"Moto umewawakia, hawawezi kuuzima" - Mengi

"Moto umewawakia, hawawezi kuuzima" - Mengi

Mzee Mwanakijiji,

Mkuu haya nakuomba unipe mfano wa mtu mzima yeyote mwenye hadhi ya Mengi amepiga hizo picha za chumbani na mpenzi wake kisha akazitoa hadharani...

sihitaji mfano kwa sababu kwangu mimi akiwa na hadhi au la halinisimbui yeye ni mtu mzima, ana akili timamu, na amefanya kitu kwa utashi wake ambacho hajavunja sheria.

Mkuu, kufikiria kuwa wapo watu ni tofauti sana na kufahamu kuwa wapo wanaopiga picha na wapenzi wao chumbani wakati kwanza sii mkewe halafu wewe hapo huna Umri wala nafasi kama ya Mengi. Ni fikra tu waulize wazee wako watakwambia...

Mzee Mengi ana akili timamu na Liliana ana akili timamu, Kwanini inakusumbua wewe wakati yeye ni mzee mzima aliyeishi na kuona aliyoyaona na anafanya kitua mbacho anajua uzuri na ubaya wake. Tuzungumzie jingine lakini la yeye kuwa na mtu mzima mwenzie wanaependana it is none of our business. Tutajaribu wee lakini ukweli utabakia kuwa ni ya kwao na yafamilia zao.
 
Jamani, who really cares kama Mengi kaoa au hajaoa? This is so ridiculous now.....
 
very good!!! because someone out there anaamini ni habari!! Why it took you so long?

I don't know why it took me so long...

Eti Mengi kaoa au hajaoa, how does that concern me? Simple, it doesn't...

Now, akianza kumsarandia Cupcake, we gonna have some problems...
 
I don't know why it took me so long...

Eti Mengi kaoa au hajaoa, how does that concern me? Simple, it doesn't...

Now, akianza kumsarandia Cupcake, we gonna have some problems...

Ng'wanangwa what is cupcake in Sukuma? I wanna use that to Kabula
 
Mzee Mwanakijiji,
Duh ama kweli wewe mkali!.. mimi nilidhani ni wewe ulokamatia Mengi hajaoa na kudai ushahidi sijui nini...kumbe kuna watu wengine?.. Mkuu, Hii sio issue kabisa ya kupewa heading JF(kama alivyodai FMES).. ni upuuzi mtupu kwa sababu hakuna mtu anayejali Mengi analala na nani au kaoa nani isipokuwa wake zake au.....

By the way wewe ulisema watu wanapiga picha na wapenzi wao chumbani na mimi nikaomba unipe (mfano) majina ya hao watu wenye umri na hadhi kama ya Mengi kupiga picha chumbani na mwanamke kitandani ambaye sii mkewe...

Navyojua desturi na mila zetu zijawahi kuona na wala wazee wa umri wangu au wa Mengi hatuwezi kufanya hayo ingawa vijana nyie wa uhuru ni jambo la kawaida kabisa...
Hivyo kama kweli mengi ana akili timamu asingeweza kufanya alofanya ikiwa hakuna kitu kikubwa nyuma ya picha zile!.. Ni hayo tu mkuu wangu.
 
Mzee Mwanakijiji,
Duh ama kweli wewe mkali!.. mimi nilidhani ni wewe ulokamatia Mengi hajaoa na kudai ushahidi sijui nini...kumbe kuna watu wengine?.. Mkuu, Hii sio issue kabisa ya kupewa heading JF(kama alivyodai FMES).. ni upuuzi mtupu kwa sababu hakuna mtu anayejali Mengi analala na nani au kaoa nani isipokuwa wake zake au.....

By the way wewe ulisema watu wanapiga picha na wapenzi wao chumbani na mimi nikaomba unipe (mfano) majina ya hao watu wenye umri na hadhi kama ya Mengi kupiga picha chumbani na mwanamke kitandani ambaye sii mkewe...

