Mume wangu coz kwa sasa mie ndio maz haus akitokea wa kutaka kujiunga na akajiunga kweli sio kubip hapo jina litabadilika na kuwa mume wetu,hope umeelewa!Rejao ni mume wako au mume wenu? Cantalisia vp?
Simama hapo, hapo mie nishakuona wacha nikufuate! Hujambo Amyner?Shosti mbona mi niko huko afu sijakuona?
Mi kimodo bana....yule kanizidi kwa kifriji!! Nanihi haizeeke bana, utafiti unaonyesha mtu akifaa baada ya dk 5 bado inakuwa online!!huzeeki na wewe?...uko kama yule mzee mwenye vogi nyeusi...
Nilikuwa nimeweka vibration...si unajua tena tunahangaika na haya makasheshe!!Nipo Rejao, mbona nakupigia hupokei?
so ya kanumba ipo online now?Mi kimodo bana....yule kanizidi kwa kifriji!! Nanihi haizeeke bana, utafiti unaonyesha mtu akifaa baada ya dk 5 bado inakuwa online!!
Hehehe, toka lini under 18 akapata mateneti livu?? Una utani na mwanafunzi wa JK au?alafu wewe nakutafuta ujue...uko mateneti liv au?...unakumbuka tuliagana nn this weekend?...
hahahaa...lol ni dk 5 tu!! ile tayari ni not reachable!!so ya kanumba ipo online now?
Hahahaha!Nilikuwa nimeweka vibration...si unajua tena tunahangaika na haya makasheshe!!
Nashangaa wanakuchosha na mawswali ya ivo waambie waniulize mimi niwajibu km umezeeka au bado ebo!Mi kimodo bana....yule kanizidi kwa kifriji!! Nanihi haizeeke bana, utafiti unaonyesha mtu akifaa baada ya dk 5 bado inakuwa online!!
Simama hapo, hapo mie nishakuona wacha nikufuate! Hujambo Amyner?
Hueeeeeeee
Miss u all
karibuni chakula
Hehehe, nnachokupendea wifi uko shapu sana kumtetea husband wako lol... Safi sana manake kisukari kitampita kando!My darlie wif niko poa kbs,
Leo kaka yako hajatokea huko ndio maana hujaona sain yake,
Tupo hapa tunajiandaa kupata cha mchana wifi!
Shem wangu Nitonye hajambo lkn?