Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 763
Tom & Jerry
Hatya..
Jamani nisaidieni na mimi hapa!
Habari zenu waungwana!
Da sijui nianzaje ila kuna muvi niliwai iona nikiwa safarini nikashindwa kujua jina la hiyo makitu ila nahitaji kujua jina!
Muvi linaelezea uhasama wa koo mbili!wazungu wale wenyewe kabisa pure nahisi ndani ya usa au canada ila kulikua na mashamba mengi sana ya mbao!
Ikatokea kijana mmoja akapendana sana na msichana wa mwisho wa ukoo wapili!
Ambao hawapatani sasa siku moja jamaa alimwiba yule msichana wakaenda polini akiwa na mdogo wake wa kike wa mwisho!
Kaka wa mchumba wake wa kike wakashituka usiku wakawataiti masister zao wakataja kaenda wapi wakatimba na wao wakasababisha kifo cha yule mtoto mdogo wa kike mdogo wa yule bwana wake dada yao!
Da nilishuka haijaisha na nilipanda imeanza!
Nisaidieni jina la hii muvi mazee
Mkuu Rubi sina utaalamu wa kubadili ila jaribu ku-download You Tube Downloader nadhani ina sehemu ya ku-convert aina ya faili.Nimeipata lakini ni mp4 sijui jinsi ya ku-convert ili niweze kuiona kwenye DVD nyumbani nimeishi kuiangalia kwenye computer. si unajua DVD zetu nyingi ni MPEG2. Je ndugu katavi unaweza nisaidia how to convert nifaidi na wengine.
Asante katavi nimefanikiwa kuiconvert kwa 100% nime-google nikaipata moja inatwa Pazeera MP4 - AVI Converter iko very simple and fast. so kwa hapo nimeongeza ujuzi. Maana nilikuwa nimedownload some movies kama happy feet ambazo nazo zilikuwa MP4 zote nimefanikiwa kuzi-convert.Mkuu Rubi sina utaalamu wa kubadili ila jaribu ku-download You Tube Downloader nadhani ina sehemu ya ku-convert aina ya faili.
Ila tusubiri na wataalamu wengine watushushie utaalamu.
Muvi gani seriously ulijikuta unatoa machozi (wakati unaiangalia au baada ya kuiangalia) kutokana na uhalisia wake kukugusa sana moyoni...achana na ile umeingalia ikakugusa na kuikubali tu kwa kuwa ni nzuri...NO..ILIYOKUTOA CHOZI!!
Sina uhakika kama hii topic ilishawahi jadiliwa humu maana nimejaribu ku search ila sijapata ninachokitaka..
Kwa upande wangu mimi ni hizi..
1. Marley and me
...hii nilivyoangalia mara ya kwanza baada tu ya kuisha nikaingia zangu chooni kujifungia ili nifute machozi maana tulikuwa tunaangalia watu wengi..kila mtu alinyanyuka kivyake ofcoz so sijui wengine kama nao walilia au la..
2. Pursuit Of Happiness
...nilijikuta tu machozi yanandondoka mwenyewe wakati muvi inaendelea..
3. Hatchiko the Dog Story
...inatia huruma sana hii..
4. Armeggedon
...ni SCI-FI movie ila pale mwisho chozi lilitoka kimtindo..
5. JOHN Q
6. Rango (Animation)
...hii machozi kwa kucheka...very touching ila inachekesha balaa..
7. Black Hawk Down
8. Blood Diamond
...hizi ni baadhi ya nnazozikumbuka harakaharaka...ningependa kuonza na nyingine zaidi ya hizi kwa msaada wenu..
Original Sin-Antonio banderas + Angelina Jolie..
Hatya..