ya john the mad dog ilinitia uchungu saaana jinsi kale katoto ka kike kalivyokuwa kanamsukuma baba yake aliyekatika miguu kwenye toroli na mwisho wa siku baba aliuwawa.april 14, hotel rwanda
 
john q- denzil washington ni noumerrrr...

Lazma ulie bila kuchapwa bakora....na hakuna hata mtu m1 aliyeuwawa wala hakuna tone hata 1 la damu....

Full kukamata hisia mpaka chozi linakuja getinkuu la macho yako....utafungua mlango haina jinsi mzazi.....mchozi huoooo.

Ni hayo tuu.
 
A walk to remember
Thug teenage fall in love with a very decent girls, but come to realize she has few days to live before she die with cancer
i felt so sad when he try to fulfil her dreams before she die..........very very emotional
 
12 years a slave..Solomon akilazimishwa amcahape mijered mtumwa mwenzake
"Lupita" pia Solomon alipookolewa utumwani baada ya miaka 12 na kukuta familia yake imeongezeka..
kakuta njemba mwingine kaoa mke wake.sikulia lakini ilinitia simanzi sana
Hivi yule ni mume wa bintiye au wa mkewe?Nadhani umechanganya hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom