Kamanda wa Zimamoto Kinondoni adai matukio mengine ya moto husababishwa na madeni ya mikopo

Nyakijooga

Senior Member
Dec 9, 2018
123
202
Ikiwa ni siku moja baada ya taasisi ya tukio la moto uliozuka eneo la Kariakoo Jijini Dar es salaam ambao chanzo chake bado akijabainishwa na kuwekwa adharani, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kinondoni (RFO), Elisa Mugisha amesema sababu nyingine inayosababisha moto hasa kwenye maeneo ya masoko ni mikopo ambapo amedai kuwa hutokea baada ya mkopaji kushindwa kulipa hivyo uona ni bora awashe moto ili asilipe au asogeze deni mbele.

“Mtu mwingine amekopa ameshindwa kulipa anaona atawaambia vitu vyangu vimeungua japo hili lipo kwa kiwango kidogo na hizi ni takwimu za nchi nzima sababu kama huna Bima utalipa”amesema SSF.Elisa Mugisha,RFO Kinondoni

Aidha Kamanda huyo ameongeza kuwa "Jana moto ulikuwa umezunguka mitaa,mtaa wa Msimbazi kuna moto,mtaa wa Mkunguni kuna moto na mtaa wa Mafia kuna moto, hivyo lita 8000 zimeisha kwa dakika mbili kwa hiyo mtu akikutana na gari inatoka atasema hawa wamekuja tu kuangalia na kuondoka "

Ameyasema hayo wakati akizunguza kwenye kipindi cha Supabreakfast - EATV leo Oktoba 2,2023.
Screenshot_20231002-101123_1.jpg
 
Ikiwa ni siku moja baada ya taasisi ya tukio la moto uliozuka eneo la Kariakoo Jijini Dar es salaam ambao chanzo chake bado akijabainishwa na kuwekwa adharani, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kinondoni (RFO), Elisa Mugisha amesema sababu nyingine inayosababisha moto hasa kwenye maeneo ya masoko ni mikopo ambapo amedai kuwa hutokea baada ya mkopaji kushindwa kulipa hivyo uona ni bora awashe moto ili asilipe au asogeze deni mbele.

“Mtu mwingine amekopa ameshindwa kulipa anaona atawaambia vitu vyangu vimeungua japo hili lipo kwa kiwango kidogo na hizi ni takwimu za nchi nzima sababu kama huna Bima utalipa”amesema SSF.Elisa Mugisha,RFO Kinondoni

Aidha Kamanda huyo ameongeza kuwa "Jana moto ulikuwa umezunguka mitaa,mtaa wa Msimbazi kuna moto,mtaa wa Mkunguni kuna moto na mtaa wa Mafia kuna moto, hivyo lita 8000 zimeisha kwa dakika mbili kwa hiyo mtu akikutana na gari inatoka atasema hawa wamekuja tu kuangalia na kuondoka "

Ameyasema hayo wakati akizunguza kwenye kipindi cha Supabreakfast - EATV leo Oktoba 2,2023.View attachment 2769294
Aache assumption yeye kama mtaalam alipasea kutaja chanzo cha moto ni nini.
Nikiangalia crimes and investigation hata iungue nyumba yote wale jamaa wanaweza kugundua moto ulikoanzia na sababu ilikuwa nini
 
“Mtu mwingine amekopa ameshindwa kulipa anaona atawaambia vitu vyangu vimeungua japo hili lipo kwa kiwango kidogo na hizi ni takwimu za nchi nzima sababu kama huna Bima utalipa”amesema SSF.Elisa Mugisha,RFO Kinondoni
 
Ikiwa ni siku moja baada ya taasisi ya tukio la moto uliozuka eneo la Kariakoo Jijini Dar es salaam ambao chanzo chake bado akijabainishwa na kuwekwa adharani, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kinondoni (RFO), Elisa Mugisha amesema sababu nyingine inayosababisha moto hasa kwenye maeneo ya masoko ni mikopo ambapo amedai kuwa hutokea baada ya mkopaji kushindwa kulipa hivyo uona ni bora awashe moto ili asilipe au asogeze deni mbele.

“Mtu mwingine amekopa ameshindwa kulipa anaona atawaambia vitu vyangu vimeungua japo hili lipo kwa kiwango kidogo na hizi ni takwimu za nchi nzima sababu kama huna Bima utalipa”amesema SSF.Elisa Mugisha,RFO Kinondoni

Aidha Kamanda huyo ameongeza kuwa "Jana moto ulikuwa umezunguka mitaa,mtaa wa Msimbazi kuna moto,mtaa wa Mkunguni kuna moto na mtaa wa Mafia kuna moto, hivyo lita 8000 zimeisha kwa dakika mbili kwa hiyo mtu akikutana na gari inatoka atasema hawa wamekuja tu kuangalia na kuondoka "

Ameyasema hayo wakati akizunguza kwenye kipindi cha Supabreakfast - EATV leo Oktoba 2,2023.View attachment 2769294
amefanya upelelezi huo au anaongea hisia za mtaani? hawa jamaa hivi hawawezi kutafutiwa sare aina nyengine, wanatuchanganya sana na jeshi la polisi. wawatengenezee sare zao ziwe za blue hivi blue habari kwasababu wao huzima moto kwa maji.
 
Ikiwa ni siku moja baada ya taasisi ya tukio la moto uliozuka eneo la Kariakoo Jijini Dar es salaam ambao chanzo chake bado akijabainishwa na kuwekwa adharani, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kinondoni (RFO), Elisa Mugisha amesema sababu nyingine inayosababisha moto hasa kwenye maeneo ya masoko ni mikopo ambapo amedai kuwa hutokea baada ya mkopaji kushindwa kulipa hivyo uona ni bora awashe moto ili asilipe au asogeze deni mbele.

“Mtu mwingine amekopa ameshindwa kulipa anaona atawaambia vitu vyangu vimeungua japo hili lipo kwa kiwango kidogo na hizi ni takwimu za nchi nzima sababu kama huna Bima utalipa”amesema SSF.Elisa Mugisha,RFO Kinondoni

Aidha Kamanda huyo ameongeza kuwa "Jana moto ulikuwa umezunguka mitaa,mtaa wa Msimbazi kuna moto,mtaa wa Mkunguni kuna moto na mtaa wa Mafia kuna moto, hivyo lita 8000 zimeisha kwa dakika mbili kwa hiyo mtu akikutana na gari inatoka atasema hawa wamekuja tu kuangalia na kuondoka "

Ameyasema hayo wakati akizunguza kwenye kipindi cha Supabreakfast - EATV leo Oktoba 2,2023.View attachment 2769294
SSF ni Cheo cha kijeshi eti?
 
Hakuna watu wa Safety Tanzania ndio maana uokoaji umekua Tatizo...badala ya kuzima moto analeta siasa.
 
Back
Top Bottom