Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,165
una mtu wako wa karibu ama ndugu
anatafutwa kwa makosa kadhaa
na wewe unataarifa zake
najua kitu sahihi ni unatakiwa upeleke taarifa kwenye mamlaka husika.
Lakini, mbona inakuwa ngumu sana kumtoa kafara??
Ni nini cha kufanya kwa hali kama hii? Ushauri tafadhali.
anatafutwa kwa makosa kadhaa
na wewe unataarifa zake
najua kitu sahihi ni unatakiwa upeleke taarifa kwenye mamlaka husika.
Lakini, mbona inakuwa ngumu sana kumtoa kafara??
Ni nini cha kufanya kwa hali kama hii? Ushauri tafadhali.