Navyojua desturi na mila zetu zijawahi kuona na wala wazee wa umri wangu au wa Mengi hatuwezi kufanya hayo ingawa vijana nyie wa uhuru ni jambo la kawaida kabisa...
Hivyo kama kweli mengi ana akili timamu asingeweza kufanya alofanya ikiwa hakuna kitu kikubwa nyuma ya picha zile!.. Ni hayo tu mkuu wangu.

sawa mkuu tuendelee kuwawashia moto mafisadi! Nadhani kujadili ndoa ya Mengi, picha aliyopiga akiwa chumbani kwake au sebuleni na mtu anayempenda hata kama wamepishana miaka 100 ni sisi kupoteza muda wa kujadili masuala muhimu zaidi.

Natumaini nikifia uzee wa aina hiyo na mimi nitapata nafasi ya kupiga picha na yule nimpendaye bila haya wala kificho!! Natumaini atakuwa ni mke wangu!!! Kama sivyo well nitahakikisha JF na wapiga picha za utamu hawapati nafasi
 
Ng'wanangwa what is cupcake in Sukuma? I wanna use that to Kabula

Hahahahaaa....unajua nina cousin wangu anaitwa Kabula...na mwingine Shija....na mwingine anaitwa Ng'wanang'walu....

Ila tafsiri ya Cupcake kwa kisukuma siijui aisee....itabidi tukae chini tuje na tafsiri yake maana kwanza sidhani kama Usukumani kuna hata hizo cupcakes....lol
 
Ni nani aliyeleta hii topic mbele ? Ni Mengi mwenyewe! Mimi ninachopinga hapa ni kitendo cha Mengi kutaka kutafuta scapegoats katika kila issue inayomgusa yeye. Hii topi isingekuwepo hapa kama mhusika asingefanya press conference leo. Mengi anacheza mind game , suala sio harusi yake bali ni picha zilizovuja na image yake...
 
Ni nani aliyeleta hii topic mbele ? Ni Mengi mwenyewe! Mimi ninachopinga hapa ni kitendo cha Mengi kutaka kutafuta scapegoats katika kila issue inayomgusa yeye. Hii topi isingekuwepo hapa kama mhusika asingefanya press conference leo. Mengi anacheza mind game , suala sio harusi yake bali ni picha zilizovuja na image yake...

nisichoelewa ni kuwa kwanini unataka akae kimya wakati magazeti zaidi ya 15 yaandika habari zake kwa mtindo huu na akae kimya:

• Mengi anataka kumng'oa JK 2010? - Inachombezwa kwamba anataka kumng'oa JK lengo la kuandika hivyo nini kama siyo kumfanya asiaminiwe na JK au viongozi wengine?



• Mengi hatari kama Hitler - Kweli unaamini mtu anadaiwa kuwa ni kama Hitler akijibu anatafuta skapegoat? Unafikiri hata hapa US unaweza kumfananisha mtu na Hitler kwenye gazeti na wewe ukabakia salama tu hivi hivi? Lakini unataka Mengi angekaa kimya asitafute scapegoat. Unaamini Mengi ni kama HItler?


• Ndoa ya Reginald Mengi na CHADEMA yabainika -
Hilo limendikwa mahali hebu soma halafu uone kama alitakiwa kukaa kimya ukizingatia hiyo point ya kwanza kuwa Mengi anataka kumng'oa JK 2010.


• Mengi na kashfa ya ufisadi – Tume ichunguze bilioni 40 za ukimwi. - Lengo la kichwa hicho ni nini kama siyo kufanya watu wasimuamini Mengi au kumfanya aonekane fisadi? Unakumbuka Bilioni 40 za Kagoda? doesn't sound familiar. Sasa baada ya kudaiwa ametafuna mabilioni hayo ulitaka akae kimya kwa sababu akijibu atakuwa anatafuta scapegoat?



• Mengi aoa tena – harusi yafungwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Kanali Fabian Massawe - Sasa hili hapa siyo hata swali ni kauli ya uhakika. Kama ni kweli ni kweli lakini kama ni uongo mtu mwingine akisoma anaona kuwa kweli amefunga ndoa nyingine. Sisi hatujui arrangement yake na Bi. Lilian lakini kama siyo ndoa officially, sisi la nini? Ndio maana wengine tumefikia hatima hapo juu kuwa ni none of our business!

