- Ninaomba kusema mara moja tu, wakuu what is this? JF Where we dare! Tukiweka topic zinazomhusu Mengi zinafutwa, lakini akiweka flani hazifutwi. Wiki mbili zilizopita niliweka topic ya kuuliza swali kama kweli Tetesi niliyosikia kwa kuonyeshwa picha ni kweli kwamba Mengi ameoa? Ile tpic ikafutwa, sasa leo inaletwa topic ya kumsafisha Mengi na habari ile ile, ila kwa kuwa imeletwa na wenye nguvu inaachwa, hata bila ya kuhamishwa leave alone kufutwa, this is JF where we dare to talk openly!
- Tunalia hapa kila siku jinsi viongozi wetu wanavyotufanya wananchi wajinga, lakini here we are na the semo semo stuff, lakini tunategemea viongozi wa taifa watu-treat tofauti na sisi wenyewe tunavyojiongoza hapa, is that so?, sasa with all respect naomba kuwauliza mnaohusika hivi sisi wanachama wengine wa hii forums kuacha nyinyi wachache au wengi, mnatuonaje hasa? Kama nilivyosema majuzi my status hapa JF na nje ya hapa inanizuia mara kwa mara kutosema yanayonishangaza hapa JF kuhusiana na utawala wa JF, lakini sasa mlipofikia mnaenda mbali mno wakuu, sisi wengine sio watoto wadogo wa kuchezewa vichwa vyetu namna hii, I mean what is this na Mengi na hii forums?
- Wakuu stop this madness ya kutufanya wengine wajinga hapa, hamuwezi kuwa mnafuta wengine wakiandika kuhusu Mengi, halafu wengine mnaruhusu that is foolish. Mengi ni nani hasa tufikie kudhalilishwa namna hii hapa JF? With all due respect kwa Mengi, ambaye ninamfhamu sana kuliko wengi hapa wanavyjidai naye please mzee tupe heshima kidogo, tunakuheshimu sana na mchango wako wka taifa on vita vya mafisadi, binafsi I worked so hard kukusadia sana kwenye vita vyako na Manji, behind the scene and you know that kwa sababu nilijua mapema sana kwamba jamaa wanakutafuta na ishu ya treason, ninajua all the things you are doing katika vita hivi na ni nani unaoshirkiana nao, lakini nakuomba sana mzee basi tuachie hapa nafasi either tukuajdili kwa kila ishu na sio unazotuamulia tu, au tusikujadili kabisa lakini kutuchezesha vichwa namna hii sio haki, kwa sababu hatuwapendi mafisadi kutokana na tabia kama hizi tunazofanyiwa na ishu zako hapa JF.
- Watu wangapi wazima wameoa, kuanzia wananchi wa kawaida mpaka viongozi, sasa what is a big deal na wewe kuoa au kutokuoa kwamba inabidi tuache ishus muhimu za taifa kujadili wewe this time na ishu kama hizi za ndoa? What is this ndugu zangu hapa JF? Mwinyi, Kikwete mbona tumewahi kuambiwa wameoa na hakuna aliyejali, sasa kwa nini kwako iwe tatizo namna hii mpaka tunafikia mahali pa kuacha kujadili taifa, sasa inakua ndoa ya Mengi kama ipo au haipo, kweli mzee wangu unaona hii ni fair kwetu wananchi wanyonge?
Kwa kweli haya mambo yanakatisha tamaa sana, unajaribu kuheshimu watu hapa na nje ya hii forums lakini in return wanakushangaza, kweli tumeacha ishus tunapoteza all this pages na this? na wala hii topic haifutwi wala kuhamiwshwa, haya wenye nguvu ngoja tuwapishe, endeleeni kutushangaza wakuu wenye nguvu humu ndani,
- eti kweli ndio tukipewa taifa tutafanya mambo tofauti na walioko sasa madarakani? Ndugu zangu umasikini ni kitu kibaya sana.
Mungu Aibariki Tanzania na JF Pia.