Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Hili kundi kutokana na historia mbaya ya maisha yao huko nyuma na matatizo mbalimbali yanayowakabili ni kundi linaloongoza kwa kuficha majina halisi waliyopewa na wazazi wao na walikozaliwa au walikoolewa zamani
Kundi hili halipo wazi kila akihamia eneo fulani anabadilisha majina na alikozaliwa na mbaya zaidi hata waajiri wao huwa hawapewi full details zao
Hawa ni binadamu wanapokutwa na shida ya ghafla huwa inakuwa ngumu sana kujua majina yake halisi na sehemu alikozaliwa
Nawashauri hawa wadada wanaodanga, wauza baa, wauza magengeni na wahudumu guest house na lodge waweke taarifa zao sahihi pale anapopatwa na tatizo ndugu zake wampate kiurahisi sana, najua ni ngumu kuweka wazi taarifa zao waelemishwe umuhimu wake wasiwape watu kazi ngumu wanapopatwa na matatizo
Huyu Dada anaitwa Joyce Mathias Sengiyumva au (Mama Samia) alifariki ghafla na ameacha mtoto mdogo anayeitwa SamiaMarehemu alikuwa anafanya kazi Ktk Nyumba ya kulala wageni inayojulikana kama GIBITA GUEST HOUSE iliyopo katika Mji mdogo wa Mugumu,Wilayani Serengeti,Enzi za uhai wake alikuwa akisema nyumbani kwao ni Ngara,Mkoani Kagera,juhudi za kuwapata ndugu zake mpk Sasa hazijafanikiwa,jaribu kusambaza ktk ma group mengi ili ndugu zake wapate kupatikana kwaajili ya kuwezesha mazishi yake lkn pia kwaajili ya kumchukua mtoto mdogo aliyemuacha.View attachment 2820631
Kundi hili halipo wazi kila akihamia eneo fulani anabadilisha majina na alikozaliwa na mbaya zaidi hata waajiri wao huwa hawapewi full details zao
Hawa ni binadamu wanapokutwa na shida ya ghafla huwa inakuwa ngumu sana kujua majina yake halisi na sehemu alikozaliwa
Nawashauri hawa wadada wanaodanga, wauza baa, wauza magengeni na wahudumu guest house na lodge waweke taarifa zao sahihi pale anapopatwa na tatizo ndugu zake wampate kiurahisi sana, najua ni ngumu kuweka wazi taarifa zao waelemishwe umuhimu wake wasiwape watu kazi ngumu wanapopatwa na matatizo
Huyu Dada anaitwa Joyce Mathias Sengiyumva au (Mama Samia) alifariki ghafla na ameacha mtoto mdogo anayeitwa SamiaMarehemu alikuwa anafanya kazi Ktk Nyumba ya kulala wageni inayojulikana kama GIBITA GUEST HOUSE iliyopo katika Mji mdogo wa Mugumu,Wilayani Serengeti,Enzi za uhai wake alikuwa akisema nyumbani kwao ni Ngara,Mkoani Kagera,juhudi za kuwapata ndugu zake mpk Sasa hazijafanikiwa,jaribu kusambaza ktk ma group mengi ili ndugu zake wapate kupatikana kwaajili ya kuwezesha mazishi yake lkn pia kwaajili ya kumchukua mtoto mdogo aliyemuacha.View attachment 2820631