Movie iliyowahi kukutoa machozi....

Movie iliyowahi kukutoa machozi....

Tears of the sun, some times in april, hotel rwanda kwakeli zinasikitisha sana
 
1. [SIZE=3 said:
Marley and me
[/SIZE]...hii nilivyoangalia mara ya kwanza baada tu ya kuisha nikaingia zangu chooni kujifungia ili nifute machozi maana tulikuwa tunaangalia watu wengi..kila mtu alinyanyuka kivyake ofcoz so sijui wengine kama nao walilia au la..

2. Pursuit Of Happiness
...nilijikuta tu machozi yanandondoka mwenyewe wakati muvi inaendelea..

3. Hatchiko the Dog Story
...inatia huruma sana hii..

4. Armeggedon
...ni SCI-FI movie ila pale mwisho chozi lilitoka kimtindo..

5. JOHN Q

6. Rango (Animation)
...hii machozi kwa kucheka...very touching ila inachekesha balaa..

7. Black Hawk Down

8. Blood Diamond

...hizi ni baadhi ya nnazozikumbuka harakaharaka...ningependa kuonza na nyingine zaidi ya hizi kwa msaada wenu..


Sio mpenzi wa movie lakini itanibidi nizitafute nizione kwani huwa napenda zile za hatari hatari tu
 
I am Sam, Oldboy, Schlindler list, Pursuit of Happiness, Life is beautiful, Se7en, Forest Gump....
 
1.Not without my daughter. 2.Escape from Sorbibor. Hizi hata leo nikiangalia ntatokwa na machozi tena

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
hata leo ukiziangalia utalia tu bado,movie kama roha,karya,andha kanoon,disco dsncer,zilikuwa na hisia sana
Hatya.. Sina uhakika na spelling ya title.Ni ya kihindi ya zamani sana. Actor 1 anaitwa Govinda,Raja.. Kwa kwl iliniliza kipindi kile,may be kwa sababu ya utoto.
 
Mmh Jaman Apocalpsy, sina hakika na spelling. Huwa inanisikitisha saana na Hotel Rwanda kama sijakosea.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Muvi gani seriously ulijikuta unatoa machozi (wakati unaiangalia au baada ya kuiangalia) kutokana na uhalisia wake kukugusa sana moyoni...achana na ile umeingalia ikakugusa na kuikubali tu kwa kuwa ni nzuri...NO..ILIYOKUTOA CHOZI!!
Sina uhakika kama hii topic ilishawahi jadiliwa humu maana nimejaribu ku search ila sijapata ninachokitaka..
Kwa upande wangu mimi ni hizi..

1. Marley and me
...hii nilivyoangalia mara ya kwanza baada tu ya kuisha nikaingia zangu chooni kujifungia ili nifute machozi maana tulikuwa tunaangalia watu wengi..kila mtu alinyanyuka kivyake ofcoz so sijui wengine kama nao walilia au la..

2. Pursuit Of Happiness
...nilijikuta tu machozi yanandondoka mwenyewe wakati muvi inaendelea..

3. Hatchiko the Dog Story
...inatia huruma sana hii..

4. Armeggedon
...ni SCI-FI movie ila pale mwisho chozi lilitoka kimtindo..

5. JOHN Q

6. Rango (Animation)
...hii machozi kwa kucheka...very touching ila inachekesha balaa..

7. Black Hawk Down

8. Blood Diamond

...hizi ni baadhi ya nnazozikumbuka harakaharaka...ningependa kuonza na nyingine zaidi ya hizi kwa msaada wenu..


Wadau kwa kawaida mimi ni mgumu sana kulia lakini kuna baadhi ya films zinanifanya kutoa machozi kabisaaa bila kupenda

My sisters keeper(my sadiest movie ever)

John Q
(a poorest man struggle to help his son, inauma)

Note book
(touching love story)

The Boy in the Striped Pajamas

Hachiko: A dog's story
(must watch this, so sad)

My sassy girl
(korean film, a must see)

Good Dees
(sijui kwanini machozi yalinilenga kila mara kwa mapitio aliyopitia Lindsey)

Ps I Love You
(hakikisha una kitambaa pembeni)

The Perfect storm

Armaggedon

A Walk to Remember
(a very touching movie)

Alive(Never cried but feel so sad)

Titanic(mara ya kwanza kuoina niliwaga chozi mwishoni jack alipokufa, hate that ending)


je nimovies gani ukiangalia inakusikisha sana kama sio kukumwaga machozi so I can find and watch,
I love sad movies
https://www.jamiiforums.com/entertainment/289079-which-movies-make-you-cry-or-feel-so-sad.html
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom