Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
Moto mwingine umewaka hii leo Julai 18, 2020 na kuteketeza Darasa Moja la Shule ya Sekondari ya Mivumoni Islamic, katika eneo la Msikiti wa Mtambani Kinondoni Dar es Salaam. Hii inatokea muda mchache baada ya Shule ya Kinondoni Muslim kuwaka moto jana Julai, 2020.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amefika kwenye Shule ya Sekondari ya Mivumoni Islamic iliyopo Msikiti wa Mtambani Kinondoni Dar es Salaam, ambayo darasa moja limeungua hii leo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amefika kwenye Shule ya Sekondari ya Mivumoni Islamic iliyopo Msikiti wa Mtambani Kinondoni Dar es Salaam, ambayo darasa moja limeungua hii leo.