Labda nikuulize wewe ungependa Mengi afanye nini katika such a barrage of fiery attacks? Akae kimya na kuandaa tafrija ya kushukuru na kuandaa sherehe ya kujipongeza? Na asiseme lolote kwa sababu atakuwa anatafuta scapegoat?
 
Hahahahaaa....unajua nina cousin wangu anaitwa Kabula...na mwingine Shija....na mwingine anaitwa Ng'wanang'walu....

Ila tafsiri ya Cupcake kwa kisukuma siijui aisee....itabidi tukae chini tuje na tafsiri yake maana kwanza sidhani kama Usukumani kuna hata hizo cupcakes....lol

cupcake- chengumanule..
 
- Ninaomba kusema mara moja tu, wakuu what is this? JF Where we dare! Tukiweka topic zinazomhusu Mengi zinafutwa, lakini akiweka flani hazifutwi. Wiki mbili zilizopita niliweka topic ya kuuliza swali kama kweli Tetesi niliyosikia kwa kuonyeshwa picha ni kweli kwamba Mengi ameoa? Ile tpic ikafutwa, sasa leo inaletwa topic ya kumsafisha Mengi na habari ile ile, ila kwa kuwa imeletwa na wenye nguvu inaachwa, hata bila ya kuhamishwa leave alone kufutwa, this is JF where we dare to talk openly!

- Tunalia hapa kila siku jinsi viongozi wetu wanavyotufanya wananchi wajinga, lakini here we are na the semo semo stuff, lakini tunategemea viongozi wa taifa watu-treat tofauti na sisi wenyewe tunavyojiongoza hapa, is that so?, sasa with all respect naomba kuwauliza mnaohusika hivi sisi wanachama wengine wa hii forums kuacha nyinyi wachache au wengi, mnatuonaje hasa? Kama nilivyosema majuzi my status hapa JF na nje ya hapa inanizuia mara kwa mara kutosema yanayonishangaza hapa JF kuhusiana na utawala wa JF, lakini sasa mlipofikia mnaenda mbali mno wakuu, sisi wengine sio watoto wadogo wa kuchezewa vichwa vyetu namna hii, I mean what is this na Mengi na hii forums?

- Wakuu stop this madness ya kutufanya wengine wajinga hapa, hamuwezi kuwa mnafuta wengine wakiandika kuhusu Mengi, halafu wengine mnaruhusu that is foolish. Mengi ni nani hasa tufikie kudhalilishwa namna hii hapa JF? With all due respect kwa Mengi, ambaye ninamfhamu sana kuliko wengi hapa wanavyjidai naye please mzee tupe heshima kidogo, tunakuheshimu sana na mchango wako wka taifa on vita vya mafisadi, binafsi I worked so hard kukusadia sana kwenye vita vyako na Manji, behind the scene and you know that kwa sababu nilijua mapema sana kwamba jamaa wanakutafuta na ishu ya treason, ninajua all the things you are doing katika vita hivi na ni nani unaoshirkiana nao, lakini nakuomba sana mzee basi tuachie hapa nafasi either tukuajdili kwa kila ishu na sio unazotuamulia tu, au tusikujadili kabisa lakini kutuchezesha vichwa namna hii sio haki, kwa sababu hatuwapendi mafisadi kutokana na tabia kama hizi tunazofanyiwa na ishu zako hapa JF.

- Watu wangapi wazima wameoa, kuanzia wananchi wa kawaida mpaka viongozi, sasa what is a big deal na wewe kuoa au kutokuoa kwamba inabidi tuache ishus muhimu za taifa kujadili wewe this time na ishu kama hizi za ndoa? What is this ndugu zangu hapa JF? Mwinyi, Kikwete mbona tumewahi kuambiwa wameoa na hakuna aliyejali, sasa kwa nini kwako iwe tatizo namna hii mpaka tunafikia mahali pa kuacha kujadili taifa, sasa inakua ndoa ya Mengi kama ipo au haipo, kweli mzee wangu unaona hii ni fair kwetu wananchi wanyonge?

Kwa kweli haya mambo yanakatisha tamaa sana, unajaribu kuheshimu watu hapa na nje ya hii forums lakini in return wanakushangaza, kweli tumeacha ishus tunapoteza all this pages na this? na wala hii topic haifutwi wala kuhamiwshwa, haya wenye nguvu ngoja tuwapishe, endeleeni kutushangaza wakuu wenye nguvu humu ndani,

- eti kweli ndio tukipewa taifa tutafanya mambo tofauti na walioko sasa madarakani? Ndugu zangu umasikini ni kitu kibaya sana.

Mungu Aibariki Tanzania na JF Pia.

Heshima mbele mkulu FMES...Kwa kweli hata mimi ilifikia kipindi nikajiuliza ni kwa nini Mengi hajadiliwi humu,maana kuna mtu alianziaha thread yenye picha zinazomuonesha Mengi akiwa na Lilian lakini katika mazingira yasiyoeleweka thread hiyo iliondolewa,ukaja wewe ukaanzisha ikaondolewa,nami pia nikaanzisha thread ikaondolewa(nilihoji kwa nini thread za Mengi hazijadiliwi???)...Kama kweli JF ni where we dare to talk openly ni kwa nini basi thread hizi ziliondolewa????.....Inasikitisha na kukatisha tamaa kwa kweli
 
Heshima mbele mkulu FMES...Kwa kweli hata mimi ilifikia kipindi nikajiuliza ni kwa nini Mengi hajadiliwi humu,maana kuna mtu alianziaha thread yenye picha zinazomuonesha Mengi akiwa na Lilian lakini katika mazingira yasiyoeleweka thread hiyo iliondolewa,ukaja wewe ukaanzisha ikaondolewa,nami pia nikaanzisha thread ikaondolewa(nilihoji kwa nini thread za Mengi hazijadiliwi???)...Kama kweli JF ni where we dare to talk openly ni kwa nini basi thread hizi ziliondolewa????.....Inasikitisha na kukatisha tamaa kwa kweli

wakati mwingine sina budi kucheka tu maana malalamiko mengine hata mimi sielewi yanakotoka. Kama kuna mtu anaona mada yake haipo au imefutwa waulizeni wahusika. Bahati mbaya sana binafsi sikuona picha hizo au thread hiyo hapa au thread nyingine lakini kusema kuwa thread za Mengi hazijadiliwi si kweli.

Hebu chukua muda kidogo na bonyeza kitufe cha "Search" na tafuta jina la Mengi na uone itakuchukua muda gani kupata threads na topics zinazozungumzia Mengi. Tatizo ni kuwa yawezekana hadi azungumzwe kwa namna fulani ndivyo hivyo basi ndiyo ikubalike.

Uzuri ni kuwa binafsi sijasema mtu asimjadili Mengi kwani sina uwezo huo kwangu ni hoja tu, na nnaamini kuwa hata hoja za kijinga zinatakiwa zipewe nafasi kusikilizwa ili zipingwe. So, kama itachukua kurasa 20 kuonesha ujinga wa hoja fulani au mstari mmoja kwangu hoja ni hoja na itashindwa kwa hoja tu na si kejeli, vitisho, kuitana majina au kupigana mikwara isiyo na msingi.

Kama mtu ana hoja isimamie, period. Mtu akiamua kufuta hii au kuihamisha sina muda wa kuja kuuliza why? kwani naamini wanaofanya hivyo ni watu wazima.
 
- Ninaomba kusema mara moja tu, wakuu what is this? JF Where we dare! Tukiweka topic zinazomhusu Mengi zinafutwa, lakini akiweka flani hazifutwi. Wiki mbili zilizopita niliweka topic ya kuuliza swali kama kweli Tetesi niliyosikia kwa kuonyeshwa picha ni kweli kwamba Mengi ameoa? Ile tpic ikafutwa, sasa leo inaletwa topic ya kumsafisha Mengi na habari ile ile, ila kwa kuwa imeletwa na wenye nguvu inaachwa, hata bila ya kuhamishwa leave alone kufutwa, this is JF where we dare to talk openly!
[/U]
Mkuu nakubaliana nawe 100% what i can see Invisible is playing a big part kwa mzee Mengi......akiwa pembeni na mpambe mwanakijiji

