Movie iliyowahi kukutoa machozi....

Movie iliyowahi kukutoa machozi....

Mi siliagi bana ila hua naota hasa nikiangalia za kutisha,naota nami nimo ndani ya movie weeeeeee hua narusha mateke vandame cha mtoto
 
Not without my doughter imechezwa na Sarah field Mmarekani aliyeolewa na Muiran wakiwa hukohuko Marekani. Baadaye Muiran akarudi kwao yeye na familia yake ya mtoto mmoja.

Kufika kwanza uwanja wa Ndege anakutana na Askari wanaolinda maadili ya kidini 'Mutawa', na kutaka kumkamata kwa sababu amevaa kichwa wazi (tofauti na desturi za Kiislam). Kimbembe alipofika nyumbani na kwa bahati mbaya Ndugu wa Mume wakawa hawampendi. Na zaidi ya hapo wakaanza kumuona kikwazo kwa Kaka yao kwa sababu kun wakati badala ya kuamka na kuswali Swala ya adhuhuri yeye anapiga mbonji.

Hapo kivumbi kikaanza ndugu wa mume wakimtuhumu Mkwe na zaidi ya hapo na manyanyaso yakaanza pia kutoka kwa Mume, ndipo akapanga mpango wa kutorokea ubalozi wa Marekani akisaidiwa na baadhi ya Wairan vilevile.Ilikuwa hatari kweli..........!

Endelea kuitazama..........................

NB: Hii filamu ilipigwa marufuku Iran.

Duuh..mbona yaniliza kabla Ya kuiona
 
Andhakanoon ndio movie iliyonigusa sana nilipokuwa chalii mdogo, sorry kama nitakosea spelling zake ni ya kihindi hii, pia lone survivor , ila mpaka sasa ni series ya spartacus tu ndo imeisha kwa kunihuzunisha sana. pale the bringer of the rain/champion of capua, the gladiator/ alipopigwa mikuki na kushindwa kutimiza lengo lake la kummaliza craxuss na Ceaser
1. Andhakanoon
2.spartacus3.Lone survivor


 
Lone survivor,sio tu inasikitisha Bali inaumiza sana waarabu walivyo na roho za kutu
 
The Pursuit of happiness iliyo chezwa na Will Smith pamoja na mwanae
 
Great Debaters yake Denzel Washington.
Utalia bila shaka
 
Impossible 2012 inahusu familia iliyosambaratishwa na Tsunami ila mwisho wake familia ikaungana tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom