Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Wifi mna sifa na mumeo ( ukisoma uidelete kaka asione manake atayafikisha kijijini kwa mjomba)Thx Darling,
You too!!!![]()
Hee heeee heee!Tobaaaa, kumbe kaja kuniombea maembe mabichi? Khaaa ana mambo huyu shemeji ako!
Hehehe yaani wifi umefundwa haswaaa!eti utamu wa mume lol.
Wala hataiona wifi ataona hapo tu ulipotusifia lol!Wifi mna sifa na mumeo ( ukisoma uidelete kaka asione manake atayafikisha kijijini kwa mjomba)
Hivi hujampata tu??Hureeee!
Itakuwa sawa ukimchukua Rejao, itakuwa umesafisha njia yangu ya kumchukua Cantalisia
Way to go Smile...
Hahahaha! Nimekukubali my sweet wifi, kumbe ndio mana braza habanduki hapo pembeni eeh? Nzuri sana.Hee heeee heee!
Alinipigia akanambia tangu mwezi uliopita unapenda sana maembe mabichi na ubuyu!
BTW,kwan wifi hujui ukishikwa watakiwa kushikamana ,na ikiwezekana onyesha ufjuzi wako wenyewe watakupigia makofi lol!
Kalakabaho endelea kusoma utaona namna ndoa yetu ilivoimara,Hureeee!
Itakuwa sawa ukimchukua Rejao, itakuwa umesafisha njia yangu ya kumchukua Cantalisia
Way to go Smile...
Hapo thatha lol... Pendaneni mwaya hadi wenye wivu wajinyonge!Wala hataiona wifi ataona hapo tu ulipotusifia lol!
BTW,watajuaje km tunapendana!!!
Sore shem wangu si unaona Baba watoto wangu yuko araund ni lzm niwe bize naye atiii!shem mbona twapishana wima wima?...ukachukue na ndimu kule kimanzichana...kisado!
Wifi see you baadae! Narudi bungeni kuendelea kuhesabu sign! Mwaaaaa. Stay safe!Kalakabaho endelea kusoma utaona namna ndoa yetu ilivoimara,
Hata smile akija anapata nafasi ya mke mdogo na maza haus niko pale pale hakuna kuachika!
Pole sana swaiba lol!
Atabandukaje wakati anachopata hakipatikani kwengine lol!Hahahaha! Nimekukubali my sweet wifi, kumbe ndio mana braza habanduki hapo pembeni eeh? Nzuri sana.
Afu ujue shemeji yako hajui kuficha siri?
Ok my darlie wifi,Wifi see you baadae! Narudi bungeni kuendelea kuhesabu sign! Mwaaaaa. Stay safe!