sasa mlipofikia mnaenda mbali mno wakuu, sisi wengine sio watoto wadogo wa kuchezewa vichwa vyetu namna hii, I mean what is this na Mengi na hii forums?
[/U]
Mkuu tupo pamoja......haya ndio mambo ambayo wengine hii vita ya mafisadi wanaona ni changa la macho na kelele za mtandaoni......
-
Kwa kweli haya mambo yanakatisha tamaa sana, unajaribu kuheshimu watu hapa na nje ya hii forums lakini in return wanakushangaza, kweli tumeacha ishus tunapoteza all this pages na this? na wala hii topic haifutwi wala kuhamiwshwa, haya wenye nguvu ngoja tuwapishe, endeleeni kutushangaza wakuu wenye nguvu humu ndani,

- eti kweli ndio tukipewa taifa tutafanya mambo tofauti na walioko sasa madarakani? Ndugu zangu umasikini ni kitu kibaya sana.

Mungu Aibariki Tanzania na JF Pia.
Mkuu naona jinsi ulivyoandika kwa uchungu.....sio wewe tu wengine tukiongea tunaonekana aaah hamnazo.....

What's up Invisible.....are u the real one?
 
tafsiri yako ni wewe umeona kuwa ni "wedding ring". Halafu kama anatembea na "mke wa mtu" huyo mwenye mke ndiye anatakiwa kulalamika au kufanya big deal, umewahi kumsikia akilalamika? Upande mwingine kwanini isiwe huyo dada anatembea na mme wa mtu?

Tatizo hapa ni kuwa tunassume wao hawajui maana ya mme au mke wa mtu au hawajui kuwa ndoa ni kitu gani hadi tuwakumbushe!
Kanjanja.........
 
of course! Nyinyi mko wengi, matajiri, mna ujiko na nguvu za kutishia watu maisha.. si mjibu hoja mbona vioja?

What if I let lose the other half?
Nimtishe Mengi mimi? ina maana sina kazi za kufanya....

......hoja zipi tujibu hapa kila "kibaya" cha Mengi kinafutwa......
Tatizo hapa ni kuwa tunassume wao hawajui maana ya mme au mke wa mtu au hawajui kuwa ndoa ni kitu gani hadi tuwakumbushe!
Unamsemea nani wewe kanjanja?
 
Nashindwa kuelewa kwenye nchi ambayo ina sheria kali ya magazeti na ambapo watu wanaimba kila siku suala la maadili ya "kitanzania", kwanini tumefika hapa tulipofika? Waziri wa Habari ataendelea kukaa pembeni na kuangalia kusambaa huku kwa habari za kupakana matope hadi kwenye vitanda vya watu?

Nimeshasema huko nyuma nikimnukuu mwalimu wangu "ukivunja kanuni kubwa, kanuni hiyo itatafuta namna ya kukuvunja". Sasa magazeti kadhaa yanaanza kushindana kuandika nani anajua uchafu wa kiongozi gani zaidi na siku si nyingi hili litafika hadi kwa Rais, na mtu mwingine yeyote ambaye ataonekana kuwa ni fair target. Somebody got to stop this or as a people we ough to be prepared to pay a huge price for the silence we maintain.
Muonenei huyu kanjanja......yaani leo kaona ya mengi ati kachafuliwa....ila magazeti ya mengi yalipomuandika waziri mkuu wa zamani kuwa kamuweka kimada mbunge aaah hakuona....
Katika gazeti la Sema Usikike la leo tarehe 10/2/2009 kuna habari kwamba Waziri mkuu wazamani amemuweka kimada mbunge moja shoga kutoka magaribi. Kwa waheshimiwa wabunge habari hii siyo ngeni kwao.
Alafu leo anakuja kusema kuwa ati eeeh ooh! mengi anachafuliwa.......huyu anatofauti gani na Balile?....

.....alafu anasema mapambano ya kifikra....kuna fikra hapo?
 
Hapa naona mkuu sauti ya umeme FES anzisha thread ingine tuzungumzie wadhifa wa Mengi mabaya na mazuri yake.
Naona wazi kabisa hii thread ni special kumsafisha....hapa hakosolewi.
Tujianzishie na sisi yetu tuzungumzie huyu Mengi ni nani hasa katika nchi hii.?
 
Back
Top Bottom