Nyakijooga
Senior Member
- Dec 9, 2018
- 123
- 202
“Mtu mwingine amekopa ameshindwa kulipa anaona atawaambia vitu vyangu vimeungua japo hili lipo kwa kiwango kidogo na hizi ni takwimu za nchi nzima sababu kama huna Bima utalipa”amesema SSF.Elisa Mugisha,RFO Kinondoni
Aidha Kamanda huyo ameongeza kuwa "Jana moto ulikuwa umezunguka mitaa,mtaa wa Msimbazi kuna moto,mtaa wa Mkunguni kuna moto na mtaa wa Mafia kuna moto, hivyo lita 8000 zimeisha kwa dakika mbili kwa hiyo mtu akikutana na gari inatoka atasema hawa wamekuja tu kuangalia na kuondoka "
Ameyasema hayo wakati akizunguza kwenye kipindi cha Supabreakfast - EATV leo Oktoba 2,2023.